Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa na wawekezaji wa Netherlands kwa miezi zaidi ya sita imeachiwa.
Je ni kwa makubaliano gani au tumelipa kiasi gani? Ni haki ya wananchi kujua mambo haya na serikali isione fahari kutuambia tu kirahisi ndege imeachiwa.
Ni wakati wa ndege zetu kuleta faida na watanzania kufurahia faida na sio kufurahia ndege kuachiwa.
Tuambiwe kukamatwa kwa ndege yalikuwa makosa ya nani na amewajibishwa vipi.
Je ni kwa makubaliano gani au tumelipa kiasi gani? Ni haki ya wananchi kujua mambo haya na serikali isione fahari kutuambia tu kirahisi ndege imeachiwa.
Ni wakati wa ndege zetu kuleta faida na watanzania kufurahia faida na sio kufurahia ndege kuachiwa.
Tuambiwe kukamatwa kwa ndege yalikuwa makosa ya nani na amewajibishwa vipi.