TUJADILI: Mbinu gani sahihi itumike kuiondoa CCM madarakani?

TUJADILI: Mbinu gani sahihi itumike kuiondoa CCM madarakani?

Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura.

Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate?

Je, tu-push Maridhiano ya kitaifa?

Je, tuendeleze maandamano ya MO29 yalipoishia au tuyaboreshe. How.

Je, tu-push foreign intervention?

Je, tuviache vyama vya upinzani vilivyopo viendelee kupambana na CCM au tuvishauri viungane.

Je, tuendelee kusubiri ICC ije na resolution yake.

Je, na sisi wananchi tutafute PR itakayokwenda UN, US, EU kufanya lobbying ili ku-push malalamiko yetu.

Au tutumie teknolojia ya kiafrika, Mshana Jr.

Yote tutakayojadli yalenge kuiondoa CCM madarakani iwe kwa heri au kwa shari, Sababu kuu ni taifa kukosa mwelekeo wa KIJAMII na KIUCHUMI kwa miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM.

Kama tukishauri tutegemee sanduku la kura tuwe tayari kuiona CCM ikiongoza kwa miaka 100 ijayo.

So, nini kifanyike ili lengo litimie.

Tujadili seriously, ignore wote watakaoleta utani.
Foreign intervention ndio itawang’oa hawa manyang’au. Nchi nyingi zilizokombolewa zilisaidiwa na foreign intervention. Haya majamaa yana mitutu na hayajali kutuua kama mende kwa hiyo yanatakiwa kuondolewa kwa mitutu
 
Eti licha ya hatari ya ukame unaotishia kulikumba taifa bado vyombo vya serikali vinazuia wananchi kupanda miti! Aibu kubwa sana hii kwa kilichotokea kule Rukwa baada ya polisi kuwazuia Chadema kupanda miti kwa lengo la kumhifadhi mazingira.
Hii ishu wakiiripoti vizuri kwa wanaharakati wa mazingira itakua poa sana
 
Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura.

Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate?

Je, tu-push Maridhiano ya kitaifa?

Je, tuendeleze maandamano ya MO29 yalipoishia au tuyaboreshe. How.

Je, tu-push foreign intervention?

Je, tuviache vyama vya upinzani vilivyopo viendelee kupambana na CCM au tuvishauri viungane.

Je, tuendelee kusubiri ICC ije na resolution yake.

Je, na sisi wananchi tutafute PR itakayokwenda UN, US, EU kufanya lobbying ili ku-push malalamiko yetu.

Au tutumie teknolojia ya kiafrika, Mshana Jr.

Yote tutakayojadli yalenge kuiondoa CCM madarakani iwe kwa heri au kwa shari, Sababu kuu ni taifa kukosa mwelekeo wa KIJAMII na KIUCHUMI kwa miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM.

Kama tukishauri tutegemee sanduku la kura tuwe tayari kuiona CCM ikiongoza kwa miaka 100 ijayo.

So, nini kifanyike ili lengo litimie.

Tujadili seriously, ignore wote watakaoleta utani.
Ni jeshi au kumiliki silaha na kuingia porini ama ushirikina kama kweli upo au mkono wa Yesu mwenye nguvu uondoe takataka zote za dhulma.

Mengine yote ni mazonge mazonge tu.

Vikwazo vitatuumiza wenyewe,

Katiba mpya hawatairuhusu
kamwe.

Maandamano,, watawauwa wote wabaki peke yao.

Maridhiano watawaandaa vibaraka na kuwaengua wapinzani halisi.

Vyama vya siasa halisi watabanwa watauwawa, watafungwa kama ilivyo sasa na wapinzani wa mchana na huku usiku wanakutana na CCM kama ilivyo Chauma, na ACT, hawataleta mabadiliko yoyote.

UN, sijui Marekani au EU hamna kitu, wanaangalia maslahi tu. Kama CCM wako tayari kuwapa chuma, madini na mapori yaliyobaki, hawatajali mmekufa wangapi. Watajisevia huku mkiendelea kumalizana kama Congo na Sudan.
 
Maandamano siku ya AFCON.

Mkikutana na wageni mnapita nao kwa lazima na wao waandamane mstari wa mbele.

Imagine mna group la wazungu 100 , 50 mnawaweka mbele, 50 wengine mnajichanganya nao kwenye nyomi

Uelekeo kivukoni Road.

Hapo hutosikia bomu, wala risasi
 
Maandamano siku ya AFCON.

Mkikutana na wageni mnapita nao kwa lazima na wao waandamane mstari wa mbele.

Imagine mna group la wazungu 100 , 50 mnawaweka mbele, 50 wengine mnajichanganya nao kwenye nyomi

Uelekeo kivukoni Road.

Hapo hutosikia bomu, wala risasi
Mtafanya waikatae AFCON sasa😁
 
CCM watabadilika na hatimaye Tanzania itapata ukombozi pale watakapoanza kuonja moto wa jela tu.

Ndo mana tunapaswa kukomaa kuhakikisha Viongozi wao na washirika wao vyovyote vile wanatolewa hati za kukamatwa na kupelekwa kushtakiwa ICC na kwenye Mahakama nyinginezo za nje ya Tanzania.

Na haya yote maana yake ni msaada kutoka nje. Tusijidanganye huwezi pambana na tawala za kidhalimu bila msaada kutoka nje. Hata Serikali ya Makabulu Afrika kusini walitoka kutokana na msaada waliopewa wa afrika kusini kutoka nje ya nchi yao.

Hawa CCM wakianza kuonja goto ya jiwe ya ICC na Mahakama za Nchi za Nje watanyooka vizuri sana
 
Chom choma ndio njia pekee
Hii nzuri inawanyoosha vizuri kama Oktoba 29.

Ila kwa kiburi chao na nguvu ya kutumia wajinga wa jeshi hii itakwama tu. Dawa yao hawa ni msaada kutoka nje tu
 
Back
Top Bottom