haaa,,,we jamaa unamaswali tata!!. mezoeleka fuso yenye diff mbili kuitwa tandam kama alivyokuelewesha jamaa hapo juu.
kipisi ni zile scania ambazo hazina tela.
Pia kuna kipisi cha volvo,daff,actross n.k
Scania ambazo hazina tela zinabebaje mzigo?
Mzigo unakaa wapi kama hakuna tela?