Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,264
WanaJf,
Salaam!
Nimefuatilia kwa KARIBU sana na kugundua kiwa MAGARI ya mizigo ya kampuni ya AZAM na GBP huwa hayapiti kupima uzito wa mizigo yao kwenye mizani ya TANROADS.
Hii sababu gani? Nikiwa na gari la namna hiyo nitumie njia ipi nami lisipime uzito?
M. Kabende
China
Salaam!
Nimefuatilia kwa KARIBU sana na kugundua kiwa MAGARI ya mizigo ya kampuni ya AZAM na GBP huwa hayapiti kupima uzito wa mizigo yao kwenye mizani ya TANROADS.
Hii sababu gani? Nikiwa na gari la namna hiyo nitumie njia ipi nami lisipime uzito?
M. Kabende
China