Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,361
- 42,263
Kulala na lala Ila mapumziko ni machache ya kusaka kwa torchPole mkuu,hulali hata kidogo au kabisa?
Kulala na lala Ila mapumziko ni machache ya kusaka kwa torchPole mkuu,hulali hata kidogo au kabisa?
Izo ni mpango so inabidi uzisimamie kwa mikakati madhubuti.Hongera sana aisee
Pole sana mkuu...Kulala na lala Ila mapumziko ni machache ya kusaka kwa torch
AsantePole sana mkuu...
Matajiri hawana stress mda wowote wanapumzika,. And vice versa is true 😂😂😂Nikisoma comment za humu mh kweli JF wote matajiri,wasomi, hawapumziki!
kuna yule yeye kila akiandika uzi anasema:
Kwa sasa Dar es salaam
Nipumzike sasa.
Cc: Robert Heriel Mtibeli
Pole na hongera,.Suala la kujipa likizo/ kupumzika ni muhimu Kwa Kila Binadamu
Zamani wakati tunalima kimazoea kutegemea mvua, ilikuwa baada ya mavuno hasa Mwezi Julai, ilikuwa tunapumzika miezi 2 hadi Septemba tunaanza tena kuandaa mashamba.
Nilipoajiriwa, nimekuwa nikichukua Likizo ya Siku 28 kwaajili ya kupumzika
Baada ya kupanda ngazi fulani fulani, nikawa napewa Siku 14 badala ya Siku 28
Kuna Siku nimechukua familia, na kwenda kupumzika viziwa vya karafuu, nikakuta napigiwa simu kuelekezwa kusitisha Likizo yangu na kurudi kwenye majukumu
Wakati huo nimekaa Likizo Siku 8 tu kati ya 14 nilizopewa
Binafsi naona ukiwa umejiajiri, una fursa kubwa ya kuweza kupumzika kuliko kuajiriwa
Ni suala la kusoma miamala tu ya mauzo kwenye simu yako, huku unakula zako upepo wa bahari
Labda kama hujaamua kuweka mifumo ikusaidie kwenye uendeshaji wa biashara/miradi yako
Hapana sio mpka uzeeni Ila misingi unayoitaka ikakaa vzr,So conclusively,. Kupumzika ni Hadi uzeeni saizi tuendelee tu kupambana si ndio??
Kwa kweli sifahamu hata kidogo,
Hongera sana aisee,.Technically unatuambia kuwa huwa hupumziki!!.
Biashara hiyo inakufa the sooner unapata serious challenje. Jiangalie sana.
Nb
Nimepumzika toka December 2024
Yaani hili ndio tatizo Sasa,. Utapumzika mwili akili Bado imechoka😭😂😂😂Dunia ya Fujo hii unapimzika huku bado uko na stress
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kijana ameweka makundi ya Ajira:-Suala la kujipa likizo/ kupumzika ni muhimu Kwa Kila Binadamu
Zamani wakati tunalima kimazoea kutegemea mvua, ilikuwa baada ya mavuno hasa Mwezi Julai, ilikuwa tunapumzika miezi 2 hadi Septemba tunaanza tena kuandaa mashamba.
Nilipoajiriwa, nimekuwa nikichukua Likizo ya Siku 28 kwaajili ya kupumzika
Baada ya kupanda ngazi fulani fulani, nikawa napewa Siku 14 badala ya Siku 28
Kuna Siku nimechukua familia, na kwenda kupumzika viziwa vya karafuu, nikakuta napigiwa simu kuelekezwa kusitisha Likizo yangu na kurudi kwenye majukumu
Wakati huo nimekaa Likizo Siku 8 tu kati ya 14 nilizopewa
Binafsi naona ukiwa umejiajiri, una fursa kubwa ya kuweza kupumzika kuliko kuajiriwa
Ni suala la kusoma miamala tu ya mauzo kwenye simu yako, huku unakula zako upepo wa bahari
Labda kama hujaamua kuweka mifumo ikusaidie kwenye uendeshaji wa biashara/miradi yako
Asante Mjukuu!Pole na hongera,.
Mifumo Bado haijasimama for real...
Ila natamani ningepata mda hata hizo siku nane mbona zingenitosha sana kupunguza hizi pressure za kazi
Lakini makundi yote hayo yanahitaji Mwezi mmoja Kwa Mwaka japo kumzika na ku-refreshKijana ameweka makundi ya Ajira:-
1. Kuajiriwa (hapa unalipwa mshahara)
2. Kujiajiri (hapa wewe unafanya kazi ambayo mmiliki ni wewe, kihalali kwa wanaojua biashara lazima ujilipe mshahara ili matumizi yako yasiwe zaidi ya mshahara). Hapa unaweza kuwa ni mchanganyiko wa waajiriwa na wewe upo unafanya kazi mfano mama ntilie amejiajiri - anapika ila kuna vibinti vya kutafuta oda ameviajiri.
3. Kumiliki biashara - Wewe unapokea ripoti tu (hawa ni wachache na hapa JF kama wapo hawafiki hata 5% ya wana JF)
pumzika ulale njaa, utapumzika ukifaVery sad,. Kwahiyo hakuna kupumzika labda mda wa kulala tu 🤔
Namba 1 na 3 wanaweza kuchukua likizo, ila namba mbili ni vigumu kuchukua likizo maana wengi ni from hand to mouthLakini makundi yote hayo yanahitaji Mwezi mmoja Kwa Mwaka japo kumzika na ku-refresh
Jambo la muhimu ambalo wengi wa Sisi Wabongo hatujui ni kushindwa kujilipa mshahara kwenye biashara yako
Unatakiwa ujichukulie kama mmoja wa waajiriwa kwenye biashara unayofanya hivyo unastahili Likizo fupi/ndefu
Jitahid. Mimi sio kwamba nimepumzikq parsee ila siko kwenye mode ya full time.Hongera sana aisee,.
Kusema ukweli mkuu, nisipiwepo au nikiumwa kama sio kufilisika basizee wangu lazima aingilie kati kusimamia
. Sometimes ni kumchosha tu so lazima nipambane mwenyewe
Naweza nikawa naanza upya hii mara ya 5, but I believe siku Moja na Mimi nitasimama na kupumzika pia