Kila chombo kina mwelekeo wake.Radio na tv yake ilikuwa inatumika km chombo cha propaganda ya ccm.hakujali hisia za upande wa pili.chombo chake ingetumika vizuri ruge leo msiba wake ungefanana na mwl nyerere
Wa clouds tuna ujua, wa Tanzania Daima na Raia Mwema tunaujua