Umemaliza mayu!Humu wengi zao Zina sound,,,,,
Ukifungua badala ziwe na noti zilipe bill zao a milio hii.
1 kataa ndoa
2 kataa omba omba
Kataa mwanamke maskini
3 ukipewa kojoa pita hivi
4 kataa single mama
5 zinasubiri mkeka utiki
Hizi sanasana za ku tip kwenye restaurants au emergency nyingine sehemu ambayo hawatumii cards ambazo ni kama hazipo siku hizi.Dollar muhimu sana mkuu
Sina.Una nini
Wanabisha wapige picha wallet zaoUmemaliza mayu!
Una nini sasa mke mkubwa🤣Hata wallet sina.
Hawatatokea hapa nakuhakikishia!Wanabisha wapige picha wallet zao
Naomba aftatu🙄Iko na bank card ya nmb, leseni ya udereva, nida card na 50k.