gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,958
- 15,892
Tanzania kubwa,siyo dar tu,watu huku tabora tunaoga mara tatu kwa sikuTanzania hatuna hata hayo maji ya kulipia
Tanzania kubwa,siyo dar tu,watu huku tabora tunaoga mara tatu kwa sikuTanzania hatuna hata hayo maji ya kulipia
Kwamba kumshika wakili ndiyo ghafla pakazuka vikundi vyenye silaha na NATO wakaleta jeshi?..umeeleza vizuri sana kwamba ukivunja HAKI unahatarisha AMANI.
..amani ya Libya ilitoweka baada ya Gadaffi kuanza kukanyaga HAKI za wenzake.
Mkuu kwa upepo unavyoelekea wananchi wanataka kuingia msituni hawataki mazungumzo na maandamano yameshindikana kwa kua wanapigwa risasi.. Hii ni hatari ikitokea tuu vijana wakipata training kidogo ya silaha hali itakua mbaya sana ngoja tuone..Nyie mnaandika Ila hamuingii Field kupambana .
Mnafikiri CCM itatoka madarakani kwa maneno matupu ?
Sikia acheni hizi mambo za kuamini kuna MTU atakupambania .
Mnataka vijana warudi barabarani wauliwe tena au Mnataka nini
Nyie watoto wenu mnawalinda Ila mnataka watoto wengine wakaandamane .
Big NO tuta -push agenda hakuna
maandamano nyie key body ni watu selfish
Mkuu kwa upepo unavyoelekea wananchi wanataka kuingia msituni hawataki mazungumzo na maandamano yameshindikana kwa kua wanapigwa risasi.. Hii ni hatari ikitokea tuu vijana
Mkuu kwa upepo unavyoelekea wananchi wanataka kuingia msituni hawataki mazungumzo na maandamano yameshindikana kwa kua wanapigwa risasi.. Hii ni hatari ikitokea tuu vijana
View attachment 3515158
My people,
15 - February -2011
Benghazi, Libya
Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu
Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya
Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali
Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka
Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya
Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.
Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi
Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA
Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025
Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu
Ni hayo tu!
Ikiwa wazungu wanavuna rasilimali zetu si sawa kabisa. Nauliza inakuaje MTZ mwenzako anavuna na wewe hufaidiki vile unavyostahili?Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Yaani mpigane wenyewe halafu mje mlaumu wanao waachanisha muache kupigana. Marekani wana mpaka military base South Korea lakini South Korea haijaanguka. Sanasana ndo inazidi kuendelea. Wana military base Kenya pia. Kenya haijaanguka. Hizo nchi za hovyo ulizotaja ni za hovyo hata bila Wazungu kuingilia. Think critically mkuu, acha kuwa mjinga kama mleta mada.Hizo VITA zililetwa na WAZUNGU hasa USA ili kuiba MALI Kama mafuta.
Ndo maana nilisema ni kweli CCM imepoteza misingi yake Ila hatuwezi kuitoa kwa kutegemea wazungu .
Zaidi tutaiingiza nchi katika MACHUFUKO ambayo tunaweza kuyaeupuka..
Number don't lie kupitia takwimu mbalimbali tunaona mataifa ya kimagharibi huwa hayatatui migogoro ya kisiasa zaidi ya kuiba Mali na kuuza silaha
Refer CONGO, Sudan kusini , Somalia , Libya n.k
Kwahiyo sisi kwa sisi tukituliza akili tunaweza kuiweka nchi yetu katika mikono salama.
NB.
Sisi ambao hatusapoti maandano haimaniishi tunakubalina na mauaji ya 29/10
Ila tunapendekeza njia ya mazungumzo ndo itumike.
Hivi kwa nini humwambii mama abdul kutenda haki? Umekazana tu kutuhuburia amani fake.
View attachment 3515158
My people,
15 - February -2011
Benghazi, Libya
Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu
Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya
Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali
Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka
Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya
Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.
Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi
Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA
Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025
Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu
Ni hayo tu!
Soma alama za nyakati na kuzielewa.
View attachment 3515158
My people,
15 - February -2011
Benghazi, Libya
Ghasia zilianza rasmi baada ya Utawala wa Muammar Gaddafi kumkamata mwanasheria anayejulikana kwa jina la Fathi Terbil ambaye alikuwa mtetezi wa haki za binadamu
Baada ya wananchi kujua hilo tukio walikasirishwa sana,na hapo ndipo Maandamano rasmi yalianza viunga vyote vya Libya
Baadae Serikali ilitumia nguvu kubwa kwa kuwapiga risasi waandamanaji,baadae wandamanaji nao wakapora silaha na kuunda vikundi wa uasi dhidi ya Serikali
Kutoka maandamano ikaja kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe, nchi yote ikachafuka hatimaye NATO ikaingilia kati na kufunga anga na kuanza kuwapiga au kuwashambulia askari au wanajeshi wa jeshi la libya,mwisho wa siku Utawala wa Gaddafi ukaanguka
Kilichofuatia baadae nchi haikutawalika tena,uasi ukawa mwingi na machafuko ikawa sehemu ya maisha ya kila siku ya Libya
Watu ambao walikuwa hawajui kulipa bill za maji au umeme,watu ambao walikuwa wanaingiziwa gawio kwenye account zao kutoka kwenye uchumi wa mafuta,leo hii hawana amani,wengi wanakufa baharini huko katika jitihada za kueleka Ulaya.
Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Ndio maana baadhi yetu tunapoamua kuwa mabalozi wa amani tunajua nini maana ya kukosa amani,tunajua si ushujaa kuwa wakimbizi
Kwahiyo tujue kwamba AMANI NI TUNU YETU BASI TUILINDE KWA WIVU MKUBWA
Tunashukuru na kufurahi kuona kwamba kuna members wengi wanatuunga mkono kwenye hii kampeni itakayodumu hadi 31 Dec 2025
Tanzania ni yetu basi tudumishe amani ya nchi yetu
Ni hayo tu!
Wewe malayer hiyo haki ya kujengwa kwa siku moja mbona hamtupi ili kuweka mambo sawa?Hawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka mingi
Yaani mpigane wenyewe halafu mje mlaumu wanao waachanisha muache kupigana. Marekani wana mpaka military base South Korea lakini South Korea haijaanguka. Sanasana ndo inazidi kuendelea. Wana military base Kenya pia. Kenya haijaanguka. Hizo nchi za hovyo ulizotaja ni za hovyo hata bila Wazungu kuingilia. Think critically mkuu, acha kuwa mjinga kama mleta mada.
Mnafundishwa na kushikilia upumbavu.Hawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka mingi
Kama hana msaada wowote ndiyo nasi tusijitoe kutafuta haki zetu wenyewe?Usisome mambo juu juu Ila USA hana msaada wowote kwa Africa
Issue sio SSH mkuu ukijua tatizo la nchi ni MFUMO wa CCMKama hana msaada wowote ndiyo nasi tusijitoe kutafuta haki zetu wenyewe?
Mara unatutisha CCM; sijui majeshi yote ni CCM! Kwa hiyo unataka tufanye nini, tukubali tu Samia na Genge lake wafanye wanachotaka wenyewe?
Hatutegemei, na wala hatutaki hao Marekani waje hapa. Kazi ya ukombozi wa nchi yetu ni yetu wenyewe. Hao wazungu wakitaka kusaidia kuzima mitutu ya bunduki mnayotumia kuwaua waTanzania wakati wanatafuta ukombozi wao, kwa nini tusikubali msaada huo. Kwa nini hili linakutisha sana wewe na wenzako?
Wewe unang'ang'ana na CCM. wakati mimi nakueleza kuwa hakuna CCM; kuna kundi la waovu, Samia akiwa miongoni mwao. Hakuna cha mfumo wala nini; ni kundi la majambazi walioteka taifa zima na kufanya uovu wao wakitumia dola.Issue sio SSH mkuu ukijua tatizo la nchi ni MFUMO wa CCM
Hata wewe ukiwa Rais kwa tiketi ya CCM hakuna utakaachobadilisha
Sisi wananchi wazalendo hatutaki vijana wetu waandamane ili wauliwe Ila tunataka mazungumzo yafanyike.
Njia ya kuandamana haina matokeo chanya
Naungana nawe!Nilitaka kukuonyesha hatua kwa hatua jinsi andiko lako lilivyo potofu toka mwanzo hadi mwisho; lakini huko ni kupoteza muda tu na watu wa aina yenu tunaojuwa ajenda yenu ni nini.
Huyu mzee akija kufa ni sikukuu kwa taifa la Tanzania.Wanaitwa wana-mtandao,
kikundi dhalimu, kiovu,kikatili,kikiongozwa na jk na jopo lake