TUGHE: Zitto Kabwe ashtakiwe

TUGHE: Zitto Kabwe ashtakiwe

Status
Not open for further replies.
TUGHE wameisha nunuliwa.....
Hii nchi mabadiriko yanatakiwa yaanzie chini huko, kuna wapumb.avu wengine kama hao wa TUGHE wanao ficha na kukumbatia madudu
 
Hii Katiba mpya kweli itatuletea mambo wanayotegemea Watanzania ikiwa mishahara ya Rais na Waziri Mkuu tu ni issue.
 
Hao THUGHE ni wapuuzi watupu! wameshindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi wanakimbilia kulinda mishahara ya wakubwa isitajwe! hivi kweli inaingia akilini JK alipwe milioni 34, Pinda milioni 26 kwa mwezi wakati mtumishi chini ya TUGHE analipwa 150,ooo/= kwa mwezi; na TUGHE wanona hilo sawa!!

Hivi TUGHE wanajua kwamba mshahara wa David Cameron au Barack Obama unaweza kuujua kutoka kwenye tovuti!? Hivi huko TUGHE kuna watu wa aina gani?! walevi au wavuvi tu?!
Let them shoot the first salvo!
mheshimiwa uko sahihi kabisa,hawa TUGHE ni wapuuzi kupita kiwango,kuna malalamiko mlengi kwenye serikali za mitaa kuhusu mmishahara na ufisadi mwingi uko huko,nashangaa hawaongelei hili wanaongelea kutajwa mishahara ya rais na waziri mkuu,angalia kweny mtandao utaona mishahara ya viongozi wakubwa duniani iko wazi,kwanini sisi tufiche,wizi mtupu,dhambi kubwa ndani ya CCM ni kusema ukweli,wako tayari kukuua kisa umeongea ukweli,MAFISADI HAWAPENDI UWAZI.tughe mmechemka teteeni mishahara mibovu na malimbikozo ya walimu acheni yasiyowahusu.
 
Mnajiita waajiri alafu hamna kazi! Acheni siasa zitawauweni jmn!
 
TUGHE ni vibaraka na wapuuzi. Wamemsahau shetani wao na sasa wamehamia kwa malaika wa wenzao.
 
ccm kama farasi aliyezeeka kila akiguswa kidogo anajiami kwa kurusha mateke !!!!!!
 
Hao THUGE ni mamburula, hawajui hata tafsiri ya sheria waliyoinukuu.
 
Hapo mtu anatafuta ukuu fulani lazima ajipendekeze apate kwenda chooni na watoto wake chezea TZ.
 
hivi vyama vingine vya ........... Sana,hawana lolote wanatafuta umaarufu tu
 
kila ni mtu bure kuanzia chakula.safari .malazi n.k bado anakula pesa za wajane Mungu atamlaani mshahara wa nn wakati kila kitu analipiwa
 
kwani wananchi wote ndo wamemwajiri Rais? Ni wale tu waliopiga kura na kumchagua JK ndo wanapaswa kujua mshahara wake na si wananchi wote. yaani hata machadema nanyi mnajiita ni mwajiri wa JK?

mkuu vya kulia vipo vingi sana ila hapa naomba nicheke kwi kwi kwi kwi kwiikwiiiiii
 
mbona mishahara ya mahouse girl imetangazwa hadharan60000 kwa mwez mbona hamkupiga keleje.kwan ajabu kujua kipato cha rais au wazir.na nashangaa sana mbona kod ya line ilipo taka kutozwa mlilalama.fikirien kwa makini.mm nasema ikiwezekana ipunguzwe hiyo mishahara.pesa zikasaidie masikin na kufufua viwanda;-(
 
Hao THUGHE ni wapuuzi watupu! wameshindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi wanakimbilia kulinda mishahara ya wakubwa isitajwe! hivi kweli inaingia akilini JK alipwe milioni 34, Pinda milioni 26 kwa mwezi wakati mtumishi chini ya TUGHE analipwa 150,ooo/= kwa mwezi; na TUGHE wanona hilo sawa!!

Hivi TUGHE wanajua kwamba mshahara wa David Cameron au Barack Obama unaweza kuujua kutoka kwenye tovuti!? Hivi huko TUGHE kuna watu wa aina gani?! walevi au wavuvi tu?!
Let them shoot the first salvo!

kaka huko TUGHE kuna mabaharia tuu hakuna kitu kabisa. Hivi mtu kama huyu anasema mshahara WA raisi hauna umuhimu wowote WA sisi kuujua! Dah kweli hakuna dhambi kubwa duniani kama UMBULULA! nimeamini. Angekua Baba yangu Leo Leo ningemkana yaani ni more than IDIOT.
 
inaonekana kuwa ni chombo cha kusafishia viatu vya wakubwa?
 
yaani mburula kama wewe umwajiri Rais? kichekesho sana. binafsi namlaumu sana ZITTO kwa move aliyoianzisha tena kwa maslahi yake binafsi ndani ya chama.

Wewe ndio mburula tena moongamo, kumbe kaajiriwa na nani! nyie ndio mnasaidiwa halafu mnakuja kuwadharau wale waliowasaidia kimaisha
 
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya Nchini (TUGHE) kimetaka Zitto ashtakiwe kwa kutamka mshahara wa Rais na Waziri Mkuu hadharani.


========

Mmeonewa kiasi cha Kutosha,mmenyanyasa kiasi cha Kutosha ,mmepunja mishahara kwa muda mrefu,.Ujinga wenu ndio
uliwafanya mue na Hali hiyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom