Back to the point
FP naweza sema uongo na kutokuwa na uaminifu katika mambo madogo madogo kunaumiza sana siyo siri.
To my experience kuna siku baba wa mwanangu/mzazi mwenzangu alipata kazi ambayo ilimfanya kuwa anasafiri safiri saana.
Siku akasafiri...but wakati yuko safarini akanicall kuwa wameibiwa na wenzake hotel...na wameaiba wallet na ATM zote na pesa na blah blah nyingi....nikawa najaribu kuhoji mazingira ya kuibiwa hotel nikirelate na mazingira ya hotel waliyofikia nikawa simuelewi it was in Moshi...but ndo shapenda tena mzee youko stranded kaibiwa kwa roho saafi nikatuma hella kidogo zimsaidie...loh.
Baada ya siku moja napigiwa simu na rafiki yangu...haa KOKUTONA nimemuona shemeji maeneo ya MAGOMENI, mnakuja mjini hamtuambiii....karoho kakaanza kudunda. Moshi na Dar wapi na wapi? Nikamuuliza umemuona kweli au wanrusha roho, she asured me na kunitajia nguo alizovaa...and she said alishindwa kumsalimia coz alikuwa kwenye dala dala....uongo huoo
Arivyorudi nikampokea pole na safari karibu...nimeletewa na zawadi zawadi zinazofanana na moshi...namuuliza ulipata wapi hela nawe uliibiwa plus pole na ahsante kibaao anasema ofisi ili refund gharama zote...kichwani mwangu namfikiriaa
Jioni ya siku hiyo kuna match...kaoga kala, kaenda kuangalia MAN U...haraka zake kasahau wallet....napanga vitu nakutana nayo roho yandunda ujue...niangalie nisiangalie....sinaga mazoea ya kupekua visivyonihusu but nilipata force ya kufungua....
Cha kwanza kukutana nacho ni bahasha ndogo zilee za kuwekea passport size imepigwa muhuri nje...wa photo studio iliyopo magomeni ndani nakutana na passport zake amevaa shati lile lile nilioambiwa alikuwa kavaa...mmmh nikajigunia nikaendelea....
Chapili nikakutana na temporary ID ya kuchukulia hela dirishani km huna ATM card iliyo processiwa bank ya dar es salamu...zote zina tarehe ile ile ambayo rafiki yangu alimuona na to remaind u jana yake alikuwa moshi na usiku wa kuamkia hiyo siku ndo aliibiwa..huko Moshi....
Kanidanganya....nikaukubali uongo km ukweli then mimegundua alinidanganya...hata km nampenda kuliko roat ya kuku nitamwamini tenaaa eti?
Dark City hebu nambie hapo..tija au si tija...imesaidia nini zaidi ya maumivu ya moyo?