Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,175
- 3,004
Hiyo ni Complete Fact, Kuna dada Mmoja alitaka kuwa na Mimi, Nikamwambia kama utakubali kuwa na mwenzio Fresh basi akanambia hataki kushare anataka kuwa na mimi tu...Nikamwambia Huyu Nilienae Nilimwahidi SITOMUACHA KWA NAMNA YEYOTE ILE...Alishangaa sana...Anyway ni Muhimu Kumpenda Mtu Uliyenaye na anaonesha Upendo!