TUGHE imetaka Zitto ashtakiwe kwa kutamka mshahara wa rais na waziri mkuu hadharani.
Nilipokuwa nasoma hizi habari Zitto akiropoka kujitafutia umaarufu zaidi ya alionao nilishangaa sana.
Hivi TUGHE ni chama cha Wafanyakazi/wana-taaluma gani?
Serious hata angekuwa RAIS wa CHODAWU (no disrespect) asingeweza kutoa kauli hii ya STONE AGE.
Huyu RAIS wa TUGHE is an OBTUSE PERSON LIVING IN A DIFFERENT PLANET!