Tujifunze kupenda tunapopendwa

Tujifunze kupenda tunapopendwa

Sio lahisi kujilazimisha kupenda kitu/mtu ,
Kupend kunakuja automatic kutoka moyoni,ukijifunza kukipenda kitu utakua unaigiza na ukiigiza lazima kuna vipengere utavisahau tu,

Chamsinngi ni kua mkweli tu.
Upo sahihi mkuu.
Ila usiombe ukampenda MTU hana time na wewe.
usipo kubaliana na matokeo utajutia maamuzi.
We have different question papers. kila MTU na Bahati yake.kuna anayependa akapendwa.
Pia kuna anayependa akatoswa (red card)
 
Ni kweli.



Ila sio kila anaekupenda unapaswa kuwa nae
 
Hellow dears
Ni ushauri tu,tujifunze kupenda tunapopendwa because hakuna kitu kinachoumiza kama kuona mtu ambae alikuwa akionesha upendo kwako yupo na mwingine na wewe umebaki complicated ulikoenda umeangukia pua,kipindi hicho alionesha upendo kwako nawe ukampuuza,alikua tayari kwa lolote kwako hukumjali alijaribu kufanya chochote uridhike lakini ukampuuza,alikujali kwa kila kitu haikupita siku asijue hali yako hata akiwa busy kiasi gani alijitahidi kuhakikisha anajua umeamkaje,umeshindaje and u hali gani lakini hukumjali ukampuuza ukaenda kwingine ambako unapenda wewe then huko ulikoenda umeangukia pua upo dillema huelewi direction yaan upo complicated then kurudi its too late hakuna kitu kibaya katika maisha kama neno ningelijua..just advice tu.
Kabisa, dah!!
Jessica aiseee!!
 
Umeshauri vyema,ni bora kujifunza kuwapenda wale wanaotupenda kuliko kutumia nguvu kubwa kuwapenda wasiotupenda. Kwani ni rahisi sana kuumizwa na unayempenda pasipo yeye kukupenda.
 
Jamani mm naomba msaada mbona sjuagi kupenda haswaa,yaani mwanamke kumpenda kwa moyo wangu wote nashindwa jamani .mwanamke akiniletea zakuleta akasema anaondoka wala moyo haunidundi na sijawahi kabisa kupenda mpaka nikasema huyu mwanamke nampenda kweli je naweza kiwa Nina tatzo?
 
Me tumechuniana wiki nzima ss no sms, no calls kudadadeki....!!! huyu demu wangu ni bonge la jeuri kinoma yani aiseee...cjawahi ona. nami nimejiapiza simtafuti ng'o tuone kidume nan shiiiiit...!!!!
An eye for an eye makes the world blind....
 
Hata nyie mnaweza kujifunza kupenda. Hata wanawake huwa inatokea ukashindwa kujifunza pia na ikatokea mnayependana ukaishia kumuumiza wa kwanza. Hivyo hii kujifunza au kushindwa kujifunza inawezekana kwa pande zote.

Kumbe.....
Nyinyi afadhali kidogo bwana. Dah
 
Sisi hakuna uafadhali wowote, ni vile tu huwa kwa kiasi kikubwa tunatongozwa hatutongozi. Ila hali ni mbaya vile vile.
Hivi hata nguvu pesa haiwok auti hapo??? ....
 
Upo sahihi mkuu.
Ila usiombe ukampenda MTU hana time na wewe.
usipo kubaliana na matokeo utajutia maamuzi.
We have different question papers. kila MTU na Bahati yake.kuna anayependa akapendwa.
Pia kuna anayependa akatoswa (red card)
Hahahahahahahahahaha
Sawa kabisa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom