Trump on Africans again. "Are you humans?"

Trump on Africans again. "Are you humans?"

They can't be human being they are just monkeys so that they ain't know uses of those minerals.
 
Ni wapi imeandikwa hivyo? Kwa hiyo unaamini Muzungu akisema Mwafrika ni nyani anamaanisha Viongozi tu na siyo wewe na mimi? Kama ni hivyo kwa nini wacheza mpira weusi wanatupiwa ndizi uwanjani kwani nao ni viongozi?
Kwanza sina maana ya kuunga mkono ubaguzi au dharau ya aina yoyote kwa Waafrika, Mimi nazungumzia kauli ya Trump na Putin zimelenga kuwasema viongozi wa Afrika walivyo, rasilimali kibao lakini watu wao wanalala na njaa! Gadafi angalao alijitahidi kuwaboresha watu wake,suala linabaki palepale, hiki ni kirungu kwa viongozi wa Afrika.
 
AFRICANS ARE NOT HUMANS

President of the United States of America, Donald Trump has hit hard at Africans once again, this time asking whether they are really qualified to be called humans.

He says “if you sit on Gold, diamond, oil, manganese, uranium and your people don’t have food, are you humans?”.
We are still evolving after hundred of years we will be approaching to Homo sapience sapience!
 
Whites are also thieves
Hilo la kuwatuhumu ndiyo mnajua, afu yeye hajasema watu weusi, na mtambue wacha wajichukulie dhahabu maana we have nothing to do with Gold.

Niambie matumizi makubwa ya dhahabu duniani ni yapi.
 
AFRICANS ARE NOT HUMANS

President of the United States of America, Donald Trump has hit hard at Africans once again, this time asking whether they are really qualified to be called humans.

He says “if you sit on Gold, diamond, oil, manganese, uranium and your people don’t have food, are you humans?”.
Huu ni uongo mkavumkavu; hajasema hivyo- umejitungia tu. Sasa hivi yuko Japan na shughuli zilizompeleka huko hazihusishi Africa; je alikuambia wewe peke yako bila hata waandishi kuwapo?

It is very possible iwapo mtu unakaa kwenye kompyuta kuandika uwongo kuwa akili yako siyo ya binadamu; kwa hiyo unajihisi.
 
Kwanza sina maana ya kuunga mkono ubaguzi au dharau ya aina yoyote kwa Waafrika, Mimi nazungumzia kauli ya Trump na Putin zimelenga kuwasema viongozi wa Afrika walivyo, rasilimali kibao lakini watu wao wanalala na njaa! Gadafi angalao alijitahidi kuwaboresha watu wake,suala linabaki palepale, hiki ni kirungu kwa viongozi wa Afrika.

Ni nani amekudanganya Muzungu anatofautisha Mwafrika Kiongozi na wewe mimi? Kwa Muzungu wote ni niggaz tu hivyo mnashangilia Trump kututukana msijidamganye kwamba wewe, babako, mamako hammo, wote sawa tu, isitoshe hao Viongozi wanatokea wapi? Si ni mimi, wewe, wazazi wetu ? Sasa iweje wawe tofauti na sisi?
 
Ni wapi imeandikwa hivyo? Kwa hiyo unaamini Muzungu akisema Mwafrika ni nyani anamaanisha Viongozi tu na siyo wewe na mimi? Kama ni hivyo kwa nini wacheza mpira weusi wanatupiwa ndizi uwanjani kwani nao ni viongozi?
Kwa hizi comment zako naanza kupata wasiwasi kama kweli we pia ni human!
 
E
Mimi na Wazazi wangu ni humans, ila nakushangaa wewe unaowaona wazazi wako subhumans kwa kuwa tu Muzungu kasema!
Uwe unaelewa kizungu kidogo kwa tafsiri isiyo rasmi,Trump anajiuliza kama kweli sisi ni binadamu iweje tuna dhahabu,Alma's,Gas,Risasi iweje Watu(wananchi) wetu wakose chakula.
 
aisee we are not human,kuna yule jamaa Theodore Nguema babake rais,mtoto mkuu wa majeshi aisee.
jamaa US huo wametaifisha mijengo na magari yote ya kifahari a mabilioni ya dola.
kaenda Brazil juzi na cash dola mil 2 wenye briefcase polisi wakamlamba zote.
Raia wanaomba hata maji ya kunywa hawana.
 
AFRICANS ARE NOT HUMANS

President of the United States of America, Donald Trump has hit hard at Africans once again, this time asking whether they are really qualified to be called humans.

He says “if you sit on Gold, diamond, oil, manganese, uranium and your people don’t have food, are you humans?”.
Well
 
Mwambie tubadilishane nchi aje na wananchi wake Africa na sisi tuende America km atakubali
Hata akikubali nyie kule siku 7 nyingi mtapigana mbayaaa,ndio mwanzo vita vya wenyewe kwa wenyewe
 
Kama atakuwa na matendo kama viongozi madikteta wa kiafrika ntakubali kuwa sio human ni zaidi ya nyani kabisa hata Kama ni babaabgu bado ntasimama upande wa haki!


Neno ,,kama” linatokea wapi tena? Swali ni Babako ni subhuman? Ndiyo/Hapana?
 
kwa trump lugha kama hiyo ndiyo inayotakiwa ili tujitambue. maana wengi mawazo ni kupata nafasi ya kugungulia bomba maana sio mirija ya kunyonya mali za nchi zao! wengi mawazio ndiyo hayo ! hivyo ndio maana kila anayepata nafasi mosi nikutumia nafasi hiyo kujineemesha
je mnaokataa ya trump hamjawahi kuskia watu wakibeza wale waliokuwa na madaraka na wameondoka bila kuiba kama wajinga? ' alikuwa mtu mkubwa pesa sijui alikuwa anapeleka wapi labda ulevi na na kuhonga' na mkianza kazi pamoja halafu mwenzio akwa kicheche mdokozi an rushwa akafanya maendeleo binafsi utasikia kijana ana akili sana yule mwaka haujaisha ana ghorofa, ana bonge la ndinga!! na ana mama wa nguvu mwenye wesere ya kutosha!! hivi hapo tunapanda nini vichwani mwa watu? kama sio wizi na ufisadi na ukifikia hapo usipowajali watu ndio maana trump anashangaa hivi kweli waafrika ni binadam? tuichukulie chanya tubadilike! Magu kabadilika hata kama hukoi nyuma alikuwa mkwapuaji sijui! lakini amestand out kukemea na kuchukua hatua hadharani!! je WEWE UNAYAESOMA HII???
 
E
Uwe unaelewa kizungu kidogo kwa tafsiri isiyo rasmi,Trump anajiuliza kama kweli sisi ni binadamu iweje tuna dhahabu,Alma's,Gas,Risasi iweje Watu(wananchi) wetu wakose chakula.
tatzo lugha ya malkia ni shida mkuu, hapo trump anajiuliza kweli sisi ni binadamu? hajasema moja kwa moja kama sisi sio binadamu ila tujifikirie kwa mali tulizonazo na tulipo ni sawa?
 
AFRICANS ARE NOT HUMANS

President of the United States of America, Donald Trump has hit hard at Africans once again, this time asking whether they are really qualified to be called humans.

He says “if you sit on Gold, diamond, oil, manganese, uranium and your people don’t have food, are you humans?”.

A valid observation applying especially toTanzanians. Hivi kwa mfano Elitwege ni human huyu kweli huyu? I mean, mtu akifuatilia anachokiandika kila siku humu would you conclude that a creature "contributing" those kind of vitriolic is really a human?
 
Back
Top Bottom