Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

Wewe umerogwa sio upinzani tu eanaomchukia jiwe, akikaa jiwe na sungura mie nachagua sungura
Hayo yalikuwepo hata wakati wa kipindi cha JK kabla ya 2010, lakini walipoingia kule ndani matokeo unayajua, au kama ulikuwa bado mdogo, JK alishinda kwa kishindo tofauti na wale walioamini kungekuwepo na kura za maruhani.

CCM ni gwiji wa siasa za hapa, wameshawaingiza kwenye mtego nanyi mmeingia, mkija kushtuka ni 2020 na hamjaandaa mgombea.
 
Vipi kama akiachana na CCM mapema; asingojee jina kukatwa ndo ahame kwa style ya ENL? Binafsi nafikiri Rais makini atatokea chama chochote lakini ni lazima atoke CCM mapema. CCM must goooo!
Daaa wajameni mmemshindwa Mbowe kumngoa kwenye uenyekiti wa milele mnakimbilia kuzungumzia mambo ya Chama kubwa kama hili...hahahahha hivi mnaijua ccm labda niwaulize...!! Unajuaje labda kinachoendelea ni siasa tu kama alizozifanya Luwasa kwenda chadema..kwani unaamini Luwasa ni mpinzani wa ukweli au kaenda kuua ajenda ya ufisadi iliyokuwa inamla...umebidi nicheke kwa kebehi....mmekaa mnabwabwaja hata hamjui maskini mambo ya dunia..haya...!
 
Hayo yalikuwepo hata wakati wa kipindi cha JK kabla ya 2010, lakini walipoingia kule ndani matokeo unayajua, au kama ulikuwa bado mdogo, JK alishinda kwa kishindo tofauti na wale walioamini kungekuwepo na kura za maruhani.

CCM ni gwiji wa siasa za hapa, wameshawaingiza kwenye mtego nanyi mmeingia, mkija kushtuka ni 2020 na hamjaandaa mgombea.
Hehehehehe inabidi nicheke kwa kebehi...embu waambie...eti upinzani..upinzani au upingaji...!! Upinzani wenyewe unaongozwa na nani...kyngekuwa na upinzani wabunge wao kibao waliohama wangehama...???? Upinzani wa Mbowee huyu tunayemjua....walahi naweza mtemea mate mtu anayekurupuka na hoja mfu za kipinzani
 
Boss! Wakati wa mchakato wa kupata mgombea wa CCM kulikuwa na hisia za kumpata kijana. Mchakato ukaruhusu zaidi ya wagombea 40, sijui kama walikuwa wana maana hiyo au waliamua kuchangia chama. hata mawe yaliandikwa majina ya wagombea!

Katika wote unaowaita vijana hakuna unayeweza kuona umahili wake au fikra bora alizonazo. Yaonekana kwa makuzi yetu, elimu yetu na mazingira yetu ni vigumu kumpata mtu wa aina ya Nyerere ambaye wakati anakuwa rais, angeweza kulala disco. Enzi hizi hadi wazee wnajiita vijana na mpaka mtu anakuwa rais bado analewa sifa za redioni na kujiita kijana. Bado ni mtu wa kutafutiwa akina dada na kupokea sifa za mavazi, naye anapenda sifa hizo. Tuko nyuma.

Neno exposure tangu uchaguzi uliopita bado halieleweki lina maana gani. Baadhi munalitumia kumaanisha kufika ulaya na amerika jambo ambalo ni upuuzi. Exposure ni nini? Sifa ya exposure ni trivial, non specific na hatuitaki! Weka mambo ya wazi. Nani kati ya damu mpya anaweza kusimamia maamuzi ya manufaa kwa Taifa na wananchi? Au ni hao ambao tunasikia wakipewa wizara tu, cha kwanza ni kuangalia mwanamke gani mzuri na kumuhamisha. Akina mama nao ni kushindana kuvaa, kutetana kwa miili yao, nk. badala ya substance vichwani.

Umeongea mengi sawa na kuweka vizuri tu maana yangu ya ‘exposure’ ni uelewa wa jumla kuhusu dunia yetu ya kisasa na mahitaji yake na pia kujua namna ya kutoa suluhu za changamoto hizi za kisasa na kwa wakati husika na siyo tu kuwa sehemu fulani kimwili

Mitizamo na mbinu za kizamani haziwezi kutuvusha na hii inategemea uwezo wa muhusika mwenyewe

Unaona sawa hisia hizi za kuangusha uchumi kwa kigezo cha ‘majizi’ au wote wapiga ‘deals’ na hayo majizi mbona hatuyaoni kwenye mahakama ya mafisadi, kikubwa kilichotakiwa kuziba mianya ya wapigaji tu na kukuza uchumi kwa kufungua nchi kwa uwekezaji kutoka ndani na njema kutunga sheria rafiki kwa wafanya biashara na kumpa mtanzani nguvu ya kununua kwa kutoa ajira na kulipa mishahara mizuri kwa watumishi wa sekta ya umma
 
Ni upuuzi kabisa kusikiliza habari za watoto wa chekechea.Haiingii akilini mtu afanye au anatarajia kufanya kosa la jinai tena kwa kiongozi mkubwa halafu eti taasisi za usalama zisimkamate mtu kwa mahojiano,badala yake eti chama ndiyo kinamuita mtu kwa mahojiano.Hapo kuna tatizo kama ambavyo mtuhumiwa alivyosema kuwa mtoa malalamiko ametumwa.Jifunzeni kuigiza vizuri,lakini si mbaya kwakuwa lengo ni kuunda zengwe ili jamaa atimuliwe chamani.
 
Ndio tuone kuwa Chahali ni propagandist tu. Anajua kutunga uongo na kutaka kuaminika kumbe ni poyoyo tu.
Mkuu Twahil, japo kweli kwa kiasi fulani ni propagandist, lakini hatungi uongo na sio poyoyo, huyu ni ex spy secret agent, hawa kazi yao ni kupewa tuu taarifa nyingine za ukweli na nyingine ni za uongo, kikawaida taarifa hizo hupokelewa toka sehemu mbalimbali kisha zinachakatwa, kuchujwa na kupepetwa, mchele unachukuliwa, pumba zinatupwa, sasa kinachofanyika ni Chahali bado ana wale colleague wake ndani ya system ambao wana muibia info, na kumlisha, sasa miongoni mwa info hizo pia yapo matango pori wao wanamlisha tuu na yeye anameza jumla kama hilo la CCM, wamemdanganya bado kuna ile CCM aliyoijua yeye, kumbe hajui kuwa sasa hakuna tena CCM, sasa kuna mtu, ndio chama, ndio serikali, ndio katiba, ndiye jeshi, ndiye polisi, ndiye Mahakama, who would dare challenge him?!, unless ni mwendawazimu!. Chahali hapo kalishwa tango pori akaingia mazima.

Sio tuu ndani ya CCM, bali hata nje, kwa mwaka 2020 Magufuli hana mpinzani, hana mshindani ni Magufuli tuu.

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums
P
 
Umeongea mengi sawa na kuweka vizuri tu maana yangu ya ‘exposure’ ni uelewa wa jumla kuhusu dunia yetu ya kisasa na mahitaji yake na pia kujua namna ya kutoa suluhu za changamoto hizi za kisasa na kwa wakati husika na siyo tu kuwa sehemu fulani kimwili

Mitizamo na mbinu za kizamani haziwezi kutuvusha na hii inategemea uwezo wa muhusika mwenyewe

Unaona sawa hisia hizi za kuangusha uchumi kwa kigezo cha ‘majizi’ au wote wapiga ‘deals’ na hayo majizi mbona hatuyaoni kwenye mahakama ya mafisadi, kikubwa kilichotakiwa kuziba mianya ya wapigaji tu na kukuza uchumi kwa kufungua nchi kwa uwekezaji kutoka ndani na njema kutunga sheria rafiki kwa wafanya biashara na kumpa mtanzani nguvu ya kununua kwa kutoa ajira na kulipa mishahara mizuri kwa watumishi wa sekta ya umma
Nchi iliyoendelea kibiashara Duniani tunawezasema ni US. Wana principle moja tu! Fanya biashara lipa kodi. Hutaki kulipa kodi achana na biashara. Hisia za kuangusha uchumi ni baseless. Uchumi unaosemwa ni biashara za kariakoo ambako ilikuwa center ya kukwepa kodi. Yaani watu wanaoombea watumishi waachiwe waibe pesa kwa sababu yoyote ile ili waweze kununua sementi? NO! Hiyo siyo serikali.

Hakuna sheria mpya ya kodi iliyotungwa ktk awamu hii, sheria zinasimamiwa. Waliozoea kukwepa kodi, Kariakoo wanafunga kwa kuamini wanastahaili super profit. Nani kaambiwa kulipa kodi isiyokuwepo? Mbona waajiliwa serikalini wanalipa kila mwezi. Anayefunga na kuondoka najua anaelekea nchi nyingine ya kiafrika iliyo legevu kusimamia kodi. M-TZ mweusi haondoki, wanaoondoka ni wahindi ambao hawajawahi kuendeleza nchi yoyote. Kila siku wao ni wageni, wachumaji, wakipata wanaelekea Canada na UK.
 
Kina Membe na genge lake....nani aliwaambia lazima wawe viongozi wetu?
Kwanini wasijiongoze huko waliko wanalazimisha mpaka wawe kwenye dola?

Ili wagawane tena rasilimali kama Tanzania wako wenyewe peke yao? Shame on them

Ngoja muda ufike ndio watu wafahamu kwamba michezo ya kubahatisha kupata viongozi tumeichoka.
 
Mkuu Twahil, japo kweli kwa kiasi fulani ni propagandist, lakini hatungi uongo na sio poyoyo, huyu ni ex spy secret agent, hawa kazi yao ni kupewa tuu taarifa nyingine za ukweli na nyingine ni za uongo, kikawaida taarifa hizo hupokelewa toka sehemu mbalimbali kisha zinachakatwa, kuchujwa na kupepetwa, mchele unachukuliwa, pumba zinatupwa, sasa kinachofanyika ni Chahali bado ana wale colleague wake ndani ya system ambao wana muibia info, na kumlisha, sasa miongoni mwa info hizo pia yapo matango pori wao wanamlisha tuu na yeye anameza jumla kama hilo la CCM, wamemdanganya bado kuna ile CCM aliyuijua, kumbe hajua sasa hakuna tena CCM, sasa kuna mtu, ndio serikali, ndio katiba, ndiye jeshi, ndiye polisi, ndiye Mahakama, who would dare challenge him, unless ni mwendawazimu!. Chahali hapo kalishwa tango pori akaingia mazima.

Sio tuu ndani ya CCM, bali hata nje, kwa mwaka 2020 ni Magufuli tuu, hana mshindani wala mpinzani.
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums
P

Kingine anachokosea Chahali ni kwamba wenzie wanamtengenezea mazngira ya yeye mwenyewe kujikamata na ushahidi anaotuma kila mara kwenye mitandao.

Hizo ni mbnu mbaya sana maana zamdidimiza adui chini zaidi.
 
Kuna wakati ambapondani ya ccm haikuwa dhambi kutangaza nia. Woga wa hilo ulianzia wapi na lini?
 
Kumkataa au kumpinga Magufuli 2020 ni kuwa wakala wa wanyang'anyi. Bado watanzania tunamuhitaji Magufuli kwa miaka mingine 10 ijayo ndio tuanze kufikiria wa kumrithi.
Ungetuonyesha hao wanyang’anyi tungefurahi maana mahakama za mafisadi hazijaanza kuchapa kazi, hata Bashe amesahau aliahidi kupigia kelele mahakama za mafisadi kama zingesahaulika
 
Upinzani wamefanikiwa jambo moja kubwa, nalo ni kukufanya UKARIRI upuuzi huu uliondika hapa JF bila kuhoji au hata kujua swali linasema nini? YES, CCM wameiba kwa miaka 41 fanya 50 kabisa, sasa mbadala wake ni upi? Upinzani ambao kwa miaka 20 wamekula rukuzu yote hata ofisi hawa, na wewe kipoozeo chao unakazana kusema wamepata wanachama wengi? Idiot!
Hiyo ruzuku Ni ngapi hasa, maana mnaitumia Kama fimbo. Je Nini bora kukijenga Chama mioyoni mwa watu au kujenga jengo iwapo una rasilimali fedha pungufu? Natoa heko kwa upinzani, sasa umeiva kuyang'oa mezi na mauaji ya CCM, yaliyoigeuza serikali kuwa kiwanda binafsi.
 
Siyo rahisi Magufuli kung'olewa 2020 kama watu wanavyodhani, CCM kuiondoa kwa box itachukua miaka mingi sana...mark my words....2020 siyo mbali ...I will be back to verify..... Remember the last droplet's determines the colour change...time will justify the means....BM atatikisa lakini mwisho atapoa tu....siasa za Kiafrika ni za ovyo sana.
 
Mkuu Twahil, japo kweli kwa kiasi fulani ni propagandist, lakini hatungi uongo na sio poyoyo, huyu ni ex spy secret agent, hawa kazi yao ni kupewa tuu taarifa nyingine za ukweli na nyingine ni za uongo, kikawaida taarifa hizo hupokelewa toka sehemu mbalimbali kisha zinachakatwa, kuchujwa na kupepetwa, mchele unachukuliwa, pumba zinatupwa, sasa kinachofanyika ni Chahali bado ana wale colleague wake ndani ya system ambao wana muibia info, na kumlisha, sasa miongoni mwa info hizo pia yapo matango pori wao wanamlisha tuu na yeye anameza jumla kama hilo la CCM, wamemdanganya bado kuna ile CCM aliyoijua yeye, kumbe hajui kuwa sasa hakuna tena CCM, sasa kuna mtu, ndio chama, ndio serikali, ndio katiba, ndiye jeshi, ndiye polisi, ndiye Mahakama, who would dare challenge him?!, unless ni mwendawazimu!. Chahali hapo kalishwa tango pori akaingia mazima.

Sio tuu ndani ya CCM, bali hata nje, kwa mwaka 2020 Magufuli hana mpinzani, hana mshindani ni Magufuli tuu.

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums
P

Bro Pascal leo umepiga cha Arusha nini!!
 
Baba Magufuli tulia baba na tafakari kwa kina.

Hawa watu wamekuita majina yote, hadi jiwe!!

Nafikiri ukawaambia sina mpango wa kugombea tena watafurahii sana....Ila sikudanganyi ikifika 2019 mwishoni watakujia kukuomba ubadili mawazo...ndio watanzania na wanadamu tulivyo.

JK tulimsema weeee, acha tu JK wa watu alinyong'onyea kipindi kile...Leo hii ni shujaa. Anyway, ubinadamu ni kazi!!
 
Membe baba Mungu akulinde ushinde ututoe katika hii dhahama mana huku misri mateso ni mengi baba..huyu pharaoh hata hatujali kabisa tumekuwa watumwa n.a. maskini katika nchi yetu
 
Mkuu Twahil, japo kweli kwa kiasi fulani ni propagandist, lakini hatungi uongo na sio poyoyo, huyu ni ex spy secret agent, hawa kazi yao ni kupewa tuu taarifa nyingine za ukweli na nyingine ni za uongo, kikawaida taarifa hizo hupokelewa toka sehemu mbalimbali kisha zinachakatwa, kuchujwa na kupepetwa, mchele unachukuliwa, pumba zinatupwa, sasa kinachofanyika ni Chahali bado ana wale colleague wake ndani ya system ambao wana muibia info, na kumlisha, sasa miongoni mwa info hizo pia yapo matango pori wao wanamlisha tuu na yeye anameza jumla kama hilo la CCM, wamemdanganya bado kuna ile CCM aliyoijua yeye, kumbe hajui kuwa sasa hakuna tena CCM, sasa kuna mtu, ndio chama, ndio serikali, ndio katiba, ndiye jeshi, ndiye polisi, ndiye Mahakama, who would dare challenge him?!, unless ni mwendawazimu!. Chahali hapo kalishwa tango pori akaingia mazima.

Sio tuu ndani ya CCM, bali hata nje, kwa mwaka 2020 Magufuli hana mpinzani, hana mshindani ni Magufuli tuu.

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums
P
Hahaha ataendelea kulishwa matango pori tu.
 
Ah Acha kutulisha matango pori bwana
Membe ni kada wa ccm, na katiba inasema uraisi mwisho ni miaka mitano then unaomba Tena.

Membe na mwingine yoyote Ana haki ya kujipanga au kujiandaa kwa kama anaitaji kugombea

Miaka yote iko hivyo na itaendelea Kuwa hivyo so Membe yuko on the right truck
Lakini kanuni za ccm si hivyo wao ni miaka10
 
Back
Top Bottom