Trump na Netanyahu wamalizia mpango wa kuifuta Gaza na Hamas nao waidondoshea kombora 5 nzito miji miwili ya Israel ambayo yameleta madhara.

Trump na Netanyahu wamalizia mpango wa kuifuta Gaza na Hamas nao waidondoshea kombora 5 nzito miji miwili ya Israel ambayo yameleta madhara.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,488
Reaction score
16,646
Katika ziara yake nchini Marekani,waziri mkuu wa Israel,Benjamini Netanyahu wameweka mikakati yao ya kuifuta Gaza kwa uwazi kuonesha mataifa yao hayana kificho kwa mpango huo.
Katika mazungumzo yaliyonaswa na waandishi wa habari na kuwekwa kwenye mtandao wa kijamii wa Trump,raisi huyo amesema watu wa Gaza wataanza kuishi kwenye Gaza yenye muonekano mpya.
Upinzani wa mpango huo unaoanza kwa wapalestina wenyewe na kupitia mataifakadhaa binafsi pamoja na taasisi za kimataifa haujaleta mabadiliko yoyote katika mipango ya mataifa hayo mawili .

Huko nyumbani kwa Netanyahu kwa mujibu wa vyombo vya habari makombora 10 yalirushwa na Hamas kupiga miji miwili ya kusini ya Israel ambapo matano kati yao hayakuweza kuzuilika.Makombora hayo yalileta madhara makubwa ikiwa ni pamoja na kuunguza majengo na magari.

Hamas hawajathibitisha kuhusika na kurusha makombora hayo ambapo wafuatiliaji wengi wa vita hivi wanashindwa kuamini iwapo bado Hamas wana ushujaa na nyenzo za kuweza kupiga mijia ya Israel.

IDF responds after Hamas hits Israeli cities in rocket attack: 'Must pay a heavy price'

 
Katika ziara yake nchini Marekani,waziri mkuu wa Israel,Benjamini Netanyahu wameweka mikakati yao ya kuifuta Gaza kwa uwazi kuonesha mataifa yao hayana kificho kwa mpango huo.
Katika mazungumzo yaliyonaswa na waandishi wa habari na kuwekwa kwenye mtandao wa kijamii wa Trump,raisi huyo amesema watu wa Gaza wataanza kuishi kwenye Gaza yenye muonekano mpya.
Upinzani wa mpango huo unaoanza kwa wapalestina wenyewe na kupitia mataifakadhaa binafsi pamoja na taasisi za kimataifa haujaleta mabadiliko yoyote katika mipango ya mataifa hayo mawili .

Huko nyumbani kwa Netanyahu kwa mujibu wa vyombo vya habari makombora 10 yalirushwa na Hamas kupiga miji miwili ya kusini ya Israel ambapo matano kati yao hayakuweza kuzuilika.Makombora hayo yalileta madhara makubwa ikiwa ni pamoja na kuunguza majengo na magari.

Hamas hawajathibitisha kuhusika na kurusha makombora hayo ambapo wafuatiliaji wengi wa vita hivi wanashindwa kuamini iwapo bado Hamas wana ushujaa na nyenzo za kuweza kupiga mijia ya Israel.

IDF responds after Hamas hits Israeli cities in rocket attack: 'Must pay a heavy price'

Hivi ndivyo tunavyojua kuhusu vita ni piga nikupige. Kuhusu kuifuta gaza mpango ulianza na waarabu kuifuta Israel. Sasa Kama wewe una mpango wa kumfuta Myahudi kwanini yeye naye asiwe na mpango wa kukufuta wewe pia?. Wao Wana utaratibu wa maamuzi ya samson. Na ndicho wanachokiishi
 
Hivi ndivyo tunavyojua kuhusu vita ni piga nikupige. Kuhusu kuifuta gaza mpango ulianza na waarabu kuifuta Israel. Sasa Kama wewe una mpango wa kumfuta Myahudi kwanini yeye naye asiwe na mpango wa kukufuta wewe pia?. Wao Wana utaratibu wa maamuzi ya samson. Na ndicho wanachokiishi
Iwapo mpango wa mmoja wao una baraka za Allah basi huyo ndiye atakayemfuta mwenzake.Usijali sana muda na mikakati inayodhihirika kwa mujibu wa wakati tulio nao.
Sisi binadamu tunaweza tukawa na mipango yetu lakini mipango ya Allah ndiyo mipango ya uhakika na inayotekelezwa mwisho wa mipango yote kushindwa.
 
Iwapo mpango wa mmoja wao una baraka za Allah basi huyo ndiye atakayemfuta mwenzake.Usijali sana muda na mikakati inayodhihirika kwa mujibu wa wakati tulio nao.
Sisi binadamu tunaweza tukawa na mipango yetu lakini mipango ya Allah ndiyo mipango ya uhakika na inayotekelezwa mwisho wa mipango yote kushindwa.
Sasa ulianza wa waarabu ngoja tuone na huu.
 
Katika ziara yake nchini Marekani,waziri mkuu wa Israel,Benjamini Netanyahu wameweka mikakati yao ya kuifuta Gaza kwa uwazi kuonesha mataifa yao hayana kificho kwa mpango huo.
Katika mazungumzo yaliyonaswa na waandishi wa habari na kuwekwa kwenye mtandao wa kijamii wa Trump,raisi huyo amesema watu wa Gaza wataanza kuishi kwenye Gaza yenye muonekano mpya.
Upinzani wa mpango huo unaoanza kwa wapalestina wenyewe na kupitia mataifakadhaa binafsi pamoja na taasisi za kimataifa haujaleta mabadiliko yoyote katika mipango ya mataifa hayo mawili .

Huko nyumbani kwa Netanyahu kwa mujibu wa vyombo vya habari makombora 10 yalirushwa na Hamas kupiga miji miwili ya kusini ya Israel ambapo matano kati yao hayakuweza kuzuilika.Makombora hayo yalileta madhara makubwa ikiwa ni pamoja na kuunguza majengo na magari.

Hamas hawajathibitisha kuhusika na kurusha makombora hayo ambapo wafuatiliaji wengi wa vita hivi wanashindwa kuamini iwapo bado Hamas wana ushujaa na nyenzo za kuweza kupiga mijia ya Israel.

IDF responds after Hamas hits Israeli cities in rocket attack: 'Must pay a heavy price'

Najua umefurahi kwa hilo au sio hongera ila kumbuka hii sio Simba na yanga au sio
 
Katika ziara yake nchini Marekani,waziri mkuu wa Israel,Benjamini Netanyahu wameweka mikakati yao ya kuifuta Gaza kwa uwazi kuonesha mataifa yao hayana kificho kwa mpango huo.
Katika mazungumzo yaliyonaswa na waandishi wa habari na kuwekwa kwenye mtandao wa kijamii wa Trump,raisi huyo amesema watu wa Gaza wataanza kuishi kwenye Gaza yenye muonekano mpya.
Upinzani wa mpango huo unaoanza kwa wapalestina wenyewe na kupitia mataifakadhaa binafsi pamoja na taasisi za kimataifa haujaleta mabadiliko yoyote katika mipango ya mataifa hayo mawili .

Huko nyumbani kwa Netanyahu kwa mujibu wa vyombo vya habari makombora 10 yalirushwa na Hamas kupiga miji miwili ya kusini ya Israel ambapo matano kati yao hayakuweza kuzuilika.Makombora hayo yalileta madhara makubwa ikiwa ni pamoja na kuunguza majengo na magari.

Hamas hawajathibitisha kuhusika na kurusha makombora hayo ambapo wafuatiliaji wengi wa vita hivi wanashindwa kuamini iwapo bado Hamas wana ushujaa na nyenzo za kuweza kupiga mijia ya Israel.

IDF responds after Hamas hits Israeli cities in rocket attack: 'Must pay a heavy price'

Wanataka kuifuta Hamas siyo Gaza
Gaza ni ardhi unaifutaje?
 
HAMAS wanafanya vitu sana kurusha huyo tukombora, inasaidia kwenye kutowauhurumia, piga hapo mahali bila huruma....futa kabisa
 
Wanataka kuifuta Hamas siyo Gaza
Gaza ni ardhi unaifutaje?
Gaza ni watu wake na majengo na mitaa yake.
Ukiwaandoa watu na majengo yote ukayavunja halafu ukajenga makasino na kambi za jeshi ua ukachimba mafuta.Unaweza ukaita jina lolote na ikawa Gaza haipo tena.
Suala ni jee mpango huo utafanikiwa ?,Na kama utaishia njiani ni nani atakayeuzima ?.
 
Katika ziara yake nchini Marekani,waziri mkuu wa Israel,Benjamini Netanyahu wameweka mikakati yao ya kuifuta Gaza kwa uwazi kuonesha mataifa yao hayana kificho kwa mpango huo.
Katika mazungumzo yaliyonaswa na waandishi wa habari na kuwekwa kwenye mtandao wa kijamii wa Trump,raisi huyo amesema watu wa Gaza wataanza kuishi kwenye Gaza yenye muonekano mpya.
Upinzani wa mpango huo unaoanza kwa wapalestina wenyewe na kupitia mataifakadhaa binafsi pamoja na taasisi za kimataifa haujaleta mabadiliko yoyote katika mipango ya mataifa hayo mawili .

Huko nyumbani kwa Netanyahu kwa mujibu wa vyombo vya habari makombora 10 yalirushwa na Hamas kupiga miji miwili ya kusini ya Israel ambapo matano kati yao hayakuweza kuzuilika.Makombora hayo yalileta madhara makubwa ikiwa ni pamoja na kuunguza majengo na magari.

Hamas hawajathibitisha kuhusika na kurusha makombora hayo ambapo wafuatiliaji wengi wa vita hivi wanashindwa kuamini iwapo bado Hamas wana ushujaa na nyenzo za kuweza kupiga mijia ya Israel.

IDF responds after Hamas hits Israeli cities in rocket attack: 'Must pay a heavy price'

HAMAS at the point of "These are the kicks of a dying horse". Wazee (Tru. na Neta)wameshapitisha Hukumu dhidi ya HAMAS - Ifutwe na hakuna cha Rufaa. HAMAS hana tena ujanja.
 
Gaza ni watu wake na majengo na mitaa yake.
Hapana Babu. Gaza ni Eneo /Pande la ardhi (au Nchi) ambalo juu yake wanaishi watu waitwao Wapalestina.
Miongoni mwa hao Wapalestina kuna kundi la magaidi wajulikanao kama Kundi la HAMAS. Zingatia kwamba Gaza yapo pia makundi mengine mengi na hakuna sababu ya kuyaorodhesha hapa.
Hakuna watu wanaoitwa "Wagaza" hapo Gaza.
Ukiwaandoa watu na majengo yote ukayavunja halafu ukajenga makasino na kambi za jeshi ua ukachimba mafuta. Unaweza ukaita jina lolote na ikawa Gaza haipo tena.
Exactly yes. Neno Gaza Itabaki ni katika Historia ya eneo hilo.
Suala ni jee mpango huo utafanikiwa ?,Na kama utaishia njiani ni nani atakayeuzima ?.
Mahesabu yanaonesha mafanikio ni 99.9%
 
Iwapo mpango wa mmoja wao una baraka za Allah basi huyo ndiye atakayemfuta mwenzake.Usijali sana muda na mikakati inayodhihirika kwa mujibu wa wakati tulio nao.
Sisi binadamu tunaweza tukawa na mipango yetu lakini mipango ya Allah ndiyo mipango ya uhakika na inayotekelezwa mwisho wa mipango yote kushindwa.
Huyo allah ni kwa waarabu tu wanaomwamini lakini wengine hawawahusu.
 
Huyo allah ni kwa waarabu tu wanaomwamini lakini wengine hawawahusu.
Allah ni kwa wote pamoja na wale wanaomkanusha na kumtukana.
Hana hasira wala jeuri kama za kwangu na zako.Anakusubiri siku ukirudi kwake baada ya kukataa mafundisho yake hapa duniani.
 
Allah ni kwa wote pamoja na wale wanaomkanusha na kumtukana.
Hana hasira wala jeuri kama za kwangu na zako.Anakusubiri siku ukirudi kwake baada ya kukataa mafundisho yake hapa duniani.
Hana hasira wakati anatuma watu wakawauwe wenzao na wakiuwawa eti anawapa mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo na kuwapa pombe inayotiririka kwenye mito ya akhera.
 
Hana hasira wakati anatuma watu wakawauwe wenzao na wakiuwawa eti anawapa mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo na kuwapa pombe inayotiririka kwenye mito ya akhera.
Vitu vizuri kama hivyo wewe unataka uviishie hapa duniani tu siku utakapofukiwa.Akili gani hiyo
 
Vitu vizuri kama hivyo wewe unataka uviishie hapa duniani tu siku utakapofukiwa.Akili gani hiyo
Amaa Kweli. Hivi kumbe ngono kali (mabiikra 72 sio mchezo ujue) na ulevi kupindukia (Mito ya pombe) ni vitu vizuri? Basi iweni wastaarabu mtuachie hivi vya hapa duniani nyie subirini fungu lenu huko akhera. Uroho gani huo. huku mwataka na kule mwataka. Hahahaa
 
Back
Top Bottom