Tugawane nchi katikati

Tugawane nchi katikati

Ukiambiwa utaje madhara ya kupigwa tone tone, basi kuchanganyikiwa kiakili kama mleta mada na waungaji mikono wake usiache kuitaja katika madhara Yako.
 
Tugawane nchi katikati mikoa 13 kila upande ili kila mtu aishi kwa amani anapopenda, CCM wabaki na kipande chao (pamoja na Zanzibar)waishi kwa hii katiba yao na mifumo yao ya maisha , majeshi yao na watu wao wanaoipenda, na sisi twende na kipande chetu cha mikoa 13 ,tukaunde majeshi yetu, katiba yetu , na vitu vyetu tunavyotaka.
Kuishi maisha kama ya sasa kwakweli tumechoka, kila mtu aende upande wake. Mbona sudani kuna kusini na kaskazini? Na sisi tugawane.
Ni vyema. Jee muungano bado uwepo? Sio tatizo tena?
 
Naona pwani yetu , Zanzibar , Tanga , Mtwara , Dar , lindi tukiwa na kila kitu yaani ..Bahari zote kwetu , gas na kilimo cha kutosha , hakuna riba kwenye bank zetu .

Tunaondoa kabisa mfumo wa kidemokrasia , tunatafuta mzawa.. Hatutokuwa na stress kabisa ..
 
Katiba haimalizi matatizo ya utamaduni, huelewi wapi?

Pia, Katiba imempa kiongozi gani madaraka bila ukomo?

Unaweza kuweka kifungu hicho hapa tukijadili?
Vipo vifungu,
1. Rais anateua kila mtu katika mihimili yote, hadi mtendaji mkuu wa bunge!
2. Matokeo ya uchaguzi ya Rais hayahojiwi popote
3. Bajeti ya Ikulu haidhibitwi
4. Rais anaweza kuunda idadi yoyote ya mikoa, wilaya na wizara.
5. Rais hashitakiwi mahakamani kwa kosa lolote.
6.Rais ana mamlaka yasiyodhibitwa katika kusaini watu wanyongwe.
7.Rais anaweza kupanga bajeti yoyote nje ya bunge.
 
Naona pwani yetu , Zanzibar , Tanga , Mtwara , Dar , lindi tukiwa na kila kitu yaani ..Bahari zote kwetu , gas na kilimo cha kutosha , hakuna riba kwenye bank zetu .

Tunaondoa kabisa mfumo wa kidemokrasia , tunatafuta mzawa.. Hatutokuwa na stress kabisa ..
Hata sasa Pwani ni yenu ila mmeishia kuuza bandari tu.
 
Naona pwani yetu , Zanzibar , Tanga , Mtwara , Dar , lindi tukiwa na kila kitu yaani ..Bahari zote kwetu , gas na kilimo cha kutosha , hakuna riba kwenye bank zetu .

Tunaondoa kabisa mfumo wa kidemokrasia , tunatafuta mzawa.. Hatutokuwa na stress kabisa ..
Somalia wanakila kitu na demokrasia hawaitaki lakini hawajatoboa
 
Na hakika upande wowote tutakao elekea hakika tutawazidi CCM kwenye Kila sphere of life...

Watakuja kuomba misaada ya hali na Mali..

Tutajiita TANGANYIKA FREE STATE....wenyewe waendelee na jina lao...na mambo yao.

NB. Siku Paul makonda akiwa RAISI WA TANZANIA NDIO SIKU IYO NTABEBA VYANGU NA KUHAMA HII NCHII HATUWEZI ONGOZWA NA KILA MTU.
🤣🤣🤣🤣 Hata mimi hapo kwa Maconder kuwa rais bora nihamie Haiti
 
Vipo vifungu,
1. Rais anateua kila mtu katika mihimili yote, hadi mtendaji mkuu wa bunge!
2. Matokeo ya uchaguzi ya Rais hayahojiwi popote
3. Bajeti ya Ikulu haidhibitwi
4. Rais anaweza kuunda idadi yoyote ya mikoa, wilaya na wizara.
5. Rais hashitakiwi mahakamani kwa kosa lolote.
6.Rais ana mamlaka yasiyodhibitwa katika kusaini watu wanyongwe.
7.Rais anaweza kupanga bajeti yoyote nje ya bunge.
Muweke maneno vizuri, ukisema madaraka bila ukomo unaweza kusomeka kuwa katiba inampa rais urais usio na ukomo.

Madaraka ya rais yana ukomo term ya urais inapoisha.

Tanzania kuna term limits.

Ila kwa muktadha wako, rais ana madaraka makubwa sana, si madaraka yasiyo na ukomo.

Kwa sababu katiba hiyo hiyo in principle imetoa hata impeachment procedure ya kumuondoa rais.

Enough with the hyperbokes. Yiu don't need them to make a point and it only makws you look disingenuous.
 
Kwenye muungano watajuana CCM na wazanzibar, kipande chetu hatutaki muungano
Huenda unazungumza ukiwa huna kumbukumbu au Tanzania huijui au umeisahau. Kwenye huu muungano, au kwenye makubaliano ya huu muungano hakuna swala la Chama. Liliopo ni Tanganyika na Zanzibar. Ukitaja Chama ni kama umejisau. Swala hapa ni muungano na wala sio chama. Jee muungano uwepo, kwamba leo umekuwa mwema, au usiwepo?
 
Kwenye muungano watajuana CCM na wazanzibar, kipande chetu hatutaki muungano
Huenda unazungumza ukiwa huna kumbukumbu au Tanzania huijui au umeisahau. Kwenye huu muungano, au kwenye makubaliano ya huu muungano hakuna swala la Chama. Liliopo ni Tanganyika na Zanzibar. Ukitaja Chama ni kama umejisau. Swala hapa ni muungano na wala sio chama. Jee muungano uwepo, kwamba leo umekuwa mwema, au usiwepo?
 
Huenda unazungumza ukiwa huna kumbukumbu au Tanzania huijui au umeisahau. Kwenye huu muungano, au kwenye makubaliano ya huu muungano hakuna swala la Chama. Liliopo ni Tanganyika na Zanzibar. Ukitaja Chama ni kama umejisau. Swala hapa ni muungano na wala sio chama. Jee muungano uwepo, kwamba leo umekuwa mwema, au usiwepo?
Muungano usiwepo, hauna manufaa kwetu,unawanufaisha zaidi wazanzibar,sioni faida yoyote yamuungano Tanganyika
 
Muungano usiwepo, hauna manufaa kwetu,unawanufaisha zaidi wazanzibar,sioni faida yoyote yamuungano Tanganyika
Nakubaliana nawe kwamba muungano usiwepo. Sikubaliani nawe kwamba muungano unawanufaisha zaidi Wazanzibari. Jee hili la kuwanufaisha zaidi Wazanzibari limeanza 2021 au kabla? Ikiwa ni kabla ulikuwa wapi wakati huo hujasema, unasema leo?
 
Back
Top Bottom