Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Ni kweli tusipandikize ukabila na udini, lakini tuite nyeupe nyeupe na si vinginevyo....
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Kigoma ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Katavi ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Dar ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Rukwa ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Pwani ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Mara ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Tanga ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Iringa ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Mwanza ni Msukuma.
Sasa ukiweka habari kama hii mtu anaweza kusema wewe ni mkabila lakini kumbe umefanya uchambuzi tu wa orodha ya wakuu wa mikoa. Tanzania kuna makabila 130, na mikoa 30 lakini wakuu wa mikoa 10 kati ya 30 wanatoka kabila moja na raisi
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Kigoma ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Katavi ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Dar ni Msukuma,
Mkuu wa mkoa wa Rukwa ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Pwani ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Mara ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Tanga ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Iringa ni Msukuma
Mkuu wa mkoa wa Mwanza ni Msukuma.
Sasa ukiweka habari kama hii mtu anaweza kusema wewe ni mkabila lakini kumbe umefanya uchambuzi tu wa orodha ya wakuu wa mikoa. Tanzania kuna makabila 130, na mikoa 30 lakini wakuu wa mikoa 10 kati ya 30 wanatoka kabila moja na raisi