Tuache lawama! Kila mtu hupokea kulingana na Mchango wake katika jamii

That is Thinking....Inapendeza kuona watu wanaelewa Capitalism n Dunia inaenda kwa namna gani.

Kuna mtu mmoja aliuliza kwanini viongozi wa juu wakistafu wapewe marupurupu, magari ya kifahari mpaka nyumba za gharama....Swali ni je mfumo huo wa hao viongozi kupata hizo Favor umeuona tangu laini ni kwamba tangu unazaliwa umekuwa ukiona Raisi mstafu, waziri nk wanapewa magari nk, na muuza karanga mtaani hapewi kitu kwanini usipambane uwe katika nafasi ya kiongozi nawewe upate hizo favour za magari nk.

Ukiona mtu anapata favours zozote kwenye maisha Basi alipambana mpaka yeye kuwa kwenye hiyo position/class ya kupata hizo favours kuwa kiongozi mkubwa, msanii mkubwa nk sio kitu Cha kufumba na kufumbua watu wanapambania na huo muda wanapambana kuna maneno na masimango mengi wanapata kwanini wakishapata manufaiko ufosi wawe sawa na wewe niipi itakuwa mantiki ya wao kupambana.

Kitu kizuri hizi Position na Class tunazaliwa tukiziona hivyo kama ujawa kwenye hizo Class niwewe uzembe wako usilaumu mtu mfano mtu utasikia "wanachuo wanapata pesa za bure ningekuwa Mimi" Rubbish Thinking umezaliwa tangu utoto umekuwa ukiona wanachuo wanapata BOOM ujinga wako kutopambana kuwa katika nafasi ya wewe kuwa mmoja ya wanaopata.

Ukielewa misingi ya maisha ukaifuata favours always zitakuwa kwa upande wako na wale wavivu watabaki kukuona wewe unapendelewa, una bahati nk.
 
That is Thinking....Inapendeza kuona watu wanaelewa Capitalism n Dunia inaenda kwa namna gani.

Kuna mtu mmoja aliuliza kwanini viongozi wa juu wakistafu wapewe marupurupu, magari ya kifahari mpaka nyumba za gharama....Swali ni je mfumo huo wa hao viongozi kupata hizo Favor umeuona tangu laini ni kwamba tangu unazaliwa umekuwa ukiona Raisi mstafu, waziri nk wanapewa magari nk, na muuza karanga mtaani hapewi kitu kwanini usipambane uwe katika nafasi ya kiongozi nawewe upate hizo favour za magari nk.

Ukiona mtu anapata favours zozote kwenye maisha Basi alipambana mpaka yeye kuwa kwenye hiyo position/class ya kupata hizo favours kuwa kiongozi mkubwa, msanii mkubwa nk sio kitu Cha kufumba na kufumbua watu wanapambania na huo muda wanapambana kuna maneno na masimango mengi wanapata kwanini wakishapata manufaiko ufosi wawe sawa na wewe niipi itakuwa mantiki ya wao kupambana.

Kitu kizuri hizi Position na Class tunazaliwa tukiziona hivyo kama ujawa kwenye hizo Class niwewe uzembe wako usilaumu mtu mfano mtu utasikia "wanachuo wanapata pesa za bure ningekuwa Mimi" Rubbish Thinking umezaliwa tangu utoto umekuwa ukiona wanachuo wanapata BOOM ujinga wako kutopambana kuwa katika nafasi ya wewe kuwa mmoja ya wanaopata.

Ukielewa misingi ya maisha ukaifuata favours always zitakuwa kwa upande wako na wale wavivu watabaki kukuona wewe unapendelewa, una bahati nk.


😀😀😀😀😀

Huu ukweli wengi hawataki kuusikia.

Watu wengi tulioshindwa Jambo Fulani, tunakasumba kuwa Maisha ni bahati
 
Kinacho nitafakarisha mbunge mstaafu, kupitia changamoto hadi kuchangiwa hukosi billion 3 for 5 year. Je kapuku ambaye ata kukata bima yenye uwezo wa ku cover matibabu ya million 12 kwa wakati mmoja si changamoto.

Wakuu tutafute pesa, tuwekeze
 
That is Thinking....Inapendeza kuona watu wanaelewa Capitalism n Dunia inaenda kwa namna gani.

Kuna mtu mmoja aliuliza kwanini viongozi wa juu wakistafu wapewe marupurupu, magari ya kifahari mpaka nyumba za gharama....Swali ni je mfumo huo wa hao viongozi kupata hizo Favor umeuona tangu laini ni kwamba tangu unazaliwa umekuwa ukiona Raisi mstafu, waziri nk wanapewa magari nk, na muuza karanga mtaani hapewi kitu kwanini usipambane uwe katika nafasi ya kiongozi nawewe upate hizo favour za magari nk.

Ukiona mtu anapata favours zozote kwenye maisha Basi alipambana mpaka yeye kuwa kwenye hiyo position/class ya kupata hizo favours kuwa kiongozi mkubwa, msanii mkubwa nk sio kitu Cha kufumba na kufumbua watu wanapambania na huo muda wanapambana kuna maneno na masimango mengi wanapata kwanini wakishapata manufaiko ufosi wawe sawa na wewe niipi itakuwa mantiki ya wao kupambana.

Kitu kizuri hizi Position na Class tunazaliwa tukiziona hivyo kama ujawa kwenye hizo Class niwewe uzembe wako usilaumu mtu mfano mtu utasikia "wanachuo wanapata pesa za bure ningekuwa Mimi" Rubbish Thinking umezaliwa tangu utoto umekuwa ukiona wanachuo wanapata BOOM ujinga wako kutopambana kuwa katika nafasi ya wewe kuwa mmoja ya wanaopata.

Ukielewa misingi ya maisha ukaifuata favours always zitakuwa kwa upande wako na wale wavivu watabaki kukuona wewe unapendelewa, una bahati nk.
Sio kila mtu ambaye hana mafanikio ni mvivu
 

Kinacho nitafakarisha mbunge mstaafu, kupitia changamoto hadi kuchangiwa hukosi billion 3 for 5 year. Je kapuku ambaye ata kukata bima yenye uwezo wa ku cover matibabu ya million 12 kwa wakati mmoja si changamoto.

Wakuu tutafute pesa, tuwekeze


Pesa haitoshi pekee, pia uwe na Mchango Mkubwa ndani ya jamii yako.

Kuna matibabu hata uwe na pesa zinaisha pyuuu!

Ushahidi upo
 
Serekali inamuokoa Professor kutoka kwenye mauti na fedhea ya kutembeza bakuli. Asante mama wa taifa.
 
Je Mimi na Wewe? Au ndio mada inatuhusu
Professor J siyo kama mimi na wewe. Ni mwanamziki nguli aliyeweka alama kwenye mziki wa kizazi kipya, alionesha fursa, vijana wakaitumia na eneo hilo limeajiri mamia ya vijana. Mchango wake katika taifa hili ni mkubwa.Hivyo serikali aiwezi kusubiri afe ili imuenzi. Hii ni busara kubwa iliyotumika. Mh Raisi yuko timamu.
 
Professor J siyo kama mimi na wewe. Ni mwanamziki nguli aliyeweka alama kwenye mziki wa kizazi kipya, alionesha fursa, vijana wakaitumia na eneo hilo limeajiri mamia ya vijana. Mchango wake katika taifa hili ni mkubwa.Hivyo serikali aiwezi kusubiri afe ili imuenzi. Hii ni busara kubwa iliyotumika. Mh Raisi yuko timamu.


Na hicho ndivyo najaribu kuwaeleza watu wanaoona Kwa nini achangiwe
 
Back
Top Bottom