Tugawe vitengo JF

Tugawe vitengo JF

Tugawe vitengo JF ili tuendelee kuifurahi.Mimi naanza:

1. Kitengo Cha habari: Pascal Mayalla
2. Kitengo Cha 'code'- Britannica
3. Kitengo cha nidhamu- mods
4. Kitengo Cha siasa-
5.
6.
7.
8.
9
10.Kitengo Cha usomaji - wengine wote

Kama haupo kwenye kitengo maalumu basi kuwa msomaji tu
Pumba tupu
 
HIZI TEUZI ZA HUMU NAONA KAMA ZIMEJAA UPENDELEO NA KUJUANA..BILA CONNECTION HUTEULIWI POPOTE!!
 
Bila shaka umelogwa
Wewe ni chawa promax. Ulikuwa chawa wa Mbowe. Ulipoona kuna dalili za Mzee Mbowe kushindwa, ukahamia kwa Lissu. Sasa hivi uko kwa Lissu na Heche kama chawa promax JF. Na kura tulikupigia ukamshinda Lucas Mwashambwa hapa JF. Kama unabisha tuwaombe mods waulete ule uzi ulioshinda kwa uchawa! Ahahahahaha!!!!
 
Back
Top Bottom