KaribuHodi humu
Iyo gari bado ipoMkuu Kuhani Noah habari ya majukumu?
Aise nina Mitsubishi Canter kama toleo la Bakhresa tani 3 na TATA 713S tani 3.5 hizi zote ni Box Body. Kuna sehemu zilikuwa zinafanya kazi ila Corona ilivopiga jamaa walilazimika kupunguza magari. Sasa mkuu vipi wewe hauna connection ya kazi uniunge huko maana hali mbaya kweli kweli. Nimejaribu kukuPM naona umeweka private.
Kwa atakaehitaji gari napatikana hapa Piga/SMS 0744183343
Ina life span ya miaka mingapi?Hahahaaa naielewa aisee hii ngoma yani 30 inang'oa vizuri na inakwea vigongo aisee. Utata ni TANROADS tu
Gari zipo mkuu ila kwa sasa kuna sehemu zinapiga mzigo.Iyo gari bado ipo
Bado zipo mkuuMkuu Kuhani Noah habari ya majukumu?
Aise nina Mitsubishi Canter kama toleo la Bakhresa tani 3 na TATA 713S tani 3.5 hizi zote ni Box Body. Kuna sehemu zilikuwa zinafanya kazi ila Corona ilivopiga jamaa walilazimika kupunguza magari. Sasa mkuu vipi wewe hauna connection ya kazi uniunge huko maana hali mbaya kweli kweli. Nimejaribu kukuPM naona umeweka private.
Kwa atakaehitaji gari napatikana hapa Piga/SMS 0744183343
Umepata?Natafuta C28 kwa ajili ya trucks zangu za transit
Pole dada Nasra, niliona truck yako imelala miguu juu mitaa ya GairoNatafuta C28 kwa ajili ya trucks zangu za transit
Kama unayo moja kwa kuanzia itabidi uwe unaomba sub contract au upenyeze gari yako kwa kampuni za kati zenye kazi za bandarini,kubeba kokoto Lugoba,kubeba clinker Dangote na Maweni Tanga.Hello Team Magari . Tipper kama hii kwa Dar inalipa ikiwa mpya , na kwa mwezi unaweza kulaza shs ngapi baada ya kutoa matumizi yote ya gari ? Ni kiwango cha chini naulizia kabla, Nina mpango wa kununua hii unit. View attachment 2597012
Inalipa mkuu , kuliko kungangania kwenda Kwenda huko Lubumbashi nakosikia madereva wetu wa Kitanzania wanapata sana shida , kukaa huko hata mwezi mmoja . Thanks manKama unayo moja kwa kuanzia itabidi uwe unaomba sub contract au upenyeze gari yako kwa kampuni za kati zenye kazi za bandarini,kubeba kokoto Lugoba,kubeba clinker Dangote na Maweni Tanga.
Kwa kazi za Bandarini inakutosha kutoichosha gari na kuwa na rotation kubwa ya trips. Kuna kazi za kubeba ngano,mbolea,sulphur na clinker. Malipo huwa kwa tani kutegemea na umbali unapopeleka kwenye yard/kiwanda/godown. Na wastani wa masaa 24 gari inaweza kufanya trip 3.
Mfano tani moja ya mbolea kumbebea bwana X ni elfu 20, utaitoa bandarini na kupeleka Tazara Kwenye godown Q.
Gari itabeba kulingana na aina ya trailer na axle configuration ili ipite salama mzani wa Tanroad Kurasini. Gari ikibeba tani 29, hivyo trip moja utakuwa umeingiza 580,000. Dereva hulipwa posho kwa siku hii utapanga wewe ili kuongeza uzalishaji na ufanisi. Kwa siku utapata 3*580,000 sawa na 1,740,000
Mafuta inategemea na truck yako,ukijua ratio ya gari yako kwenye mafuta utajua namna ya lita za kumpa dereva na akiba ili asikwame
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ha Yani wenye magari , wakufate wee inboxWenye magarj ya transit congo, rwanda, zambia njoo inbox tufanye kazi