Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
still bado mnapata confusion enh!
ngoja nikupeni mfano mmoja hapa, gfsonwin ni nice looking woman, ambaye ana attract attention ya kila mwanaume but yeye hayuko mzuri kama Kongosho ambaye ni very attractive woman na kila akiwa na mtu ama la soko lake lina panda zaid.
gfsonwin yeye kwasabbu ya haiba zake anajua kwake kuolewa na baba klein ndo mwisho to her anakazna kutetea penzi lake kwa baba klein kwa gharama yyte ile ya busara na akili yake. kongosho kwasabbau soko lake lipo juu sana haoni sababu ya kubembeleza mtu once you get out of her life zombie mwingine comes in thru the window and ame get used to it hadi haoni sababu ya kuumiza kichwa juu ya kumake her love alive.
mpaka hapo utagundua kwamba despite wote ni wazuri tu Kongosho anamzii gfsonwin sana kwenye uwezo wa kuvutia, na gfsonwinkwakujua kwamba akimkosa baba klein atakula mbichi basi anajitahd kuvumilia na kuwa very obidient kwake hata kwa yale ambayo ni magumu kwake.
diclaimers------jst an example tu.
hapo nimepata mwanga zaidi
Last edited by a moderator: