CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,315
12,614
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4). Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine. JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!!!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Ebanaee mbona unasema ukweli :D
 
Acheni Ukabila, athari zake ni kubwa sana. Nilishawahi pia kuwaambia wengine, hayo maneno ya Sukuma gang ni hatari sana kwa sababu wapo Wasukuma kama ni mpinzani atajihisi anabaguliwa na ku-side kivyao.

Niliwaambia pia wanawaita Wagogo washamba kisa hawakubaliani na Ndugai wakati ule (wanaofanya hivi wanajijua) athari zake ni kubwa.

Si Kila Msukuma atatafsiri neno "Sukuma gang" ni wale waliokuwa wafuasi wa JPM. Wapo watakaohisi wanalengwa wao.

Na ninyi mnaowachochea Wasukuma acheni. Yakiparaganyika kuiweka Nchi pamoja itakuwa kazi kubwa.
 
Mbowe na Lisu wana laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Ni kweli Mbowe ni mojawapo ya genge la wapigaji.
Wapinzani wanatumia na magenge na mahasimu ndani ya CCM.

Hapakua na sababu ya kuanzisha kampeni za kumtukana na kufurahia Kwa wazi kifo cha MAGUFULI.

Ingetosha tu kukaa kimya.
Uzalendo Wa MAGUFULI utadumu iwenye mioyo ya wasukuma na Watanzania wanyonge.
Wengi waliguswa na kifo cha MAGUFULI kutoka mioyoni mwao.

Bado Hii nchi inahitaji MTU kama JPM.
Makonda
Majaliwa.
Polepole
Bashiru Ali.
Mpina.
John Heche
Lisu( Ana kinyongo cha Kupingwa risasi Jambo ambalo halimsaidii kisiasa.
Lisu angetangaza Msamaha bila angekua ni mwanasiasa Bora Wa Karne ya 21.
 
Acheni Ukabila, athari zake ni kubwa sana. Nilishawahi pia kuwaambia wengine, hayo maneno ya Sukuma gang ni hatari sana kwa sababu wapo Wasukuma kama ni mpinzani atajihisi anabaguliwa na ku-side kivyao.

Niliwaambia pia wanawaita Wagogo washamba kisa hawakubaliani na Ndugai wakati ule (wanaofanya hivi wanajijua) athari zake ni kubwa.

Si Kila Msukuma atatafsiri neno "Sukuma gang" ni wale waliokuwa wafuasi wa JPM. Wapo watakaohisi wanalengwa wao.

Na ninyi mnaowachochea Wasukuma acheni. Yakiparaganyika kuiweka Nchi pamoja itakuwa kazi kubwa.
Wasukuma walipigwa ganzi (nusu kaputi) na wakoloni, kisha na Nyerere, walikuwa wakitumia nguvu nyingi sana kulima, kuchimba madini na kufuga ng'ombe lakini barabara zao hazilingani na nguvu na utajiri wa rasilimali zao, walinyimwa elimu makusudi ili wasifike kule juu kabisa, na hakuna msukuma aliwahi kuwa hata waziri Mkuu pamoja na kuwa na idadi kubwa ya watu.
 
Sisi wala hatuna shida tunapambana kilimo na kufuga maji hata km tufate km 43 tutayafata tunapikipiki na baiskeli harafu wala haruna roho mbaya.Viongozi wenyewe wameanza kujishtukia tu maana sisi ndo tunawapa kula harafu wanatuona wapuuuzi furani.Huwezi peleka maji mpaka singida wakati ziwa lipo mwanza na wakazi wa mwanza wanashida ya maji hivi hilo linaingia akilini.
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Hivi izo takwimu kuwa wasukuma ni wengi zaidi mnazitoa wapi?

Ndo mana tunasema hapa kila siku kuwa nyie watu ni wajinga sana na hamstahili kuongoza hii nchi


Tanzania ina mikoa 26 na idadi ya watu milioni 61. Mnataka kusema wasukuma nchi hii ni zaidi ya milioni 31? Nyie watu ni wajinga na wapuuzi sana kwa kweli!!


Huu ujinga wenu embu msituletee hapa. Hili ni jukwaa la great thinkers.
 
Hoja yako ni hipi mbona ueleweki? Wewe utakuwa ni mchaga
Hoja yangu CCM imenasa kwenye kabila ya kisukuma, huelewi nini hapo. Unaona ni kawaida Makonda kuwa Katibu mwenezi wa CCM wewe? CCM imeishiwa? Ukweli ni kwamba wapinzani wamepiga kambi usukumani pia. Wasukuma Sasa ni kete ya kisasa ka wakikuyu wa Kenya. Think critically bro
 
Back
Top Bottom