Ndio hasa ninyi nawataka ili mtoe darasa. How did you manage to keep ur man hadi akaapa mpaka kifo kiwatenganishe?
Unajua nini; kuna watu kupata mpenzi sio shida lkn hadumu sana nao.
Na kuna wengine ambao hajawahi kuachwa maishani, yeye ndio mara zote heart breaker.
Ni kweli kabisa mkubwa mwenzangu,
Nadhani ni muhimu kuwa both, ila pia kutoa ujumbe usie na utata kwamba you not available for hire....
Unakuwa na sifa zote kwa mteule tu...Kwangu mimi huyo ni Bibi tu....lol!!
Babu DC!!
inawezekana mtu akawa hivyo but akapata mwenza mwenye sifa ya kuwa attractive but not keeper au keeper but not attractive... itakuaje?
Hapo ndipo wazoefu na walioenda all the way watatusaidia. Kwa maoni yangu, uwezekano mkubwa keeper akamdump attractor. Kwa keeper haachwi bali yeye ndio muaachaji pale asiporidhishwa.
noted babu, lol!
ila kumbuka kuna wasioelewa maana ya not available......
na hawa ni wengi zaidi ya wanaoelewa
i see mimi ni mhalisi Kaunga yani hvi unaniona humu na kwingine ndio hivo nilivo!Ndio hasa ninyi nawataka ili mtoe darasa. How did you manage to keep ur man hadi akaapa mpaka kifo kiwatenganishe?
Unajua nini; kuna watu kupata mpenzi sio shida lkn hadumu sana nao.
Na kuna wengine ambao hajawahi kuachwa maishani, yeye ndio mara zote heart breaker.
lakini kumbuka kuwa Keeper havutii.... so inawezekana ata struggle kumkeep anayevutia.... na pia wakati huo yule anayevutia bado ataendelea kuwa na wengine kutokana na alivyo.... ikoje hapo?
Kwa wale KEEPERS how can you be ATTRACTOR too? Jamani wazoefu hapa twawahitaji. Is it beauty enhancement inayohusika? Au the way one talks, will a smile do its magic? FP na snowhite mtusaidie.
Na kwa wale ambao ukimuona tu mapigo yanachange ATTRACTOR, how do you keep your man/woman? Asnam amesemea respect, care na love; ni maneno makubwa, was thinking of small doable and understandable tasks.
Kwa wale KEEPERS how can you be ATTRACTOR too? Jamani wazoefu hapa twawahitaji. Is it beauty enhancement inayohusika? Au the way one talks, will a smile do its magic? FP na snowhite mtusaidie.
Na kwa wale ambao ukimuona tu mapigo yanachange ATTRACTOR, how do you keep your man/woman? Asnam amesemea respect, care na love; ni maneno makubwa, was thinking of small doable and understandable tasks.
.Keeper huenda asivutie kwa nje; but when you get to know her/him ana quality ambazo ni ngumu kumuacha na ndio maana nimembatiza hilo jina. Kwa kifupi ni wale ambao you can't do without. Pia kuwa keeper sio lazima usiwe Attractor pia c.f FP na snowhite.
Labda nifafanue hivi Atractor ana outward beauty na keeper ana inner beauty.
asikwambie mtu mamii ji smile ndo mpango mzima!Kwa wale KEEPERS how can you be ATTRACTOR too? Jamani wazoefu hapa twawahitaji. Is it beauty enhancement inayohusika? Au the way one talks, will a smile do its magic? FP na snowhite mtusaidie.
Na kwa wale ambao ukimuona tu mapigo yanachange ATTRACTOR, how do you keep your man/woman? Asnam amesemea respect, care na love; ni maneno makubwa, was thinking of small doable and understandable tasks.
i see mimi ni mhalisi Kaunga yani hvi unaniona humu na kwingine ndio hivo nilivo!
so huyu bwashee wangu kusema ukweli sidhani kama ana lingine la kuzimika hapa zaidi ya mimi kuwa real me!
kaunga mi ukiniudhi nasema,ukinifurahisha nakwambia,nikitaka kulia nalia,nikiwa na mastress wala hupati kazi ya kutafuta tochi kujua nikostressed,hii inanisaidia na kuniharibia wakati mwingine!i think nipo too transper kuna muda ni kama sitaki kusomeka vile but thts me!
so kuwa hivi kunafanya vitu vingi nafanya for real!nikitaka leo kupaint the room red i see inakuwa scarlet!
nikitaka kumwaga ----- mahalihakukaliki!thts me!
lakini pia mi nayapenda mapenzi Kaunga so kwa mwny akili zake unless unatafuta kuibiwa bas jamaa anajikuta tu anakuwa teja langu!sijui kitu inaitwa kujizuia hisia zangu! pale hasa nimekamatwa,nani hataki a slut in his matrimonial bed so haina mbaya mamii!
kingine mi napenda kupika na kula(tht explains a lot sio enh)bibi yangu aliwahi kunambia njia ya kwenda moyoni kwa mwanaume inaanzia tumboni ,so huwa simwangushi bibuyangu pande hizo!
lol!yanatosha kwa leo
ila pia napena saaaaan kucheka!mi mpka uniudhi ufanye kazi ujue!yani kazi kweli! na ikitokea umefika hapo nakwambia linakurudia!af mi nsashasau siku nyiiiiiiiingi ,YAMEISHA HIVOOO utabaki unahangaika wewe!
so if this is the woman he married then am sure ,HARUKI KAMBA HAPA i see
HESHIMA KWAKO MHESHIMIWA mume wake snowhite!
SHIKAMOO MUME WANGU!:A S-heart-2:
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
asikwambie mtu mamii ji smile ndo mpango mzima!
unaijua sifa ya maua?sifa kuu ya maua ni kucheka na kutabasamu!
ua likichanua linaita ryt?au likichanua linakaribisha!
thts the smile magic!
angalia ukaribu wa watabasamuo na watoto!utaelewa ninachokisema