Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,892
- 36,711
sureHuyu mzee akija kufa ni sikukuu kwa taifa la Tanzania.
sureHuyu mzee akija kufa ni sikukuu kwa taifa la Tanzania.
Na ikitokea akaondoka kipindi cha vuguvugu kama hili ndio itakuwa balaa.sure
Acha kabisa,Na ikitokea akaondoka kipindi cha vuguvugu kama hili ndio itakuwa balaa.
Kwamba kumshika wakili ndiyo ghafla pakazuka vikundi vyenye silaha na NATO wakaleta jeshi?
Amani ya kunenepesha huo mkundv wako at the expense ya maumivu ya RAIA ,kvma LA mama KO wewe .....Huu ushenzi mtaulipia kwa maumivu makali ,ni suala LA muda tu ,watch out assholesHawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka mingi
Kilichomtoa Gaddafi kinajulikana, yaani NATO iende kutetea waandamanaji afrika!?..Gadaffi alianza ukorofi kabla ya hapo.
..kwa mfano, alimpoteza makamu wake wa raisi Major Jalloud.
..pia alikuwa akifadhili machafuko ktk nchi mbalimbali za Afrika kwa mfano Sierra Leone.
..vilevile alihusika na shambulizi la kigaidi na kulipua ndege kule Lockerbie.
..kwa kifupi alijitengenezea maadui wengi ndani na nje ya Libya.
Kilichomtoa Gaddafi kinajulikana, yaani NATO iende kutetea waandamanaji afrika!?
Kwahiyo wananchi wa Libya waliathirika vipi na hayo?..kusingekuwa na maandamano NATO wasingepata nafasi ya kumtoa.
..watu wa Siera Leone hawataki kabisa kumsikia Gadaffi kwasababu alichochea vita nchini kwao.
..Gadaffi pia anahusishwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Liberia ambayo imeuwa watu wengi sana.
Vita ya Sierra Leone na Liberia haiwezi kuwa imeanzishwa na kuchochewa na Gaddafi,vita huko vina mizizi mirefu..kusingekuwa na maandamano NATO wasingepata nafasi ya kumtoa.
..watu wa Siera Leone hawataki kabisa kumsikia Gadaffi kwasababu alichochea vita nchini kwao.
..Gadaffi pia anahusishwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Liberia ambayo imeuwa watu wengi sana.
Vita ya Sierra Leone na Liberia haiwezi kuwa imeanzishwa na kuchochewa na Gaddafi,vita huko vina mizizi mirefu
Ni heri mchague aidha nyie wapumbavu muhame nchi au mkubali kuwa Rais Samia ndiye Rais wenu.Amani ya kunenepesha huo mkundv wako at the expense ya maumivu ya RAIA ,kvma LA mama KO wewe .....Huu ushenzi mtaulipia kwa maumivu makali ,ni suala LA muda tu ,watch out assholes
Na siku zote njia ya mazungumzo ndio bora zaidi na huleta suluhishoHizo VITA zililetwa na WAZUNGU hasa USA ili kuiba MALI Kama mafuta.
Ndo maana nilisema ni kweli CCM imepoteza misingi yake Ila hatuwezi kuitoa kwa kutegemea wazungu .
Zaidi tutaiingiza nchi katika MACHUFUKO ambayo tunaweza kuyaeupuka..
Number don't lie kupitia takwimu mbalimbali tunaona mataifa ya kimagharibi huwa hayatatui migogoro ya kisiasa zaidi ya kuiba Mali na kuuza silaha
Refer CONGO, Sudan kusini , Somalia , Libya n.k
Kwahiyo sisi kwa sisi tukituliza akili tunaweza kuiweka nchi yetu katika mikono salama.
NB.
Sisi ambao hatusapoti maandano haimaniishi tunakubalina na mauaji ya 29/10
Ila tunapendekeza njia ya mazungumzo ndo itumike.
Ficha upumbavu wako.
View attachment 3515158
My people,
15 - February -2011
Benghazi, Libya
Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu
Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya
Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali
Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka
Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya
Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.
Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi
Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA
Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025
Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu
Ni hayo tu!
Bwana Kalamu,Unachowaeleza waTanzania ni kuwa ni bora hii hali ya AMANI anayoilinda Samia Suluhu Hassan; kuliko kuhangaikia haki zao; kama kuwa na haki ya kuamua nani awaongoze. Badala yake Samia na Genge lake ndio wajiamulie kuwa wanafaa kutuongoza.
Hizi ni fikra za kipuuzi kabisa.
Nilitaka kukuonyesha hatua kwa hatua jinsi andiko lako lilivyo potofu toka mwanzo hadi mwisho; lakini huko ni kupoteza muda tu na watu wa aina yenu tunaojuwa ajenda yenu ni nini.
Mama yako kahaba na baba yako khanithi ndio watahama nchi sio sisi ,choko wee.Msenge kum@nyokoHawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka ming
Ni heri mchague aidha nyie wapumbavu muhame nchi au mkubali kuwa Rais Samia ndiye Rais wenu.
Kinyume na hapo pressure itawaua maana matarajio yenu hayatafanikiwa hata kwa 05% .
Never
Ni vitu tofauti kwa maana chanzo hasa cha tatizo,lakini madhara ya maandamao ni yale yaleKilichotokea Libya na kilichotokea tarehe 29 hapa TZ ni vitu viwili tofauti kaka
Ninyi waseng€ mnaakili kwrnye vichwa vyenu mbwa ninyi ,mazungumzo na serikali haramu ambayo haijachagyliwa na wananchi iliyoua naelfu ya watu na ambayo bado inaendeleza ufedhuli ule ule ? ,mnajifyatua akili sio ?Na siku zote njia ya mazungumzo ndio bora zaidi na huleta suluhisho
Watu wataanza kwenye vita lakini mwisho wa siku watakaa kwenye round table na kuzungumza
Angalia mfano wa Hamas na Israel,na kwengine kote duniani hufanyika hivyo
Hata Urusi na Ukraine ipo siku watamaliza mapigano kwa mazungumzo
Kwahiyo ni sahihi kabisa tutumie mazungumzo kutatua changamoto zetu