dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,864
- 16,738
- Thread starter
- #41
Swala la kimadhabau lipo wasi banaWewe umethibitisha kuwa hawana madhabahu hizo?
Nikushauri kitu kijana,
Jitahidi kuwa unauliza maswali Ili ueleweshwe ktk mambo usiyoyajua,
Kutaka Elimu Kwa njia ya ubishi na ujuaji wa kijinga ,utachelewa sana.
Ungeuliza swali ningefafanua,
Lakini Kwa kuwa umetumia njia ya kijinga, Baki na Ujinga wako kichwani.