hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,919
- 9,744
The right truck in the right track.
Absolutely
The right truck in the right track.
Silence is a better reply to a ..... And this is what BM and his companion has been doing.Kwanini sisi tunaongea sana kwenye hii lakini membe amekuwa kimya?
Ha ha ha umenifurahisha sana...maagizo na maigizo...they smell the same.Utaratibu upi Mkuu
Utaratibu aliondoka nao Mwalimu tumebaki na maagizo na maigizo
Exactly...!Huyu jamaa ana issue zake personal na Membe usimuamini sana
Ndio tuone kuwa Chahali ni propagandist tu. Anajua kutunga uongo na kutaka kuaminika kumbe ni poyoyo tu.Mkuu Chahali, asante kwa hii kitu, ulianza vizuri kwa hoja zako, ila hapo mwishoni kwenye last thing kuhusu kinachoendelea ndani ya CCM, ukaharibu.
Japo ni rukhsa kudhania jambo lolote, lakini kwa mtu kwa mtu wa calibre yako kudhani hivyo ni too low for you. Hakuna harakati zozote za kumtafuta mrithi wa JPM, 2020 kwa sababu CCM tayari ina utaratibu wake wa ndani kuwa rais aliyepo haruhusiwi kupingwa, kabla hajakamilisha kipindi chake cha miaka 10. Hivyo hakuna fomu zozote za urais zitatolewa kwa mgombea mwingine yoyote, hivyo hakuna kitu kama hicho.
P
******** worst president ever...saiv haelewani na majaliwa anatamani amtumbue hata kesho.
Hivi ili shetani tulilitolea wapi?
Kina Membe na genge lake....nani aliwaambia lazima wawe viongozi wetu?Hatutaki na hatuwezi kuendelea kufanya mazoezi ya kujaribia viongozi. Wenzetu wanasonga mbele sisi tunaendelea na staili za uongozi Wa Yanga na Simba. Hiyo michezo haikubaliki tena.
Kina Membe na genge lake....nani aliwaambia lazima wawe viongozi wetu?
Kwanini wasijiongoze huko waliko wanalazimisha mpaka wawe kwenye dola?
Ili wagawane tena rasilimali kama Tanzania wako wenyewe peke yao? Shame on them
Nop....Kwani ambao wapo madarakani now hawakuwepo wakati Mali zinaibiwa?
Nop....
Bora umeona....maana I just enjoy life wakati wewe uko serious unafikiria haya mabandiko yetu yatabadilisha chochote....kumbe hamna kitu.Ngoja nikae kimya isije Kuwa nabishana na mtu wa 17yrs old
Hiyo hiyo haijalishi inatoka ardhini ama kuzimu..!!Katiba toka Mwezini
Boss! Wakati wa mchakato wa kupata mgombea wa CCM kulikuwa na hisia za kumpata kijana. Mchakato ukaruhusu zaidi ya wagombea 40, sijui kama walikuwa wana maana hiyo au waliamua kuchangia chama. hata mawe yaliandikwa majina ya wagombea!Soma vizuri mchango wangu mimi nimejikita ktk kariba na ‘exposure’ pia umri ili kupata mtazamo mpya na nikasema ukitoa hao ambao nimewataja tunaweza kuwajadili pia na watakao jitokeza hapo baadae kwa kariba hiyo na umri huo na ‘exposure ‘
Pia hivi mtu kama Membe ( sijabeza uzoefu na exposure yake) ambae kahusika kwa karibu na na matokeo yoyote chanya au hasi ktk nchi hii ni kweli bado tunaweza rudi kumuona kama ni ‘best candidate’ ktk zama na wakati huu
Kwa Membe tunatengeneza ‘cycle’ ya visasi, ujuaji,kutambiana,umjini, na mambo kama hayo
Badala tuweke nguvu kwa watu watakao ‘liponya’ Taifa na mipasuko na pia kuja na mustakabali mpya sidhani Membe kama atakuwa mtu sahihi kwa nyakati hizi na narudia tena sijabeza ubobezi , uzoefu na taaluma yake lkn kumchagua ni kurudi nyuma na huu ni mtizamo wangu tu mkuu
Kina Membe na wengine wa kariba hiyo wabaki kama washauri tu kwa mambo ya Kitaifa
Pole! NI ishara kwamba kichwani mwake ni kopo tu! Mtu anayetaka urais wa 2020 asingeweza kuanza kudhalilika mapema hii, miaka 3 tu tangu alipodhalilika Dodoma. Kundi lililomkataa ameliweka wapi kwa miaka 3 iliyopita? Au hajui kwamba alikataliwa.
Kwa ufupi tu! Wakati wa Kikwete hatukuwa na utawala, kilikuwa ni kikundi cha watu wa misheni tauni. Mikogo na wizi wa wazi.Na mkumbuke huyu jamaa alikimbia Nchini kipindi cha kikwete na Membe akiwa kiongozi mwandamizi wa Serikali inawezekana Membe alichangia huyu jamaa kukimbia so analipa kisasi kwa kumchafua.
Na sitoshangaa ikitokea wakabaki wagombea wawili let say Membe na Jiwe huyu jamaa yupo radhi kumkampenia Jiwe kama alivyofanya 2015 zidi ya Lowassa. Jamaa ana chuki sana na wote waliokuwa kwenye Utawala wa Kikwete.