Trump launches military strike against Syria

Trump launches military strike against Syria

Usifikiri kuwa Amerika ameshambulia bila kibali cha Urusi! Kama ni hivyo kwa nini marekani ilibidi watoe taarifa kwanza kwa Urusi kabla hawajashambulia?
Ukweli ni kwamba marekani na urusi walikaa mezani wakakubaliana kwanza! Na kiwango cha mashambulizi wakakubaliana hata Target za kulengwa wakakubaliana.
Marekani wanajua kabisa kuwa anga la Syria linalindwa na urusi, wakishambulia ghafla, ant-missile system ya warusi itafunguka na kutakuwa na star wars kitu kinachoweza kupelekea vita kubwa sana!
Urusi hawezi kukiri moja kwa moja kuwa walikubaliana kwa sababu akifanya hivyo mshirika wake Assad atajisikia vibaya.
Kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa kwenye pwani ya Syria kuna manowari kubwa za kivita za Warusi! Syria is a strategic position for Russia! Ndiyo maana anamlinda Assad kwa nguvu zote!

Naona mambo mengi unayoongelea nimekwishayazungumzia.

Marekani hakuomba kibali na wala hakusubiri kupewa kibali kushambulia mahali hapo.

Alichofanya ni kuwajulisha au kuionya Russia, na NATO kwamba alikuwa akijiandaa kurusha makombora.

Katika masuala ya vita vya angani mara nyingi kunakuwa na njia moja ya mawasiliano wanayoitumia na ndiyo maana Russia akafanya evacuation ya skari wake walokuwapo kwenye hiyo sehemu.
 
mkuu zote zipo,yaani S-400 na S-300,
na zote zinacover karibu syria yote kuachia mashariki ya syria,zimecover mpaka israel karibu yote kwa maana kuwa ndege ikiwa bado kwenye runway kule uwanja wa ben gurion israel rada zake zinaiona,
ishu hapa marekani,na russia na pia russia na israel wana memorandum of understanding kuwa killa marekani akitaka kufanya operation lazima kuitaarifu Russia ili kuepuka kutokea ajali,
na vilevile israel hawezi kufanya operation syria bila kuitaarifu russia.

Sasa russia akitaarifiwa inabidi astand down,

ndo maana hata jana nusu saa kabla ya shambulio marekani akatoa taarifa ,ila akawa mjanja kutoa taarifa kwa kamanda wa russia aliepo syria,lakini russia kama kawaida akawapa warning syria,kisha akastand down,

ndo maana leo mrusi alipoamua kujitoa katika makubaliano marekani wameshinda wanambembeleza kwani wanajua sasa itakuwa ngumu kufanya kazi zao syria kwa usalama,
russia imerudisha mawasiliano hayo jioni hii
daaaaaaaah mkuu, nataka niwe mrithi wako kwa hizi Mvua za nondo. [HASHTAG]#Elungata[/HASHTAG] Jr
 
Baada ya tukio la sumu

Naamini Urusi watakuwa wamehuzunishwa ni fedheha
Ndiyo maana walikubali kuzima mfumo wao wa ulinzi wa anga na kuruhusu mashambulizi limited kwa syria ila akasema msirudie tena! Na hawatarudia! Maana mrusi amekata mawasiliano ya kijeshi na marekani nchini syria! Akijaribu kushambulia mfumo wa ulinzi wa mrusi utafuatilia mpaka makombora yanakotoka! Marekani lazima awe mpole kama alivyokuwa mpole wakati Urusi ilipovamia Ukraine na kuteka Crimea!
 
yale matoi(s-400&s-300) hamna anaeyaogopa c US ama israel....yapoyapo tu
Watu mko kishabiki zaidi, hebu soma kwnye hiyo italic bold mark.

The S-400 Triumph missile system and the Pantsir complex, which is a short to medium range surface-to-air missile and anti-aircraft artillery weapon system, are ensuring the protection of Russia’s Air Force at the Khmeimim airbase in Syria, Defense Ministry spokesman Major-General Igor Konashenkov told the media on Friday.

The S-300 missile systems were deployed at Syria’s port of Tartus in 2016, to provide protection for both the base and Russian military ships in Syrian waters.

Source rt.
 
Assad anataka kufanana na baadhi ya viongozi flan hv wa bara flan hv.....Six yrs war.....mwisho wake upo tuu...vita ya 3 ni ngumu...na Assad atauawa soon.....hakuna cha Russia wala mtu gani mbele ya USA......ila kwa akili ya kawaida ya kibinadamu waweza fikiri vyovyote.....fikiria kivingine hahaaaaa.
Ooo sijui Marekani anamwogopa mrusi ooo sijui S-400, haya sasa kapiga 59 tomahawk Cruise missiles, wakiambiwa USA ni baba wa dunia wanaleta hadithi, kapiga sasa tuone.
 
1a62120833b2ec298a96a119f2c6a025.jpg
 
kweli wanaume wanapenda vitu ubabe ubabe,

hii topic hamna mwanamke,

hahahaaaaa ngoja nisepe na mie lol
 
Hivi unategemea Urusi akubali kuwa all the 59 Missiles zilitua kwenye hiyo Base? Ili yeye aonekane weak pamoja na defence system yake?
Ukiangalia hiyo video haioneshi cha maana
Na kama Urusi anajua hakuna kilichoathirika kwanini analalamika?
Kwanini aseme ataongeza defence
Haujafuatilia kwa ukamilifu hili sakata! Marekani alitoa taarifa kwa urusi kabla ya shambulizi ili urusi isitumie defence system yake! Urusi walikubali kutokutumia defense system yao ili kuepusha Shari. Vinginevyo SAA hii habari ingekuwa nyingine kabisa! Ujue defense system huelekeza pia kushambulia mpaka chanzo cha shambulizi ambalo ni manowari za marekani zilizopo bahari ya Mediterranean! Sasa marekani hawawezi tena kurudia kushambulia syria maana urusi ameshawakatia mawasiliano! Wakiamua kushambulia wajue mashambulizi yatajibiwa kikamilifu!
 
Haujafuatilia kwa ukamilifu hili sakata! Marekani alitoa taarifa kwa urusi kabla ya shambulizi ili urusi isitumie defence system yake! Urusi walikubali kutokutumia defense system yao ili kuepusha Shari. Vinginevyo SAA hii habari ingekuwa nyingine kabisa! Ujue defense system huelekeza pia kushambulia mpaka chanzo cha shambulizi ambalo ni manowari za marekani zilizopo bahari ya Mediterranean! Sasa marekani hawawezi tena kurudia kushambulia syria maana urusi ameshawakatia mawasiliano! Wakiamua kushambulia wajue mashambulizi yatajibiwa kikamilifu!
kwanza si kweli kuwa marekani iliarifu urusi kabla ya shambulio. zipo nchi zilizoarifiwa moja wapo ni Israel. urusi hakuarifiwa na marekani wamesema shambulizi limetekelezwa 'without russia approval'

kuhusu kurudia au kutokurudia kwa shambulizi hiyo itategemea na mienendo ya huyo dem wa urusi (syria).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom