Tribute to Ruge Mutahaba: A smartest, strategist, silent Politician in Tanzania! Aliyebadili siasa za Tanzania

Wanabodi
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest silent politician in Tanzania.

Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania.

Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.

This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.

Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.

Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.

Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali





Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.

Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa.
RIP Mpambanaji
Ruge Mtahaba
Paskali


Kwa kujipendekeza na CCM ni sawa...

Angekua mtu wa kukemea maovu ya serikali na watu waonevu ningempa respect zaidi!

Kaishi,kafanya aliyoyafanya kwa kadiri ya uwezo wake,na sote tutakufa,hamna cha ajabu!
 
True umeongea ukweli lakin lazima tuliobaki tujisahihishe kidogo.....

Watanzania tumekuwa tukichukiana sana tukifanyiana fitina na mengine mengi....

Wanasiasa wanatafutana kumalizana na kuwamaliza wakosoaji wake bila kujari wao watakufa na kusahau kwamba kuna Mungu....

Wafanya biashara wanafanyiana figisu figisu ili mwenzie aanguke yeye aendelee kuwa juu mfano kwenye insue ya kupotea kwa Mo kuna mfanyabiashara mkubwa alikuwa akiomba apotee jumla....

Wafanyabiashara na watu wenye makampun wanawafanyisha kazi ngumu wafanyakazi wao kwa malipo kidogo ili waendelee kuwa watumwa kwao bila kujali kwamba kuna Mungu na wote tutaenda na mali kuziacha duniani......

Angalia maisha ya wasanii walio imba zaidi ya miaka 20 maisha yao wengine wanatafuta kukodi vijigari vyetu mtaani ili wasipate aibu uko waendako halafu leo hii tunakuwa wanafiki kusema ukweli kwamba pamoja na ukweli kwamba jamaa alibuni watu waimbe ila plan yake ilikuwa jinsi gani atapiga pesa kupitia wasanii wasio na shule haya sasa kifo icho hakina saa wala dakika .....

Tuache unafiki hawa ni moja ya wanyonyaji wakubwa wa wasanii mimi uwa naumia sana kuona mtu anakufa tunajifanya kumuonea huruma wakati ukweli tunaujua

Uwa pia naumia kusikia msanii kafa halafu tunaomba michango ya hali na mali kama kwa Ngwea na Godzilla inaniuma sana....

Najua mimi pia kuna vingi nimeshafanya vibaya lakin kiukwel uwa napenda sana kuwa mkweli mimi nachukia mtu anayetumia mgongo wa mwingine hasa asiye na elimu kupiga pesa au kujipatia utajiri au kujipatia mtaji wa kisiasa uwa inaniuma sana napenda sana JUSTICE

ingawa inauma kusema ukweli lakin ndio ivyo watu hawa na wengine wanaendelea wamesababisha maisha ya wasanii kuwa hivi yalivyo kwa kutumia nguvu ya media....

Wasanii wengi wanajua lakini wanakuwa wanafiki hongera kwa Lady J Dee na Platinums kwa kukubali kujitoa kusimama wenyewe maendeleo yenu tunayaona......

Ruge Mungu amlaze panapositahili
Tujiandae muda wowote tunaenda tusifanyie watu vitu vibaya tu, tusiwe na viburi, tusitumie elimu zetu kuwazamisha wasio soma tupendane.

R.I.P Ruge

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika upuuzi tatzo msilolielewa clouds haikuwai kuwa TBC mlitaka watu wainulinuliwe bure?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alitumika na kitengo to ease public pressure na tension during Kikwete’s tenure.Mambo yalipokuwa magumu,particulary mambo ambayo yangeiweka serikali pabaya.Ruge aliandaa jingo na message kwenye redio kuhimiza umoja na uzalendo.Na kufanya campaign za kuhimiza hayo mambo.Ndio maana JK wakati akimkabidhi ofisi JPM,alimsihi kuendeleza mahusiano ya karibu na Ruge.Ukimweka karibu Ruge,umeiweka karibu population kubwa ambayo ni vijana.
 
Jakaya Kikwete kaandika message ambayo hajawahi kuandika Kwenye kuomboleza Msiba wa Mtu yoyote kabla

Jakaya anakiri hadharan Kwenye page yake rasmi ya Instagram Kuwa Ruge Mutahaba 'KAMSAIDIA SANA' wakati wa Utawala wake Na 'BAADA YA KUSTAAFU' kwake . Ukisoma between lines hii statement ya Jakaya utajua Ruge alikuwa zaid ya Ruge Mutahaba

Jakaya kashindwa kuzuia hisia zake kufunguka lakin Mwanae Rais Mstaafu Ridh one kashindwa kuandika chochote zaid ya kuweka Picha ya maombolezo

Najua namna familia hii ya Rais Mstaafu ilivyoguswa Sana Na Msiba huu kwa Kuwa Ruge alikuwa nguzo muhimu Sana ya Utawala ule

Itatuchukua Miaka mingi Sana kupata Mtu wa Aina Ya Ruge Kwenye Tasnia ya Sanaa lakin yenye Mchango Mkubwa Sana Kwenye Utawala Na Jamii kwa jumla

JK anasema "Ruge alikua MSHIRIKA MWAMINIFU ata baada ya utawala wake" Hii inamaanisha JK anahisi kuna washirika wake walimtenga na kumsaliti baada ya yeye kutoka madarakani lakini Ruge ni moja ya WASHIRIKA waliobaki royal to JK hata baada ya JK kuachia madaraka.
 
Mimi ninachojua Ruge ni mmojawapo wa wafanyabiasha aliyekuwa akijipendekeza waziwazi serikalini ili biashara zake ziende.

- Kuna deals alikuwa anafanya ambazo bila kulelewa au kujikombakomba serikalini zisingeenda smoothly kama:

- THT

- FIESTA na Matamasha mengine.

- Matangazo.

Kiwango kikubwa cha UNAFIKI, KUJIKOMBAKOMBA na KUJIPENDEKEZA kilidhihishwa baada ya yeye kutumia NGUVU YAKE KWA WASANII kwenda kujaribu kurudisha MAHUSIANO ya CLOUDS na Serikali ya JIWE baada ya kutetereka walipovamiwa na BASHITE.

- Hata mbinu yao ya kujaribu kumtumia BASHITE kutangaza FIESTA Dar ambaye tangu awapure hajawahi kuwaomba msamaha ni DHIHIRISHO la hili.

- Hata Diamond naona anapita njia hii hii.
Bashite Maliyamungu ndiyo alimtuma Le mutuz kumpelekea Hassan ngoma virusi vya kumteketeza Ruge, ujue Maliyamungu wa TZ alikuwa na kinyongo na Ruge licha ya kupatanishwa na mtukufu Rais mbele ya Rais mseveni wa Uganda
 
Wanabodi
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest silent politician in Tanzania.

Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania.

Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.

This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.

Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.

Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.

Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali





Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.

Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa.
RIP Mpambanaji
Ruge Mtahaba
Paskali

Sikumjua sana zaidi ya kupitia media, wala sikuwa shabiki wake kabisa. lakini NAKUUNGA MKONO tribute yako hii na mimi naomba niwe humohumo
 
JK anasema "Ruge alikua MSHIRIKA MWAMINIFU ata baada ya utawala wake" Hii inamaanisha JK anahisi kuna washirika wake walimtenga na kumsaliti baada ya yeye kutoka madarakani lakini Ruge no moja ya WASHIRIKA waliobaki royal to JK hata baada ya JK kuachia madaraka.

Tena 'Mwaminifu' haswa
Na namna alivyosaidiwa Rais Kikwete Na Ruge imesalia Siri ambayo Kafa nayo Ruge mpaka Kikwete kaja kusema Mwenyewe hadharan ingekuwa Mwenzangu Na Mie umemsaidia Rais ingekuwa Kila Siku Mbwembwe Na mafumbo kujiona Mtu Maalum
 
Mayalla uko sahihi kabisa. juyu Ruge alikua ni mzee wa mipango. yaan kama kuna watu muhimu katika mission ni wazee wa mipango.huwez kumwona wazi wazi majukwaan lakn ukiwa mtu wa kutumia akili utajua hakuna mtu aliye kaa jukwaan kupiga siasa hapa Tz kama Ruge. kwann nasema hivyo.

tangu tunaanza mfumo wa vyama vingi tuna karbu miaka 27 wanasiasa wanaingia ulingon wanatoka. na wanaenda pemben na kuwaachia wengine. lakn Ruge anatakribani miaka 20 tangu clouds ianzishwe anapiga kampeni za waz waz kupitia radio na sasa kupitia clouds tv kukijenga ccm. clouds imekua na mchango mkubwa kwa ccm wenye akili nyingi kuliko Tbc. naam Ruge alikua mwasiasa wa kipekee Tanzania.

clouds inapendwa na watu kwa ule ubunifu wake lakn inachukiwa na upinzani balaa kwa upendeleo wake wa wazi waz kwa ccm . kama wasingekua wabunifu wangejifia zaman maana hakuna asiyejua vijana waliowengi ni upinzan ila inapofika swala la burudan linawaunganisha.

niishie tuu kwa kusema Ruge alikua mwanasiasa mkubwa sana wa ccm aliyelipwa kwa kazi iliyotukuka na itawachukua miaka mingi kumpata mtu kama Ruge. clouds ilikua ya ccm kimatendo sijui baada ya kifo chake kama itazd kuwa hivyo au ccm itakua imepoteza vyote viwili.
 
Barua ya Polepole sio ya weledi wa kisiasa maana inaenda kuharibu heshima ya marehemu mbele ya jamii kuwa hakuwa amayafanya asifiwayo Kwa nia njema bali Ruge alikuwa na agenda ya siri ya kisiasa aliyokuwa amatumwa na CCM.
Polepole kaleta maswali zaidi, jee hizi tuhuma kuwa Ruge kapewa sumu iliyo unguza ini na mmoja wa kijana kipenzi wa mwenyekiti yaweza kuwa ni Kwa sababu alikuwa amampiku katika kuaminika?
Jee ndio utamaduni wa ccm kumalizama katika kugombea kuaminika?
Sasa ni wazi ukisoma kati ya mistari ya ujumbe huu wa Polepole ccm ni chama laghai na cha kigaidi hata ndani Kwa ndani
tapatalk_1551247919524.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pascal Mayalla na wewe umeingia katika mkumbo wa kusifia wafu? alipokuwa hai uliwahi kusifia?
wajameni sioni kama Paschal amekosea, amesema kile anachokijua kuhusu Ruge na nina amini kama angepata fursa ya kuongelea haya wakati wa uhai wa Ruge angesema hayahaya aliyoyasema leo.Naomba tu tukumbuke tulivyo wanadamu wote katika dunia hii. kitu unapokuwa nacho unakiona kama cha kawaida tu, kinapoondoka ndio unaanza kukitathmini kwa kina!.ndivyo tulivyo, ndivyo tulivyoumbwa. hata wewe naamini umekuwa victim wa hilo mara nyingi tu. PASKALI IS RAITI!!!!
 
True umeongea ukweli lakin lazima tuliobaki tujisahihishe kidogo.....

Watanzania tumekuwa tukichukiana sana tukifanyiana fitina na mengine mengi....

Wanasiasa wanatafutana kumalizana na kuwamaliza wakosoaji wake bila kujari wao watakufa na kusahau kwamba kuna Mungu....

Wafanya biashara wanafanyiana figisu figisu ili mwenzie aanguke yeye aendelee kuwa juu mfano kwenye insue ya kupotea kwa Mo kuna mfanyabiashara mkubwa alikuwa akiomba apotee jumla....

Wafanyabiashara na watu wenye makampun wanawafanyisha kazi ngumu wafanyakazi wao kwa malipo kidogo ili waendelee kuwa watumwa kwao bila kujali kwamba kuna Mungu na wote tutaenda na mali kuziacha duniani......

Angalia maisha ya wasanii walio imba zaidi ya miaka 20 maisha yao wengine wanatafuta kukodi vijigari vyetu mtaani ili wasipate aibu uko waendako halafu leo hii tunakuwa wanafiki kusema ukweli kwamba pamoja na ukweli kwamba jamaa alibuni watu waimbe ila plan yake ilikuwa jinsi gani atapiga pesa kupitia wasanii wasio na shule haya sasa kifo icho hakina saa wala dakika .....

Tuache unafiki hawa ni moja ya wanyonyaji wakubwa wa wasanii mimi uwa naumia sana kuona mtu anakufa tunajifanya kumuonea huruma wakati ukweli tunaujua

Uwa pia naumia kusikia msanii kafa halafu tunaomba michango ya hali na mali kama kwa Ngwea na Godzilla inaniuma sana....

Najua mimi pia kuna vingi nimeshafanya vibaya lakin kiukwel uwa napenda sana kuwa mkweli mimi nachukia mtu anayetumia mgongo wa mwingine hasa asiye na elimu kupiga pesa au kujipatia utajiri au kujipatia mtaji wa kisiasa uwa inaniuma sana napenda sana JUSTICE

ingawa inauma kusema ukweli lakin ndio ivyo watu hawa na wengine wanaendelea wamesababisha maisha ya wasanii kuwa hivi yalivyo kwa kutumia nguvu ya media....

Wasanii wengi wanajua lakini wanakuwa wanafiki hongera kwa Lady J Dee na Platinums kwa kukubali kujitoa kusimama wenyewe maendeleo yenu tunayaona......

Ruge Mungu amlaze panapositahili
Tujiandae muda wowote tunaenda tusifanyie watu vitu vibaya tu, tusiwe na viburi, tusitumie elimu zetu kuwazamisha wasio soma tupendane.

R.I.P Ruge

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ndio biashara za kibepari nasema hivi alikuwa sahihi sana
Aliwahi kumuuliza lady jaydee aseme kabla ya tamasha walikubaliana kiasi gani na baada ya tamasha alilipwa kiasi gani mpaka leo jaydee hajatoa jibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.
Pascal sidhani kama mtu anakuja kupiga kura kwa vile juzi kulikuwa na wasanii wanaimba kwenye jukwaa! Pascal people talk at people not to people!
 
Wale wasiojulikana ingawa baadhi wanajulikana waliokwenda Dodoma toka Dsm kwenda kumpiga Tundu Lisu kwa Risasi ni hao hao ndiyo wamemteketeza Ruge kwa kuwatuma watu wakamwekea virusi vya sumu vikaenda kuathiri figo zote mpaka mauti kumkuta, Laana ziwaendee huko walipo japo Ruge alikuwa na mapungufu yake kama binadamu wengine lakini hakustahili kuuawa kwa Uonevu kiasi Hicho.
 
Back
Top Bottom