Trump on Africans again. "Are you humans?"

Trump on Africans again. "Are you humans?"

Very true...angalia Tz ya Ccm hadi Leo wanapanga na kupangua sera wenyewe...aliekuwepo madarakani anamlaumu aliepita(mfano nchi imeibiwa sana hii[emoji1787] )
Maadui wa nchi hii ni ujinga, maradhi na umasikini lakini ,makonda adui wa kwanza ni opposition parties

Vaguesness of policies kama kuku aliekatwa shingo

Hii ni laana ya uvamizi Kwa Zanzibar. Damu ya watu wengi mliimwaga , mnatesa masheikh , mliuwa watu misikitini, karma itawatafuna Tu , mpaka muombe radhi , muwaachie wenyewe nchi yao
 
UNA UHAKIKA GANI NI HUMAN KAMA UMEKOSA IMPORTANT ATTRIBUTES AS HUMAN?? MTOA MADA KAULIZA SWALI MAANA ANA MASHAKA NA UBINADAMU WA MWAFRIKA. WITH VIVID EVIDENCE RESPOND TO HIS INQUIRY.


Kwa hiyo Babako ni subhuman?
 
Ukiijadili sana Afrika na namna viongozi wanavyo ongoza unaweza kuihama.
 
Rasilimali bila capabilities huwezi kufaidika Nazo.

Wenzetu wana capabilities ila hawana rasilimali ndio maana kutwa nzima wanakujaga huku kujipendekeza na ikishindikana wanasababisha hali ya kukosa amani huku wao wakiiba rasili Mali kwa kutumia viongozi wanaojali matumbo waliowapachika kwenye madaraka.

Let me be clear Tena, rasilimali tulizonazo bila capabilities ni pigo kubwa, mbaya zaidi mzungu hakupi capabilities kirahisi
 
TUTAMUELEWA TU MTANI WETU TRUMP!
1111811
1111815
 
Back
Top Bottom