Tujifunze Kutoka Libya

Tujifunze Kutoka Libya

..umeeleza vizuri sana kwamba ukivunja HAKI unahatarisha AMANI.

..amani ya Libya ilitoweka baada ya Gadaffi kuanza kukanyaga HAKI za wenzake.
Kwamba kumshika wakili ndiyo ghafla pakazuka vikundi vyenye silaha na NATO wakaleta jeshi?
 
Nyie mnaandika Ila hamuingii Field kupambana .

Mnafikiri CCM itatoka madarakani kwa maneno matupu ?

Sikia acheni hizi mambo za kuamini kuna MTU atakupambania .

Mnataka vijana warudi barabarani wauliwe tena au Mnataka nini

Nyie watoto wenu mnawalinda Ila mnataka watoto wengine wakaandamane .

Big NO tuta -push agenda hakuna
Mkuu kwa upepo unavyoelekea wananchi wanataka kuingia msituni hawataki mazungumzo na maandamano yameshindikana kwa kua wanapigwa risasi.. Hii ni hatari ikitokea tuu vijana wakipata training kidogo ya silaha hali itakua mbaya sana ngoja tuone..

maandamano nyie key body ni watu selfish
 
Mkuu kwa upepo unavyoelekea wananchi wanataka kuingia msituni hawataki mazungumzo na maandamano yameshindikana kwa kua wanapigwa risasi.. Hii ni hatari ikitokea tuu vijana
Mkuu kwa upepo unavyoelekea wananchi wanataka kuingia msituni hawataki mazungumzo na maandamano yameshindikana kwa kua wanapigwa risasi.. Hii ni hatari ikitokea tuu vijana

View attachment 3515158

My people,​


15 - February -2011

Benghazi, Libya

Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu

Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya

Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali

Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka

Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya

Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.

Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania

Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi

Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA

Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025

Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu

Ni hayo tu!
 
Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Ikiwa wazungu wanavuna rasilimali zetu si sawa kabisa. Nauliza inakuaje MTZ mwenzako anavuna na wewe hufaidiki vile unavyostahili?

Ndio maana mkaambiwa kabla ya kuhubiri AMANI hakikisheni mnawatendea mema na HAKI, hii Amani itakuja tu.
 
Hizo VITA zililetwa na WAZUNGU hasa USA ili kuiba MALI Kama mafuta.

Ndo maana nilisema ni kweli CCM imepoteza misingi yake Ila hatuwezi kuitoa kwa kutegemea wazungu .

Zaidi tutaiingiza nchi katika MACHUFUKO ambayo tunaweza kuyaeupuka..

Number don't lie kupitia takwimu mbalimbali tunaona mataifa ya kimagharibi huwa hayatatui migogoro ya kisiasa zaidi ya kuiba Mali na kuuza silaha

Refer CONGO, Sudan kusini , Somalia , Libya n.k

Kwahiyo sisi kwa sisi tukituliza akili tunaweza kuiweka nchi yetu katika mikono salama.

NB.

Sisi ambao hatusapoti maandano haimaniishi tunakubalina na mauaji ya 29/10

Ila tunapendekeza njia ya mazungumzo ndo itumike.
Yaani mpigane wenyewe halafu mje mlaumu wanao waachanisha muache kupigana. Marekani wana mpaka military base South Korea lakini South Korea haijaanguka. Sanasana ndo inazidi kuendelea. Wana military base Kenya pia. Kenya haijaanguka. Hizo nchi za hovyo ulizotaja ni za hovyo hata bila Wazungu kuingilia. Think critically mkuu, acha kuwa mjinga kama mleta mada.
 

View attachment 3515158

My people,​


15 - February -2011

Benghazi, Libya

Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu

Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya

Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali

Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka

Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya

Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.

Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania

Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi

Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA

Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025

Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu

Ni hayo tu!
Hivi kwa nini humwambii mama abdul kutenda haki? Umekazana tu kutuhuburia amani fake.
 

View attachment 3515158

My people,​


15 - February -2011

Benghazi, Libya

Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu

Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya

Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali

Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka

Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya

Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.

Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania

Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi

Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA

Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025

Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu

Ni hayo tu!
Soma alama za nyakati na kuzielewa.
Unaweka picha za jeshi wakati tatizo ni sisi kutotatua changamoto za vijana.
Kaa chini, fikiri na kuziona dynamics za nyakati.
 
Yaani mpigane wenyewe halafu mje mlaumu wanao waachanisha muache kupigana. Marekani wana mpaka military base South Korea lakini South Korea haijaanguka. Sanasana ndo inazidi kuendelea. Wana military base Kenya pia. Kenya haijaanguka. Hizo nchi za hovyo ulizotaja ni za hovyo hata bila Wazungu kuingilia. Think critically mkuu, acha kuwa mjinga kama mleta mada.

Usisome mambo juu juu Ila USA hana msaada wowote kwa Africa
 
Hahaha hatuhitaji maji au umeme wa bure, haki na usalama wetu kwanza, na Libya naturally is very rich state, yeyote mwenye akili kidogo anayeelewa haki angeweza kuifanya nchi tajiri na nzuri sana , Gaddafi was good lakini aliifanya Libya kama mali yake binafsi na familia yake, acha watwangane tuu ili waheshimiane na kuheshimu haki ya kila mtu
 
Hawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka mingi
Mnafundishwa na kushikilia upumbavu.

Utaipata wapi amani ya kulazimisha watu waikubali kwa shinikizo la mitutu ya bunduki?
 
Usisome mambo juu juu Ila USA hana msaada wowote kwa Africa
Kama hana msaada wowote ndiyo nasi tusijitoe kutafuta haki zetu wenyewe?
Mara unatutisha CCM; sijui majeshi yote ni CCM! Kwa hiyo unataka tufanye nini, tukubali tu Samia na Genge lake wafanye wanachotaka wenyewe?

Hatutegemei, na wala hatutaki hao Marekani waje hapa. Kazi ya ukombozi wa nchi yetu ni yetu wenyewe. Hao wazungu wakitaka kusaidia kuzima mitutu ya bunduki mnayotumia kuwaua waTanzania wakati wanatafuta ukombozi wao, kwa nini tusikubali msaada huo. Kwa nini hili linakutisha sana wewe na wenzako?
 
Kama hana msaada wowote ndiyo nasi tusijitoe kutafuta haki zetu wenyewe?
Mara unatutisha CCM; sijui majeshi yote ni CCM! Kwa hiyo unataka tufanye nini, tukubali tu Samia na Genge lake wafanye wanachotaka wenyewe?

Hatutegemei, na wala hatutaki hao Marekani waje hapa. Kazi ya ukombozi wa nchi yetu ni yetu wenyewe. Hao wazungu wakitaka kusaidia kuzima mitutu ya bunduki mnayotumia kuwaua waTanzania wakati wanatafuta ukombozi wao, kwa nini tusikubali msaada huo. Kwa nini hili linakutisha sana wewe na wenzako?
Issue sio SSH mkuu ukijua tatizo la nchi ni MFUMO wa CCM

Hata wewe ukiwa Rais kwa tiketi ya CCM hakuna utakaachobadilisha

Sisi wananchi wazalendo hatutaki vijana wetu waandamane ili wauliwe Ila tunataka mazungumzo yafanyike.

Njia ya kuandamana haina matokeo chanya
 
Issue sio SSH mkuu ukijua tatizo la nchi ni MFUMO wa CCM

Hata wewe ukiwa Rais kwa tiketi ya CCM hakuna utakaachobadilisha

Sisi wananchi wazalendo hatutaki vijana wetu waandamane ili wauliwe Ila tunataka mazungumzo yafanyike.

Njia ya kuandamana haina matokeo chanya
Wewe unang'ang'ana na CCM. wakati mimi nakueleza kuwa hakuna CCM; kuna kundi la waovu, Samia akiwa miongoni mwao. Hakuna cha mfumo wala nini; ni kundi la majambazi walioteka taifa zima na kufanya uovu wao wakitumia dola.

Hata kama utaiita hali hiyo kuwa ni "mfumo"; sasa unataka waTanzania wabweteke tu kwa vile ni mfumo?
Watu wafanye "mazungumzo" na mfumo ili mfumo huo ndio uamue kuwahurumia waTanzania wanaonyimwa haki zao?
Mawazo yenu haya yatakuwa yana kasoro kubwa sana.

Kwa nini hutaki watafute njia za kujitoa kwenye hiyo hali ya umateka; huku ukitetea hali hiyo izidi kuimarika!

Hii inaingia akilini? Unayo maslahi gani na huo mfumo wewe?

Wewe hukuwahi kusikia uwepo wa "mazungumzo ya maridhiano"; na wala hujawahi kusikia waTanzania wakimsihi Samia awe na subira ili pawepo na marekebisho ya sheria za uchaguzi? Wewe na wenzako mnataka mazungumzo na Genge lilelile ambalo limekwisha onyesha wazi kabisa nia yake ni nini juu ya taifa hili!
Hicho wanachotafuta hao Genge ndicho mnachokuja humu JF kukipigania.

Halafu mnajivisha "uzalendo"!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom