A wallet is a small, flat case or pouch that can be used to carry such small personal items as paper currency, credit cards, and identification documents (driver's license, identification card, club card, etc.), photographs, transit pass, business cards and other paper or laminated cards. Wallets are generally made of leather or fabrics, and they are usually pocket-sized and foldable.
Wallets may have characteristics such as money clips; a coin purse; a chain fastener, strap, or rein; or a zipper. Specialized wallets are designed for holding passports, wearable ID cards, and checkbooks to give some examples. Some unusual wallets are worn on the wrist or shoe. In addition to their practical function, wallets may be used as a fashion accessory, or to demonstrate the style, wealth, or status of the owner.
Maisha ni pesa na pesa ni nguvu mojawapo ya ujasiri na kujiamini katika maisha ya mapenzi na mahusiano.
Binafsi nikiwa na pesa pungufu ya Laki moja siwezi thubutu kumchokoza demu, hata kama ni mkali vipi ntamsomea ramani tu kinyele bila swaga.
Nikiwa sina Laki moja na kuendelea kwenye wallet...
Habari wadau.
Huwa ninafanya deposit kwenye Skrill wallet kwa kutumia Equity bank.
Lakini huwa ninapata changamoto na usumbufu wa ku withdraw kupitia equity bank , hata hivyo makato huwa siyo rafiki sana. .
Naomba muongozo namna gani ninaweza kufanya withdrawal kwenye platforms zenye...
Nauza saa English Gold hazipauki haraka na wallet zenye ubora mkubwa
Nafanya delivery dsm na mikoani
Bei: Saa 35,000/=
Wallet 25,000/=
Location: Mbezi, Kimara
Contact: 0626903619
Kila mara Remitano imekuwa ikithamini na kushukuru watumiaji wake waaminifu na wanao support bidhaa na huduma zao, hasa wale wanaopendekeza bidhaa na huduma zao kwa marafiki.
Kwa kutambua hilo Remitano wamekuja na zawadi kwa Watanzania kwa kila mtumiaji mpya utakayemualika na akakamilisha...
Habari JF family! Gawiza?
Story hii inamixer zote uwe mvumilivu. Way back mwaka 2012-2013, hii miaka sikuwa na gari kabisa ila already nilikuwa na viwanja si haba kimara bonyokwa 40x50, Mapinga bagamoyo eka moja na nusu eka, Mpiji magoe sio mbali na Dr. Mvungi R.I.P mwamba, eka moja, CCM chama...
Habari Wakuu,
Huu uzi nilitaka niupost kule kwenye jukwaa la teknolojia lakini post nyingi ninazopost kule response inakuwa ndogo.
Nadhani hapa ndio kuna audience kubwa. Natumia digital wallet ya Metamask lakini Nina token ambayo inaonyesha value ya approximately $12 lakini kwenye etherscan...
Wazee wa Pochi NENE mpo?
Wavulana wengi wana tabia ya kuweka mkoba (WALLET) yenye inchi nusu au zaidi ikitegemeana na wingi wa vitu vilivyopo kwenye mkoba huo kwenye mfuko wao wa nyuma wa nyonga ambao unaweza kuleta maumivu ya mgongo, kiuno, misuli, mifupa na mbali zaidi kuleta madhara kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.