Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 4,965
- 12,573
Inalipa na gari utaifungia mfumo wa tracking ili kujua inafanya movements zipo na camera.Inalipa mkuu , kuliko kungangania kwenda Kwenda huko Lubumbashi nakosikia madereva wetu wa Kitanzania wanapata sana shida , kukaa huko hata mwezi mmoja . Thanks man
Ukihitaji Truck ya mtumba kutoka South Africa iwe Scania,Man Diesel,Daf,Benz,Iveco au Chinese brand nicheki mkuu