Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,997
- 38,647
Masikitiko makubwa sana nilikua sijui kwa kweriiiiiHakuna mtu paleš®
Masikitiko makubwa sana nilikua sijui kwa kweriiiiiHakuna mtu paleš®
Pole bwasheeMasikitiko makubwa sana nilikua sijui kwa kweriiiii
Bora nimelewa lakini nina akili.... Wewe hujalewa lakini unataka nchi igawike alafu mkishapata kipande mtataka kukigawa tena sababu akili hamnaNaona Usha lewa ngoja tukuache šš
Tutaishi nakwambia na tutakuwa nchi yenye uchumi wenye nguvu kubwa kabisa barani Africa, hii mbegu ya kijani tuliyochangamana nayo miyeyusho sana ndio chanzo cha taabu zote tunazopitia sasaAu watupe Mikoa mitatu tuu. Wao wabaki na 28 š
Asante kaka... kaka na msala nimesikitika sana.Pole bwashee
Umefanya nini bwasheeAsante kaka... kaka na msala nimesikitika sana.
Kaka taja mfano halisi wapi wamewai kugawana na wakagawana tena wapi???Bora nimelewa lakini nina akili.... Wewe hujalewa lakini unataka nchi igawike alafu mkishapata kipande mtataka kukigawa tena sababu akili hamna
Tutaishi nakwambia na tutakuwa nchi yenye uchumi wenye nguvu kubwa kabisa barani Africa, hii mbegu ya kijani tuliyochangamana nayo miyeyusho sana ndio chanzo cha taabu zote tunazopitia sasa
Lipi hilo mkuu?
Mzee unataka unibakize kwenye mazombie ya CCM
FAfanua
Mbaya zaidi na ma CCM yanakazia humohumo, ila ka nchi ketu kapya tungekuja na kitu tofauti kabisa, Mazombi tunayachekecha yaende huko upande wa pili, huku kwetu tunabakiza cream tuUtamaduni wetu jamii za kiafrika ni kikwazo namba moja kwa maendeleo kwa level ya kitaifa.
Mila na desturi zetu hazisapoti maendeleo katika level ya kitaifa.