Trucks and truckers special thread. Uzi maalum kwa wadau wa magari ya mizigo na wasafirishaji

haaa,,,we jamaa unamaswali tata!!. mezoeleka fuso yenye diff mbili kuitwa tandam kama alivyokuelewesha jamaa hapo juu.
kipisi ni zile scania ambazo hazina tela.

Pia kuna kipisi cha volvo,daff,actross n.k

Scania ambazo hazina tela zinabebaje mzigo?

Mzigo unakaa wapi kama hakuna tela?
 
DHANA YA UBEBAJI MIZIGO KWA MUJIBU WA SHERIA ZA TANZANIA Je, sheria inasemaje kuhusu kubeba mizigo? Je, ni kosa kutumia gari langu kubeba mizigo? Kuna sheria mbili tutakazoziangalia hapa, nazo ni Sheria ya Usalama Barabarani sura ya 168 ya sheria za Tanzania, na kanuni za SUMATRA za usafirishaji mizigo za mwaka 2012 KANUNI ZA SUMATRA [TRANSPORT LICENSING (GOODS CARRYING VEHICLE) REGULATIONS 2012 Kifungu cha 2 cha kanuni kinatafsiri gari gari la kubebea mizigo (Goods carrying vehicle) kama gari ambalo limetengenezwa au kufanyiwa mabadiliko kwaajili ya kubebea bidhaa au lililotengenezwa au kurekebishwa kwaajili hiyo. Kanuni hazisemi nini maana ya mzigo...
Mkubwa umechoraaaa dah
 
Kuna Siku Niko Iringa Tulikaa Site Kwake Hanspope Nikamuuliza Swali Apart From *DISCIPLINE* Ya Biashara Ya Transport Ni Kitu Gani Zaidi Ya Hapo?

Aliniambia *UKOROFI* 😂
Hakuna Kucheka Na Dereva.

Nachukua siti nitarudi hapa

Huu uzi sikuwahi kuuona
 
Anhaa, Tandamu inaweza kubeba tani 16

Na kipisi umesemq ni gari inayobeba tani 16 kuendelea

Kwa hiyo tandamu ni kipisi?
tandeem (tanadam)ni gari yenye axle mbili nyuma iwe double diff ama diff moja na dead axle pia yaweza kuwa inavuta trela(pulling) ama isiyovuta trela.

neno kipisi linatumika kwa kumaanisha gari ibebayo 10tons na kuendelea ila isiyo na trela.

mfano mtu anaweza kusema nimechukua kipisi cha 10tons ama nimechukua kipisi cha tandeem(tandam)

sasa akisema kipisi cha 10tons huwa ina maana ni single diff( yenye diff moja nyuma)
 
tandeem (tanadam)ni gari yenye axle mbili nyuma

neno kipisi linatumika kwa kumaanisha gari ibebayo 10tons na kuendelea ila isiyo na trela.

Kwa definitions zako, gari hii hapa chini

ni KIPISI ( haina trela na inabeba zaidi ya tani kumi)

na hapo hapo ni tandem (ina axle mbili nyuma).

1596946549778.jpeg


Kwa hiyo bado unajichanganya. Tandem na Kipisi ni gari mbili tofauti.
 
Kwa definitions zako, gari hii hapa chini

ni KIPISI ( haina trela na inabeba zaidi ya tani kumi)...
hto fuso haiwezi kuitwa kipisi sababu haiwezi funga teller nyingine nyuma hapo ikavuta pulling,,, kipisi ni zile Hozi kubwa kama scania howo nk lakin zinakuwa na body ya moja kwa moja sio ya kupachika

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom