Da Dinnah
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 504
- 181
I just want to know, am I wrong?if he is not?
utaacha soma post zake?
I just want to know, am I wrong?if he is not?
utaacha soma post zake?
I just want to know, am I wrong?
curiosity killed a cat
Let it be, worry not, are you straight boss, i can sense nervousnesscuriosity killed a cat
Mbona tukiwa pamoja anajifanya kunambia hajawahi penda kama anavyonipenda
Hapo ni indefinite article 'the' ndiyo inahusu :biggrin:
Let it be, worry not, are you straight boss, i can sense nervousness
hahahahaaamimi tena?
Nikupe offer uthibitishe one night?lol
Mie nachoka kabisa, hapa swala ni kujifunza kumpenda anayenipenda maana naempenda nahisi usumbufu sana,thanks kwa kushare xperience yakoDinnah my dear, there is less information ambayo itanifanya nikushauri lakini pamoja na hayo; hata mimi sifanyi vizuri kwenye mapenzi hivyo siwezi kukwambia kwa uhakika tatizo ni nini.
But nina imani kama una quality hizo walizo changia wadau then waweza mkeep mtu yule anayetaka mapenzi. Lakini pamoja na yote hayo bado kama Mungu hayalindi hayo mahusiano; shetani halali kwa ajili ya kuharibu mahusiano ya wana ndoa au potential wanandoa so ni bora kumkabidhi Mungu mahusiano yenu.
Mbona kuna wadada na wakaka wa kawaida kabisaa, wameng'ang'aniwa na wapenzi wenye pesa? mi nadhani ni bahati tu.au the way you play your cardsKwenye u-keeper I am a victim, kwa dunia ya sasa you will never be a keeper unless you have money or you may be perceived as a frugal in most cases.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mie nachoka kabisa, hapa swala ni kujifunza kumpenda anayenipenda maana naempenda nahisi usumbufu sana,thanks kwa kushare xperience yako
Yaani, usiombe kujilazimisha kukaa na mtu usiyempenda, daaaaaa, kwa kweli hili nalo neno,ahsante dear,mambo gani haya hadi unywe pombe ndo uweze kunanihii la sivyo ....Sijafanikiwa na nina wasiwasi naweza nishindwe. Bora kaa mwenyewe kwanza, halafu uanze upya huenda ukampenda anayekupenda. Love comes to those who still believe even though they have been hurt before.
were you read a dictionary as your bedtime stories when u were little?Hapo ni indefinite article 'the' ndiyo inahusu :biggrin:
were you read a dictionary as your bedtime stories when u were little?
Mbona kuna wadada na wakaka wa kawaida kabisaa, wameng'ang'aniwa na wapenzi wenye pesa? mi nadhani ni bahati tu.au the way you play your cards
oh!!! unafanana na my english proficient friends so i thought u were read stories as wellNo I wasn't.
im the antidote to ALL your man problems. hii picha ina maelezo zaidiahahaahhahahhahahahhha natamanije sasa niweze kumsahau The Boss ,dyu have the so called the boss antidote!?
ila sasa na yeye ni mkeeeper ujue af an attractor sasa sijui inakuwaje hapo!