Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 59,179
- 95,692
Muungano wa Tanganyika na CCM ni nguzo mojawapo kubwa inayosaidia kuendelea kudumisha utawala wa CCM na tunaoumia ni raia wa pande zote mbili.Suala la Tanganyika na Zanzibar ni tofauti, kwa sababu Tanganyika na Zanzibar zote ziliwahi kuwa nchi zenye mpaka viti UN kabla ya kuungana.