Tujadili: About the love life

Tujadili: About the love life

Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifu

Nakubaliana na wewe, yaani mtu ukishamganda sana ni tatizo, ila ukimpa nafasi, kama vile hujali kivile, anakumiss... duuuh, JF kweli hii.
 
Nimepata cha kusema dada Kaunga,nilichokiona ni kwamba wapo ambao wamejaaliwa na wana quality zote mbili na wapo ambao wana quality moja tu,mf kuna watu ambao ni maatracters eiza kutokana na muonekano wao au sifa wanazozidisplay na hivyo kujikuta wakiwaatract watu wengi iwezekanavyo,ila mara nyingi mi naona watu wa kwenye hii category huwa sio makeeper wazuri as wanakuwa kama almasi kwani kila aendapo anakubalika.

Kundi jengine ni la makeeper ambao wao sio maatracter sana lakini akipata chance ya kuaatract mtu basi huyo mtu ajue kuwa hata siku akiambiwa it's over na huyo mtu basi ataomba msamaha mara miamia.kutokana na mambo yanayomfanya huyo mtu awe keeper,ambapo ni pamoja na good caring,sweet words na kumfanya mtu ajisikie vizuri awapo naye.

Kundi jengine ni la watu ambao ni magood attracter ila sio makeepers na sio kwa kupenda ila ni kwamba wanalack qualities za kumfanya amkeep aliyemattract.Watu wa aina hii mara nyingi hujitahidi sna kuwa mnyenyekevu ili kumkeep mtu waliyenaye ila ndo hivyo mara nyingi mwisho wa siko huishia kumloose mtu waliyematract.

Kundi jingine ni la watu ambao ni both maatracters na makeepers,hawa mara nyingi wanweza kuattract wengi ila anapoamua kuwa na mtu mmoja anajua namna ya kumkeep hivi kwamba wale wengine anaoendelea kuwaatract wanabaki na maumivu yao moyoni na wivu kwa yule aliyenaye kwani hawa huwa mkeeper haswa,na kwa yule aliynye huwa makini sana aimpoteze.

Ni hayo tu kwa upande wangu.

Hapo kwenye bold, inasikitisha. Imagine, unajaribu unafanya kila unachoweza lakini wapi; sijui tunaweza ita mkosi au? Kwenye kundi hili nafikiri ndio wengi wamo humo na ndio wanaolia kila siku.

In purple ndipo snowhite na FP wanapoangukia; wao kutwa kucha ni kuwatoa udenda watu wengine! LOL
Nimependa sana uchambuzi wako now that nimeupitia upya na kwa kutulia.
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye bold, inasikitisha. Imagine, unajaribu unafanya kila unachoweza lakini wapi; sijui tunaweza ita mkosi au? Kwenye kundi hili nafikiri ndio wengi wamo humo na ndio wanaolia kila siku.

In purple ndipo snowhite na FP wanapoangukia; wao kutwa kucha ni kuwatoa udenda watu wengine! LOL
Nimependa sana uchambuzi wako now that nimeupitia upya na kwa kutulia.
Sio siri dada Kaunga hata mi natamani sana watu ambao ni maatracters na makeepers pia,hongereni sana snowhite na FP kama ndivyo ilivyo kwani ni wachache waangukiapo hapo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi Reginald Mengi ni keeper?

waoh, good question. Itabidi tuchambue sifa za keeper hasa ambazo ni acquired; na nafikiri kwa mwanaume MBESA ni mojawapo ili uweze kumkeep mdada!
 
waoh, good question. Itabidi tuchambue sifa za keeper hasa ambazo ni acquired; na nafikiri kwa mwanaume MBESA ni mojawapo ili uweze kumkeep mdada!

So huwezi kuwa a keeper kama kiwango chako cha pesa
'hakimridhishi' mwenzio sio?
 
So huwezi kuwa a keeper kama kiwango chako cha pesa
'hakimridhishi' mwenzio sio?

Sio kweli bwana, was just joking. Waweza mkeep mpenzi ambaye ana mapenzi ya kweli, lakini yule ambaye anafanya biashara ofcourse huwezi mkeep after all she is not worthy keeping; coz sidhani kwamba kuna mtu anayefurahia (unless he is also a player) kuwa na mtu ambaye unajua anapenda what you have and NOT who you are!
 
if some one is starving yes, lakini if someone looks for love and real love, you have to have more than a meal ticket!

wanawake waliom date Mengi walikuwa wana starve?

K lyinn?madame Ritha?
 
wanawake waliom date Mengi walikuwa wana starve?

K lyinn?madame Ritha?
By starving ninamaanisha ukiwa unataka pesa na more pesa na more pesa, pia waweza starve for jina na hata power.
 
Im not a keaper, neither an attractor sijui nadondokea kundi lipi,niponipo tu sijielewi
 
Im not a keaper, neither an attractor sijui nadondokea kundi lipi,niponipo tu sijielewi

why do you think you are neither of them?
what do you want to be?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom