Hivi baada ya gadaf kupigwa libya ilitulia?
Ni transition period tu,libya itatulia soon!...Usipoangalia story ya Assad na raia ni kama Libya na. Qadafi
Iraq haijatulia,walisema wanamtoa Saddam wataweka mtu mwingine,Afghanstan haijatulia,Libya haijatulia hadi wanajuta.Us wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
Kabla ya kutulia Libya ilipaswa kutulia IraqNi transition period tu,libya itatulia soon!...
Uzuri wa Trump huwaga haongei sana. Juz kasema ataiadhibu Syria lkn hakusema kwa namna gani.
Waarabu wakiamua kuwasaka Wamarekani na kulipa Kisasi watu povu linawatoka!
UZuri wa Waarabu kwny Suala la kulipa kisasi huwa hawasahau!
Kama ni halali kuua Raia wa Nchi zingine kwa kisingizio cha kutoa Tawala wasizozikubali pia haiwi Haramu Kuua Wamarekani wanaochagua Viongozi Wauaji.
Kama Wamarekani wanachagua Kwa hiyari Yao wapi wakaue, wapi wakapore na lini wakafanye hivyo kwa kutumia Nguvu walizopewa kisheria na Wamarekani kwa Njia ya kura Basi si HARAMU kuua Wamarekani wanaoruhusu Serikali Yao kuua Watu wa Nchi zingine kwa kadri wapendavyo
Waarabu wakiamua kuwasaka Wamarekani na kulipa Kisasi watu povu linawatoka!
UZuri wa Waarabu kwny Suala la kulipa kisasi huwa hawasahau!
Kama ni halali kuua Raia wa Nchi zingine kwa kisingizio cha kutoa Tawala wasizozikubali pia haiwi Haramu Kuua Wamarekani wanaochagua Viongozi Wauaji.
Kama Wamarekani wanachagua Kwa hiyari Yao wapi wakaue, wapi wakapore na lini wakafanye hivyo kwa kutumia Nguvu walizopewa kisheria na Wamarekani kwa Njia ya kura Basi si HARAMU kuua Wamarekani wanaoruhusu Serikali Yao kuua Watu wa Nchi zingine kwa kadri wapendavyo
Hapo Urusi kaingizwa kidole kwenye jicho, anasubiriwa afanye yake ila ataishia kutoa matamko ya kulaani tu hamna lolote zaidi ya hapo.
Lakini kwa wadadisi wa mambo, Urusi imeanza kushuka kiuchumi kwa kasi na inahitaji vita vikubwa ili kunyanyuka. Hivyo naona wanaweza wakajitosa kwenye shughuli nzima.
Ndo mjue kila aingia White House anakuta kila kitu kipo mezani,yeye anatekeleza tu.Trump kwenye kampeni alimlaumi Obama na watangulizi kuwa wao ndo sosi ya ugaidi middle East,mfano kuuliwa kwa Sadam na Gadafi.Uzuri wa Trump huwaga haongei sana. Juz kasema ataiadhibu Syria lkn hakusema kwa namna gani.
Na me nilishawahi kusema hum ndan kwamba sera ya mambo ya nje ya Marekan haijawahi badilika na km kubadilika so Leo wala kesho.Ndo mjue kila aingia White House anakuta kila kitu kipo mezani,yeye anatekeleza tu.Trump kwenye kampeni alimlaumi Obama na watangulizi kuwa wao ndo sosi ya ugaidi middle East,mfano kuuliwa kwa Sadam na Gadafi.
Trump anaenda Syria kufanya kilekile walichofanya wenzie