TUJADILI: Mbinu gani sahihi itumike kuiondoa CCM madarakani?

TUJADILI: Mbinu gani sahihi itumike kuiondoa CCM madarakani?

Bila mnyakuo kama wa Maduro kule venezuela kwakweli kuitoa CCM madarakani ni kuota ndoto za mchana, bora tuendelee kutandika bia na papuchi tufaidi maisha tungali hai.
 
Kosa kubwa ilishafanyika kurudia maandamano ya d9 na d 25. yalipofeli tayari majigambo dharau imerudi.wanajua tayari tumeshawazibiti.kabla ya hapo nidhamu ilikuwepo kwa vijana hata mama alikuwa anasalimia shkmo mtoto
 
Inaweza kuchukua muda mfupi pia, inawezekana tukapata Moi wetu ndani ya CCM atakayesema enough is enough kama inabidi chama kufa ili kuokoa nchi basi na iwe hivyo.
Tunaweza kupata Boris Yeltsin ndani ya CCM akakubali system ya de facto monoparty ianguke.
Nani alitegemea kuzukua Arab spring iliyowazoa Gaddafi, Hosni Mubarak na Zine al-Abidine Ben Ali?
Watu wenye IQ dizaini ya Moi Arap ndani ya CCM hakuna utasubiri sana na akitokea watambadilisha
Hakuna mtu aliyapa airtime mabadiliko kama Jakaya matokeo yake Sasa katimba kwenye mfumo wa mkono wa chuma
 
Kuna njia moja tu tena rahisi mno ya kuwaondoa hawa wadhalimu madarakani nayo ni kwa ICC kung'oka na Samia, Osman, Mombo, Abdul na Wambura.

Kisha wazuiliwe huko The Hague wakati wa "Trial Chamber Summons" huku maandamano ya kudai serikali ya mpito yakifanyika nchini kote.

Wakati wa maandamano ya kudai serikali ya mpito lazima kutakuwa na shinikizo kali la kimataifa kutoka kwa akina Trump na hakuna askari atakaye fyatua hata risasi moja na ndio utakuwa mwisho wa ccm, vikaragosi na machawa wao kuwa madarakani.
 
CCM itaanguka yenyewe kwa sababu ya incompetence ya watawala wake, demographic shift(genZ na generation Alpha) na maendeleo ya Teknolojia ya habari hasa soci acha kuandika ujinga. CCM wataondoka kwa kuchoma moto nyumba zao🔥🔥🚶
 
Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura.

Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate.

Je, tu-push Maridhiano ya kitaifa?

Je, tuendeleze maandamano ya MO29 yalipoishia au tuyaboreshe. How.

Je, tu-push foreign intervention?

Je, tuviache vyama vya upinzani vilivyopo viendelee kupambana na CCM au tuvishauri viungane.

Je, tuendelee kusubiri ICC ije na resolution yake.

Je, na sisi wananchi tutafute PR itakayokwenda UN, US, EU kufanya lobbying ili ku-push malalamiko yetu.

Yote tutakayojadli yalenge kuiondoa CCM madarakani iwe kwa heri au kwa shari, Sababu kuu ni taifa kukosa mwelekeo wa KIJAMII na KIUCHUMI kwa miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM.

Kama tukishauri tutegemee sanduku la kura tuwe tayari kuiona CCM ikiongoza kwa miaka 100 ijayo.

So, nini kifanyike ili lengo litimie.

Tujadili seriously, ignore wote watakaoleta utani.
Eti licha ya hatari ya ukame unaotishia kulikumba taifa bado vyombo vya serikali vinazuia wananchi kupanda miti! Aibu kubwa sana hii kwa kilichotokea kule Rukwa baada ya polisi kuwazuia Chadema kupanda miti kwa lengo la kumhifadhi mazingira.
 
Tuombe USAIDIZI wa Nchi zingine ata Tanzania Ilisaidia Ukombozi wa Nchi fulan fulani Afrika..Ko USAIDIZI WA NJE ni Muhimu sana kwa apa tulipo..Kuna mataifa inabidi yatusaidie Kumuondosha mkoloni CCM na kuifanya Tanznaia Iwe Huru kutoka utawla wa KITUMWA utawala wa Kidikteta wa Chama kimoja tokea UHURU.. Chama ambacho kinajali maslai ya MATAJIRI wanaokifadhili na sio SHIDA za RAIA wake, Utawala ambao unaendeshwa na Propaganda za Kulipa MAINFLUENCERS...
Sawa, unadhani ni nchi gani ya Afrika inaweza kutusaidia, au unalenga mataifa ya ulaya na Marekani.
 
Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura.

Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate?

Je, tu-push Maridhiano ya kitaifa?

Je, tuendeleze maandamano ya MO29 yalipoishia au tuyaboreshe. How.

Je, tu-push foreign intervention?

Je, tuviache vyama vya upinzani vilivyopo viendelee kupambana na CCM au tuvishauri viungane.

Je, tuendelee kusubiri ICC ije na resolution yake.

Je, na sisi wananchi tutafute PR itakayokwenda UN, US, EU kufanya lobbying ili ku-push malalamiko yetu.

Yote tutakayojadli yalenge kuiondoa CCM madarakani iwe kwa heri au kwa shari, Sababu kuu ni taifa kukosa mwelekeo wa KIJAMII na KIUCHUMI kwa miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM.

Kama tukishauri tutegemee sanduku la kura tuwe tayari kuiona CCM ikiongoza kwa miaka 100 ijayo.

So, nini kifanyike ili lengo litimie.

Tujadili seriously, ignore wote watakaoleta utani.
Bila nguvu ya gnz ccm bado tu watabaki siku 100 zinaisha izo😂
 
Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura.

Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate?

Je, tu-push Maridhiano ya kitaifa?

Je, tuendeleze maandamano ya MO29 yalipoishia au tuyaboreshe. How.

Je, tu-push foreign intervention?

Je, tuviache vyama vya upinzani vilivyopo viendelee kupambana na CCM au tuvishauri viungane.

Je, tuendelee kusubiri ICC ije na resolution yake.

Je, na sisi wananchi tutafute PR itakayokwenda UN, US, EU kufanya lobbying ili ku-push malalamiko yetu.

Yote tutakayojadli yalenge kuiondoa CCM madarakani iwe kwa heri au kwa shari, Sababu kuu ni taifa kukosa mwelekeo wa KIJAMII na KIUCHUMI kwa miaka zaidi ya 60 chini ya utawala wa CCM.

Kama tukishauri tutegemee sanduku la kura tuwe tayari kuiona CCM ikiongoza kwa miaka 100 ijayo.

So, nini kifanyike ili lengo litimie.

Tujadili seriously, ignore wote watakaoleta utani.
CCM hutumia polisi kukandamiza upinzani na pia kuiba kura nyakati za uchaguzi hivyo dawa ni kudeal na hawa polisi wao, kuwaua kwa njia mbali mbali hata ikibidi kwa uchawi hadi wakatae kutumika na CCM. Bila mitutu ya bunduki za polisi CCM ni wepesi kama unyoya.
 
Nani Atamfunga paka kengele? CCM ni ngumu kuitoa madarakani kwani inawatu wa kila aina na wenye sifa za kila aina ambazo hata wapinzani sifa zingine hawana ...Ushauri ni kuiomba kwa utulivu na unyenyekevu iweze kukaa mezani na kubadili baadhi ya vipengele ilikupata katiba mpya..na kingine ni kujenga urafiki wa hali ya juu na CCM hapo kidogo mnaweza kuitikisa, kwani Adui lazima ujenge naye urafiki ili umuangamize lakini mkiendelea kuichukia CCM hamtoiyumbisha hata kidogo itaendelea kusonga mbele huku ikiimba kale kawimbo... CCM mbele kwa mbelee. Hyo mbinu nimewapa japo zipo nyingi.
 
Back
Top Bottom