Sababu ya asilimia kubwa ya Waarabu na Wahindi kuonekana matajiri Tanzania

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Nani mara ya mwisho ana kumbukumbu hata shamba la babu yake mzaa babu yake.

Mtajibu kwa wakati wenu!

Sisi ngozi nyeusi ni wabinafsi ndio maana kwenye ukoo ataonekana ni mtu mmoja kuwa na uwezo tu.

Waarabu na wahindi ni watu wenyekuona mbali ijalishi watakapopita ila zumuni lao kuendeleza kufika mbali.

Ukiona historia kama za kina Mo na GSM inaonesha walianza maisha huko zamani kama watu wa kawaida na kubebana bila kuwa na tamaa.

Kwa tanzania yetu familia au koo azina ushirikiano kwenye kuendeleza mali au kitu ndio maana ukifa wanakalia kuuza mfano tosha kariakoo.

Wenzetu wanajua kutunza mali zao mpaka kitukuu itaikuta na wanabebana sana mfano MASUMINI watoto wamekulia kwenye biashara na vizazi vyao.

Waarabu na wahindi wanabebana kama kuwasomesha kwa malengo ya baadae ajekufanyia kazi hiyo.

Waarabu na wahindi wanaweza kumsaidia ndugu yao ijalishi kafanya mabaya mangapi ili mradi kubadilika kufanya mazuri kama wao.

Waarabu na wahindi inawezekana wanafungu lao la ukoo kwenye pesa na baishara zao kuwa pamoja ndio maana unaona ndugu wanafanya kwa pamoja kama mali yao.

Swala la kubaniana kwao mwiko kabisa ndio maana unaona mmoja akiwa ulaya au kwengine utaona wanavobebana na kusaidia kama kukuza matawi ya biashara.
mfano ni huu ndugu anapesa ila hataki kusaifiri kufata mizigo mfano nje. basi ndugu mmoja atawekwa huko kwa ajili ya kushugulikia mizigo ili kupunguza galama za kusafiria kila mara.

Wenzetu wameweka ushirikiano sana kushika zile sekta na viongozi ili kulindwa.

Tuje kwa waarabu ni watu wanaona mbali kuwa na ardhi mapema na ndio maana asilimia kubwa wameshikilia waarabu katikati ya miji na sehemu nzuri tu.

Tujifunze maana tumepoteza Koo nyingi kwa ulafi wa mali
 
FB_IMG_16719049677955950.jpg
 
Nani mara ya mwisho ana kumbukumba hata shamba la babu yake mzaa babu yake.

Mtajibu kwa wakati wenu!

sisi ngozi nyeusi ni wabinafsi ndio maana kwenye ukoo ataonekana ni mtu mmoja kuwa na uwezo tu.

waarabu na wahindi ni watu wenyekuona mbali ijalishi watakapopita ila zumuni lao kuendeleza kufika mbali.

ukiona historia kama za kina Mo na GSM inaonesha walianza maisha huko zamani kama watu wa kawaida na kubebana bila kuwa na tamaa.

Kwa tanzania yetu familia au koo azina ushirikiano kwenye kuendeleza mali au kitu ndio maana ukifa wanakalia kuuza mfano tosha kariakoo.

Wenzetu wanajua kutunza mali zao mpaka kitukuu itaikuta na wanabebana sana mfano MASUMINI watoto wamekulia kwenye biashara na vizazi vyao.

waarabu na wahindi wanabebana kama kuwasomesha kwa malengo ya baadae ajekufanyia kazi hiyo.

Waarabu na wahindi wanaweza kumsaidia ndugu yao ijalishi kafanya mabaya mangapi ili mradi kubadilika kufanya mazuri kama wao.

waarabu na wahindi inawezekana wanafungu lao la ukoo kwenye pesa na baishara zao kuwa pamoja ndio maana unaona ndugu wanafanya kwa pamoja kama mali yao.

Swala la kubaniana kwao mwiko kabisa ndio maana unaona mmoja akiwa ulaya au kwengine utaona wanavobebana na kusaidia kama kukuza matawi ya biashara.
mfano ni huu ndugu anapesa ila hataki kusaifiri kufata mizigo mfano nje. basi ndugu mmoja atawekwa huko kwa ajili ya kushugulikia mizigo ili kupunguza galama za kusafiria kila mara.

Wenzetu wameweka ushirikiano sana kushika zile sekta na viongozi ili kulindwa.

Tuje kwa waarabu ni watu wanaona mbali kuwa na ardhi mapema na ndio maana asilimia kubwa wameshikilia waarabu katikati ya miji na sehemu nzuri tu.

Tujifunze maana tumepoteza Koo nyingi kwa ulafi wa mali
Sababu kubwa pia ni wako ugenini. Kadhalika wanaamini sana katika shirki
 
Kuna makabila kama Wachagga na Wakinga washalifahamu hili kazi kwetu Wagogo na Wasangu.
Hao hapana tunawajua wanavimbiana wenyewe kweny biashara hawana mpya hakuna ngozi nyeusi wote wanafanana.

Makabila yenye upendo wa kufanana kama waarabu ni wapemba, wagunya, watumbatu ,warangi ,wasambaa hao ndo wanaweza kukaa nyumba moja wakajazana tele wakiwa wote ndugu
 
Nani mara ya mwisho ana kumbukumba hata shamba la babu yake mzaa babu yake.

Mtajibu kwa wakati wenu!

sisi ngozi nyeusi ni wabinafsi ndio maana kwenye ukoo ataonekana ni mtu mmoja kuwa na uwezo tu.

waarabu na wahindi ni watu wenyekuona mbali ijalishi watakapopita ila zumuni lao kuendeleza kufika mbali.

ukiona historia kama za kina Mo na GSM inaonesha walianza maisha huko zamani kama watu wa kawaida na kubebana bila kuwa na tamaa.

Kwa tanzania yetu familia au koo azina ushirikiano kwenye kuendeleza mali au kitu ndio maana ukifa wanakalia kuuza mfano tosha kariakoo.

Wenzetu wanajua kutunza mali zao mpaka kitukuu itaikuta na wanabebana sana mfano MASUMINI watoto wamekulia kwenye biashara na vizazi vyao.

waarabu na wahindi wanabebana kama kuwasomesha kwa malengo ya baadae ajekufanyia kazi hiyo.

Waarabu na wahindi wanaweza kumsaidia ndugu yao ijalishi kafanya mabaya mangapi ili mradi kubadilika kufanya mazuri kama wao.

waarabu na wahindi inawezekana wanafungu lao la ukoo kwenye pesa na baishara zao kuwa pamoja ndio maana unaona ndugu wanafanya kwa pamoja kama mali yao.

Swala la kubaniana kwao mwiko kabisa ndio maana unaona mmoja akiwa ulaya au kwengine utaona wanavobebana na kusaidia kama kukuza matawi ya biashara.
mfano ni huu ndugu anapesa ila hataki kusaifiri kufata mizigo mfano nje. basi ndugu mmoja atawekwa huko kwa ajili ya kushugulikia mizigo ili kupunguza galama za kusafiria kila mara.

Wenzetu wameweka ushirikiano sana kushika zile sekta na viongozi ili kulindwa.

Tuje kwa waarabu ni watu wanaona mbali kuwa na ardhi mapema na ndio maana asilimia kubwa wameshikilia waarabu katikati ya miji na sehemu nzuri tu.

Tujifunze maana tumepoteza Koo nyingi kwa ulafi wa mali
Umenena vyema, ila sio wahindi au Waarabu wote wana hizi characters. Kuna wahindi na Waarabu mafukara huko kwao hujawahi ona. Hao omba omba pale Delhi na Mumbai ndio usiseme. Wahindi wengi wakija bongo na kuona fursa zilizopo huku wenye nchi wamelala wanapataga hasira sana. Kitu kingine cha tofauti, hawa watu wako hard working sana,na wana Displine ya muda pamoja na pesa.
 
Mkuu umeona mbali sana kuna siku nilimchana shemeji yangu mmoja yuko vyema kinoma noma ila watoto wake hawana kazi, hawana mpango wowote naniwakubwa na wanajielewa.

Kuna siku nikamchana Shemeji acha roho ya umimi na ubinafsi ushakuwa mtu mzima nawatoto wana akili wajengee watoto wako ktk misingi yakusimama wenyewe unamiradi mingi unashindwaje kuweka watoto na kuwafunza biashara unazofanya wakasimama wakakusaidia mbele ya safari au hata kuwapa misingi. Ila akaendelea na roho mbaya yake.

Oooh Mwenda zake aliposhikilia msukani jamaa kafilisika kabisa juzi kati nilimdokezea sasa Shem hivi ungeufanyia kazi lile wazo watoto wako wangekuwa wanakupa back up ona sasa umekuwa kama teja hata bili zanyumbani zinakushinda.
 
Back
Top Bottom