Tujadili: About the love life

Tujadili: About the love life

still bado mnapata confusion enh!

ngoja nikupeni mfano mmoja hapa, gfsonwin ni nice looking woman, ambaye ana attract attention ya kila mwanaume but yeye hayuko mzuri kama Kongosho ambaye ni very attractive woman na kila akiwa na mtu ama la soko lake lina panda zaid.

gfsonwin yeye kwasabbu ya haiba zake anajua kwake kuolewa na baba klein ndo mwisho to her anakazna kutetea penzi lake kwa baba klein kwa gharama yyte ile ya busara na akili yake. kongosho kwasabbau soko lake lipo juu sana haoni sababu ya kubembeleza mtu once you get out of her life zombie mwingine comes in thru the window and ame get used to it hadi haoni sababu ya kuumiza kichwa juu ya kumake her love alive.

mpaka hapo utagundua kwamba despite wote ni wazuri tu Kongosho anamzii gfsonwin sana kwenye uwezo wa kuvutia, na gfsonwinkwakujua kwamba akimkosa baba klein atakula mbichi basi anajitahd kuvumilia na kuwa very obidient kwake hata kwa yale ambayo ni magumu kwake.

diclaimers------jst an example tu.

hapo nimepata mwanga zaidi
 
Last edited by a moderator:
Mrombo wangu Preta is every thing, physical attraction ilikuwa namba wani(yupo white, mnene wastani na sura ya Kirombo, yupo short na mwaya kidogo), nilipomtupia neno alinijibu kwa lugha ya kistaarabu, sauti yake ilikuwa of low tone, ilinitia raha kuisikia. Baada ya muda mchache akawa ameuteka moyo wangu kwani huyu mdada ni mshauri mzuri sana, (kwa masuala ya kijamii na uchumi, siasa hapendi) msaidizi asiyetiliwa shaka(Hodari wa kazi za ndani na nje), Kiongozi mzuri sana pale nilipofyatuka(kuna wakati akili yangu ilitaka kuhamia kwa charminglady lakini huyo mrombo hakuniacha nipotee) na mwisho Preta wangu ni mcha Mungu sana, mie biblia tangu niliposoma skuli enzi za baibo study lakini huyu wangu alikuja na biblia yake na kunanzishia vipindi vya kusoma biblia nyumbani na wiki ijayo nikirudi toka huku Tabora amesema anaenda kunitambulisha kwa kiongozi wa kwaya Nicas Mtei (shemeji) nianze kuimba kwaya!

Kwa sababu hizo nikaona loooh, kitu si ndo hicho, basi bila talalila nikaamua kuwa KEEPER

hivi mtu chake ame rizain?
 
Last edited by a moderator:
Dada Mwonilih! Habari za magono!!

Wifi yako Preta yupo mpweke nimesafiri, uwe unasalimia na kumtembelea maana vagosi vangi vavii ngati makoko!!
ha haaa, pole mlongo wangu...
wadala wa magono haga vichungika lepa mlongo wangu. kuwa na amani tu
 
Nafikiri mie ni gud Keeper lolz!

Attractor not very sure lolz.

Nachofanya..
1.Kuridhika na niliye nae na kujifunza kuyakubali mapungufu yake,
2. kuendelea kujifunza sanaa ya malavi davi kila iitwapo leo,
3. kuhakikisha na maintain tabia zangu njema na Kufanyia kazi mapungufu yangu
4. Kufanyia kazi muonekano wangu.. Mavazi, size n.k


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nafikiri mie ni gud Keeper lolz!

Attractor not very sure lolz.

Nachofanya..
1.Kuridhika na niliye nae na kujifunza kuyakubali mapungufu yake,
2. kuendelea kujifunza sanaa ya malavi davi kila iitwapo leo,
3. kuhakikisha na maintain tabia zangu njema na Kufanyia kazi mapungufu yangu
4. Kufanyia kazi muonekano wangu.. Mavazi, size n.k


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Unajitahd sana kama tu hayo unayoandika ndo unayoyafanya.
 
How??? Fafanua tafadhali.
Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifu
 
One can be both, attracter and keeper. It may happen that an attracter can't keep, and that's really complicated.

Attraction comes mainly from the physical appearance of an individual, the way they talk, laugh, smile, etc. But aint enough to keep someone. Guys who lack attraction often try so hard to convince smb but once they manage to do so, they succeed in keeping them coz they know how hard it is to get them, attracters mosty dump easily, they don't care coz of their looks, they are confident, they are admired by lots of people so for them, dumping isnt an issue.
 
One can be both, attracter and keeper. It may happen that an attracter can't keep, and that's really complicated.

Attraction comes mainly from the physical appearance of an individual, the way they talk, laugh, smile, etc. But aint enough to keep someone. Guys who lack attraction often try so hard to convince smb but once they manage to do so, they succeed in keeping them coz they know how hard it is to get them, attracters mosty dump easily, they don't care coz of their looks, they are confident, they are admired by lots of people so for them, dumping isnt an issue.

Well said Eli79, naona unakubaliana na mwl. gfsonwin nami nakubaliana nanyi.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifu
Aahahh; okay. It is another way of dealing with hawa viumbe tunaowapenda.
 
Hahahaha Kaunga, mie kwa uchunguzi wangu nimegundua the more unamganda mtu the more hataki kuwa na wewe, bali ukimwacha ukampa nafasi ya kukumiss, kama vile anakuja resi, hii nimeiona kwa mdada mmoja hivi nilimpa ushauri ukafanya kazi, sasa hivi katulia kwenye ndoa yake takatifu

ila kweli!
kuna wakati hii mbinuhii huwa inasaidia sana!
yani unamkeep mtu bila kujijua kuwa unamkeeep like hutaki ajue kuwa he/she is tht keeeeepable
ile anakuja kustuka kuwa hutaki kumkee[ yeye ndo anataka kukipeeka sasa!anajikeepishaaaaje!
 
ila kweli!
kuna wakati hii mbinuhii huwa inasaidia sana!
yani unamkeep mtu bila kujijua kuwa unamkeeep like hutaki ajue kuwa he/she is tht keeeeepable
ile anakuja kustuka kuwa hutaki kumkee[ yeye ndo anataka kukipeeka sasa!anajikeepishaaaaje!

Anajikeepisha; l just love it! Lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom