Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!

Wewe utakua mchaga tu, tatizo kwenye hii awamu ya 5, JPM amewapiga teke sana watu wa kaskazini na hapo huyu Tundu kawashwa tu kama remote kwa manufaa ya wa kaskazini.Ila kwa ngosha kauvaa mkenge lazima anyee ndoo.watu wameshasahau enzi za TRA ilivokua imejaza wa kaskazini na Bima ilivojaza wa Mbeya..wa kanda ya ziwa hatukulalamika zamu yetu imekuja kelele nyingiiii, nyanoko !!

Sent using Jamii Forums mobile app

HUO NDO UKABILA.
Rudia kusoma ulichoandika
IMG_-20053w.jpg


May Allah bless Me and You
 
Tatizo la wasukuma wivu na kijicho wana roho ya kukunja balaa yani wanataka Jimbo zuri afanye yeye umsifie hiyo ndio sifa ya msukuma anapenda kusifiwa balaa, wewe ukitaka kitu cha msukuma msifie, na ukitaka kujua ana roho mbaya mzidi maendeleo alafu mpo eneo moja kazini nk ndio utamjua ujinga wake
 
Halafu wasukuma hawanjaanza leo kushika nafasi nyeti, tokea enzi za Nyerere ,Mwinyi, Mkapa na JK walikuwepo kina Francis Nyalali, Paul Bomani, Marc Bomani, Bob Makani, Komanya, Chief Masanja, Pius Ng"wandu,Andrew Chenge, Ernest Nyanda, Shija, Paul Rupia, Manumba,Feleshi ,Luhigo boss wa mamlaka ya bandari enzi ya Mkapa, just to mention few.
Hao uliowataja walikuwa Marais?
 
Nimerekebisha, sorry. Nasema wapo wasukuma wasomi, lkn si wengi angalau kunazia mika ya uhuru, see my point!
Wapo wengi tu tena sana, nimesoma Muhimbili nakumbuka alikuwepo Prof Mashalla, Dr Ntongwisangu, Dr Masesa, Prof Masele, Prof Mtabaji huyu alishawahi kuwa Principal wa Muhimbili enzi zile ipo chini ya UDSM na sasa ni CEO wa TCU. Just to mention few.Tatizo nyie wahaya mnapenda kujisifu mno.
 
Tatizo la wasukuma wivu na kijicho wana roho ya kukunja balaa yani wanataka Jimbo zuri afanye yeye umsifie hiyo ndio sifa ya msukuma anapenda kusifiwa balaa, wewe ukitaka kitu cha msukuma msifie, na ukitaka kujua ana roho mbaya mzidi maendeleo alafu mpo eneo moja kazini nk ndio utamjua ujinga wake
IMG_20170609_220829.jpg


May Allah bless Me and You
 
Walishika vyeo vikubwa chini ya maraisi wengine, just to Say that wasukuma hawanjaanza kukamata vyeo enzi hii ya Magufuli.
Unafahamu mamlaka ya Rais kwa nchi yenye katiba ya chama kimoja kama Tanzania?

Au unadhani Bashite angekuwa kabila lingine angetamba mpaka leo? Anyway ni zamu yenu.
 
Walishika vyeo vikubwa chini ya maraisi wengine, just to Say that wasukuma hawanjaanza kukamata vyeo enzi hii ya Magufuli.
Ukitaka kuamini tuna tatizo kubwa la ukabila fuatilia kwa makini kura zilizopigwa MWASHITA kati ya 2010 na Chadema kuipasuwa ngome hiyo, halafu fuatilia baada MWASHITA kupewa mgombea wao 2015 ni nini kilifuata.

Pia angalia Lowasa alivyomtesa Magufuli kura za Arusha uchaguzi wa 2015, anayebisha ukabila anajidanganya mwenyewe.
 
Ukitaka kuamini tuna tatizo kubwa la ukabila fuatilia kwa makini kura zilizopigwa MWASHITA kati ya 2010 na Chadema kuipasuwa ngome hiyo, halafu fuatilia baada MWASHITA kupewa mgombea wao ni nini kilifuata.

Pia angalia Lowasa alivyomtesa Magufuli kura za Arusha, anayebisha ukabila anajidanganya mwenyewe.
Hii hata Kenya ipo,mtu kwao.Raila atapata kura nyingi Kisumu wakati Nyeri Uhuru ndo ataongoza.Hata Duniani kote ipo,mgombea yeyote atapata kura nyingi anakotokea.Hapa tunaongea Rais na uteuzi,Magufuli angekuwa mkabila hata baraza lake la uwaziri lingekuwa na wasukuma robo tatu,but it is not the case.
 
Tusipost japo tumepost, naomba uweke references hapo za kupitia tuoone wapi wame state hao wasukuma ni kabila linaloongoza kwa upendo, ukarimu na uchapakazi
 
Ukitaka kuamini tuna tatizo kubwa la ukabila fuatilia kwa makini kura zilizopigwa MWASHITA kati ya 2010 na Chadema kuipasuwa ngome hiyo, halafu fuatilia baada MWASHITA kupewa mgombea wao 2015 ni nini kilifuata.

Pia angalia Lowasa alivyomtesa Magufuli kura za Arusha uchaguzi wa 2015, anayebisha ukabila anajidanganya mwenyewe.
Unalosema ni kweli lakini lazima uelewe damu nzito kuliko maji, hivi ulitegemea Magufuli agombee urais na Lowassa halafu mikoa ya kanda ya ziwa wampe kura mzee mamvi thubutuuu.; na sasa hivi 2020 ndio itakua landslide victory ongeza kabisa na mikoa yote ya kati na magharibi itampa kura Ngosha..na kauli mbiu itakua " Tumekuja Tumeweza".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hata Kenya ipo,mtu kwao.Raila atapata kura nyingi Kisumu wakati Nyeri Uhuru ndo ataongoza.Hata Duniani kote ipo,mgombea yeyote atapata kura nyingi anakotokea.Hapa tunaongea Rais na uteuzi,Magufuli angekuwa mkabila hata baraza lake la uwaziri lingekuwa na wasukuma robo tatu,but it is not the case.
Msichambuwe mambo kama vipofu, Mkapa alipata upinzani kwenye kanda yake ya kusini kwa sababu watu wa kule hawana ukabila.

Siasa za Kenya ni za kikabila totally usitufananishe nao, kule kura zinaombwa kwenye makabila na si vinginevyo labda hamzijui siasa za Kenya.
Unalosema ni kweli lakini lazima uelewe damu nzito kuliko maji, hivi ulitegemea Magufuli agombee urais na Lowassa halafu mikoa ya kanda ya ziwa wampe kura mzee mamvi thubutuuu.; na sasa hivi 2020 ndio itakua landslide victory ongeza kabisa na mikoa yote ya kati na magharibi itampa kura Ngosha..na kauli mbiu itakua " Tumekuja Tumeweza".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu mamlaka ya Rais kwa nchi yenye katiba ya chama kimoja kama Tanzania?

Au unadhani Bashite angekuwa kabila lingine angetamba mpaka leo? Anyway ni zamu yenu.
Hana tabia ya kulalamika kama wewe..anafanya kazi inaonekana, anajali nchi na watu wake, hana ubinafsi!hawezi kutolewa kwa majungu ya wahalifu na wasiojali watu wengine.
 
Msichambuwe mambo kama vipofu, Mkapa alipata upinzani kwenye kanda yake ya kusini kwa sababu watu wa kule hawana ukabila.

Siasa za Kenya ni za kikabila totally usitufananishe nao, kule kura zinaombwa kwenye makabila na si vinginevyo labda hamzijui siasa za Kenya.
Sina uhakika na unachokisema but im sure kura nyingi za Mtwara na Lindi alipata Mkapa ukilinganisha na Mrema.
 
Back
Top Bottom