Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 801
- 546
Kuna kipindi hata Kikwete walimsema anapendelea kwenye kugawa madaraka, akasema hawezi kumchagua mtu ambaye hamfahamu amsaidie kwenye uongozi wake. Chukulia kwa mfano ungekuwa wewe, je, ungeweza kumteu mtu usiyemjua awe kiongozi kwenye utawala wako? The same applies to Magufuli, he is applying the rules that have already implemented by his succsesors