Hellow dears
Ni ushauri tu,tujifunze kupenda tunapopendwa because hakuna kitu kinachoumiza kama kuona mtu ambae alikuwa akionesha upendo kwako yupo na mwingine na wewe umebaki complicated ulikoenda umeangukia pua,kipindi hicho alionesha upendo kwako nawe ukampuuza,alikua tayari kwa lolote kwako hukumjali alijaribu kufanya chochote uridhike lakini ukampuuza,alikujali kwa kila kitu haikupita siku asijue hali yako hata akiwa busy kiasi gani alijitahidi kuhakikisha anajua umeamkaje,umeshindaje and u hali gani lakini hukumjali ukampuuza ukaenda kwingine ambako unapenda wewe then huko ulikoenda umeangukia pua upo dillema huelewi direction yaan upo complicated then kurudi its too late hakuna kitu kibaya katika maisha kama neno ningelijua..just advice tu.