bahati mbaya
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 578
- 193
Tughe wanajipendekeza" Wafanyakazi wanalia na PAYE wao waongelea mshahara wa Rais ambao haukatwi hata kodi. Aibu yao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nilisoma hapa juzi, mishahara ya maraisi kama Obama wa USA, Kenyata, Msumbiji, Uingereza, China na nyingine nyingi hata nchi inayoitwa ya kidikteta Zimbabwe yote imewekwa wazi.
Swali ninalojiuliza ni kama hao walioiweka hiyo mishahara wazi nao walisitahili kushikiwa kama TUGHE wanavyotaka iwe kwa Mh. Zitto.
Ndio maana nchi hii haitakaa iendelee na aina ya watu wanaoitawala kwa sasa, kwa nini mshahara uwe siri wakati umeutolea jasho. ....nikijijibu hapa ni kuwa usiri huu ni kwa sababu (mfano) waziri mkuu kwa hakika hasitahili 24m ukilinganisha na anachoifanyia nchi hii kama ilivyo kwa mwalimu anaye shape mustakabali wa taifa hili asivyostahili 250,000/-!
kwani wananchi wote ndo wamemwajiri Rais? Ni wale tu waliopiga kura na kumchagua JK ndo wanapaswa kujua mshahara wake na si wananchi wote. yaani hata machadema nanyi mnajiita ni mwajiri wa JK?
Huyo katibu wa TUGHE hovyo kabisa. Swali je rais anatawaliwa a sheria ya kazi na mahusiano kazini? Je anamkataba wa ajira kwa mujibu wa hiyo sheria hapo?je mwajir wake nani?je mwajiri ni makosa kujua mshahara wa mwajiriwa wake? Mi naona yeye ndio aliekurupuka na hatafuti umaarufu usio na msingi balianakujipendeleza kusiko na msingi.
Istoshe,sidhan kama zito alitaja kwaajili ya wafanyakazi bali kwajili ya watanzania wote. Km hiyo is ajenda ya wafanyakazi bas cc wananchi tusio na kazi niajenda yetu
Hao THUGHE ni wapuuzi watupu! wameshindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi wanakimbilia kulinda mishahara ya wakubwa isitajwe! hivi kweli inaingia akilini JK alipwe milioni 34, Pinda milioni 26 kwa mwezi wakati mtumishi chini ya TUGHE analipwa 150,ooo/= kwa mwezi; na TUGHE wanona hilo sawa!!
Hivi TUGHE wanajua kwamba mshahara wa David Cameron au Barack Obama unaweza kuujua kutoka kwenye tovuti!? Hivi huko TUGHE kuna watu wa aina gani?! walevi au wavuvi tu?!
Let them shoot the first salvo!
Wewe ni ------- kweli una akili zile za ujima.Ina maana kama hukumpigia kura ndo siyo raisi wako.Nenda kapate tiba ya minyoo kwani imeshaathiri ubongo wako.Unamuona rais kama exception figure..kwani wananchi wote ndo wamemwajiri Rais? Ni wale tu waliopiga kura na kumchagua JK ndo wanapaswa kujua mshahara wake na si wananchi wote. yaani hata machadema nanyi mnajiita ni mwajiri wa JK?
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya Nchini (TUGHE) kimetaka Zitto ashtakiwe kwa kutamka mshahara wa Rais na Waziri Mkuu hadharani.
========