Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #121
ni kweli rafiki huwa una mwisho...hahahahaha haya ndio mambo ya kusikia jina la yule motto nisiyempenda yaani ukiuliza tu utaambiwa sijui mama. Na kweli ukimkazia macho na kuonyesha msimamo utaambiwa ni kweli mama nimesema uongo hapo itabidi ianze risala tena. Naamini uongo wa kitoto huwa una mwisho sababu wanaogopa sana kuchapwa ndio maana wanasema uongo. Na wakati mwingine hawapendi ujisikie vibaya
halafu watoto wana stage, mwanzo wanakuwa honest sana, yaani ukitaka stori za home wewe kamata mtoto atakuhadithia kila kitu..... a
akikua kidogo yaani unaweza tamani kulia kwa uongo, anadanganya mpaka unashangaa huyu mtoto katokea wapi.
baadae akiacha ndo basi tena