Kremlin wanasema Syria haina silaha za sumu. Je, waasi wana ndege za kijeshi?
Jibu hoja niliyoweka then uliza swali lako?
Kremlin wanasema Syria haina silaha za sumu. Je, waasi wana ndege za kijeshi?
Tofauti ya sisiemu na Republican ni kuwa Republican ni IS sisiemu ni panya road.Zile ni Propaganda tu Kama zile za kusema Saddam alikuwa na Silaha za Maangamizi mpaka Leo bado zinatafutwa Miaka zaid ya 10 Tangu Saddam anyongwe!
Chanzo cha Vita ya Syria ni Marekani na NATO kusambaza Silaha kwa Njia ya anga kwa Raia ili waasi Serikali na hizo Silaha zikaangukia kwny Mikono ya Wahuni wa IS!
Ili uelewe imagine Marekani isambaze Silaha kwa Njia ya Anga kwny Jiji la Dar Es salaam halafu ziangukie kwny Mikono ya Panya Road jee utaipenda Marekani hata Kama ulikuwa unaichukia CCM?
Tofauti ya sisiemu na Republican ni kuwa Republican ni IS sisiemu ni panya road.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tofauti ya sisiemu na Republican ni kuwa Republican ni IS sisiemu ni panya road.
Swali zuri sanaaaaa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Kremlin wanasema Syria haina silaha za sumu. Je, waasi wana ndege za kijeshi?
hakuna hoja pale wewe unaangalia soka kupitia Sky mbona hulalamiki au Sky ni chombo cha habari cha Madina?Jibu hoja niliyoweka then uliza swali lako?
hakuna hoja pale wewe unaangalia soka kupitia Sky mbona hulalamiki au Sky ni chombo cha habari cha Madina?
Mwenye njaa nani sasa? Trump,thubutuuuuuuNjaa mbaya sana....si trump alisema hana mpango na mambo ya watu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asad amepigwa mapigo 59 tu,kapotea,kimyaaaaaa!.....
Assad apigweeeeeUs wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
Assad ndiyo rais mjinga kuliko wote...amejigeuza handbag ya Putin yaani Putin anambeba beba tu anavyotaka.Asad amepigwa mapigo 59 tu,kapotea,kimyaaaaaa!.....
Assad asipigwe!Assad apigweeeee