Tribute to Ruge Mutahaba: A smartest, strategist, silent Politician in Tanzania! Aliyebadili siasa za Tanzania

Ni kweli kabisa , jamaa hakuingia direct kwenye siasa, ila ana mchango mkubwa kwenye siasa hasa akitumia pia media zake, na music industry kwa ujumla

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ninachojua Ruge ni mmojawapo wa wafanyabiasha aliyekuwa akijipendekeza waziwazi serikalini ili biashara zake ziende.

- Kuna deals alikuwa anafanya ambazo bila kulelewa au kujikombakomba serikalini zisingeenda smoothly kama:

- THT

- FIESTA na Matamasha mengine.

- Matangazo.

Kiwango kikubwa cha UNAFIKI, KUJIKOMBAKOMBA na KUJIPENDEKEZA kilidhihishwa baada ya yeye kutumia NGUVU YAKE KWA WASANII kwenda kujaribu kurudisha MAHUSIANO ya CLOUDS na Serikali ya JIWE baada ya kutetereka walipovamiwa na BASHITE.

- Hata mbinu yao ya kujaribu kumtumia BASHITE kutangaza FIESTA Dar ambaye tangu awapure hajawahi kuwaomba msamaha ni DHIHIRISHO la hili.

- Hata Diamond naona anapita njia hii hii.
 
Jakaya Kikwete kaandika message ambayo hajawahi kuandika Kwenye kuomboleza Msiba wa Mtu yoyote kabla

Jakaya anakiri hadharan Kwenye page yake rasmi ya Instagram Kuwa Ruge Mutahaba 'KAMSAIDIA SANA' wakati wa Utawala wake Na 'BAADA YA KUSTAAFU' kwake . Ukisoma between lines hii statement ya Jakaya utajua Ruge alikuwa zaid ya Ruge Mutahaba

Jakaya kashindwa kuzuia hisia zake kufunguka lakin Mwanae Rais Mstaafu Ridh one kashindwa kuandika chochote zaid ya kuweka Picha ya maombolezo

Najua namna familia hii ya Rais Mstaafu ilivyoguswa Sana Na Msiba huu kwa Kuwa Ruge alikuwa nguzo muhimu Sana ya Utawala ule

Itatuchukua Miaka mingi Sana kupata Mtu wa Aina Ya Ruge Kwenye Tasnia ya Sanaa lakin yenye Mchango Mkubwa Sana Kwenye Utawala Na Jamii kwa jumla
Ni Jakaya ndio kaandika au Miraji Kikwete?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest silent politician in Tanzania.

Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania.

Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.

This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.

Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.

Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.

Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali

Dr John Magufuli (@MagufuliJP) Tweeted:
Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha kijana wangu Ruge Mutahaba. Daima nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa ktk tasnia ya habari, burudani, na juhudi za kujenga fikra za maendeleo kwa vijana. Poleni wanafamilia,ndugu,jamaa na marafiki. Mungu amweke mahali pema, Amina.

Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.

Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa.
RIP Mpambanaji
Ruge Mtahaba
Paskali

Kuna ukweli mwingi sana kwenye bandiko lako. Kampeni za JK kunako 2005 zilichagizwa sana na wanamuziki kaka Bushoke, Hafsa, Banana, Ngwea, Mwana FA na wengine wengi. Kwa hili, Ruge tutamkumbuka sana
 
Mimi ninachojua Ruge ni mmojawapo wa wafanyabiasha aliyekuwa akijipendekeza waziwazi serikalini ili biashara zake ziende.

- Kuna deals alikuwa anafanya ambazo bila kulelewa au kujikombakomba serikalini zisingeenda smoothly kama:

- THT

- FIESTA na Matamasha mengine.

- Matangazo.

Kiwango kikubwa cha UNAFIKI, KUJIKOMBAKOMBA na KUJIPENDEKEZA kilidhihishwa baada ya yeye kutumia NGUVU YAKE KWA WASANII kwenda kujaribu kurudisha MAHUSIANO ya CLOUDS na Serikali ya JIWE baada ya kutetereka walipovamiwa na BASHITE.

- Hata mbinu yao ya kujaribu kumtumia BASHITE kutangaza FIESTA Dar ambaye tangu awapure hajawahi kuwaomba msamaha ni DHIHIRISHO la hili.

- Hata Diamond naona anapita njia hii hii.
Wewe hujikombi?!

Msome JK kule Insta!
 
Mimi ninachojua Ruge ni mmojawapo wa wafanyabiasha aliyekuwa akijipendekeza waziwazi serikalini ili biashara zake ziende.

- Kuna deals alikuwa anafanya ambazo bila kulelewa au kujikombakomba serikalini zisingeenda smoothly kama:

- THT

- FIESTA na Matamasha mengine.

- Matangazo.

Kiwango kikubwa cha UNAFIKI, KUJIKOMBAKOMBA na KUJIPENDEKEZA kilidhihishwa baada ya yeye kutumia NGUVU YAKE KWA WASANII kwenda kujaribu kurudisha MAHUSIANO ya CLOUDS na Serikali ya JIWE baada ya kutetereka walipovamiwa na BASHITE.

- Hata mbinu yao ya kujaribu kumtumia BASHITE kutangaza FIESTA Dar ambaye tangu awapure hajawahi kuwaomba msamaha ni DHIHIRISHO la hili.

- Hata Diamond naona anapita njia hii hii.


Dunia nzima Ulimwengu mzima Kwenye sayari yote ya Dunia popote pale Mfanybaishara yoyote ili afanikiwe lazima ajipendekeze Serikalini

Mengi, Manji, MO, Bakhresa, Mafuruki n.k wote Hawa wanajipendekeza Serikalini, so Hakuna Cha ajabu kwa Ruge
 
Aisee
Screenshot_20190227-085713.jpeg
 
Ghafla tu nimeukumbuka wimbo wa RIP Patrick Balisidya, wema hawana maisha.

Nilianza kuusikia wimbo huu wiki ile ambayo Edward Moringe Sokoine alipoaga dunia, RTD waliupiga sana.

Sidhani kama RIP Ruge ana zaidi ya miaka 50, kaondoka kijana, kafanya mengi muhimu ndani ya siku alizoishi duniani.

Ruge wasalimie kina Mwalimu Nyerere, Hashim Mbita, Nelson Mandela, Bob Marley na magwiji wengine wengi.
 
pole yake kamanalishirikiana na serikali ya ccm kuwaminya raia wa Tz.Yeye alikuwa anajipendekeza kwa watawala ili asisumbuliwe.Ccm nao kama kawaida wakamweka kati.kwa kweli clouds ni sawa na redio ya ccm tu tena bora hata channel ten. Likipindi la 360 always ni mapambio.

nae mwamini kidogo ni Kusaga ambaye angalau hana unafiki,ila huyu Ruge mwache atangulie tu.kila mtu atapewa ujira wake sawa sawa na matendo yake.Mungu ndoa anahukumu.Ila lawama zilikuwa nyingi enzi za uhai wake kuliko sifa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema watapinga

Sent using Jamii Forums mobile app
We we ni mmoja wa watu wapuuzi sana ambao mjadala hata ukiwa wa manufaa kiasi gani lazima uuvuruge kwa kuwa tuu u mjinga mwenye kipaji kikuu cha ujinga.
Hebu kaa pembeni acha wenye ufahamu na kuzaliwa katika ustaarabu waitumie JF kama shule darasa na burudani pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"...inawezekana unajua mara nyingi wanaokupenda hawasemi na bahati mbaya sana wanaokuchukua wengi hawakujui, wanaichukua Perception wanalichukua lile wazo tu wanachukua kwa kwanza wengi hawakujui wanahisi kabisa kwamba huyu anashikilia uwezo ya Mungu kufanya vizuri ." Ruge Mutahaba
 
Alipingana na wanasiasa wa kisukuma wasiopenda kupingwa, kukosolewa bali kushangiliwa tu na huenda ndio walioharakisha safari yake kama ilivyokuwa kwa TAL
Le mutuz ndiye alitumwa na Maliyamungu kupeleka virusi wakampatia Hassan Ngoma akamwekea kwenye kinywaji kapotea, lawama zote juu ya kifo cha Ruge ziwaendee hao watu
 
Jakaya Kikwete kaandika message ambayo hajawahi kuandika Kwenye kuomboleza Msiba wa Mtu yoyote kabla

Jakaya anakiri hadharan Kwenye page yake rasmi ya Instagram Kuwa Ruge Mutahaba 'KAMSAIDIA SANA' wakati wa Utawala wake Na 'BAADA YA KUSTAAFU' kwake . Ukisoma between lines hii statement ya Jakaya utajua Ruge alikuwa zaid ya Ruge Mutahaba

Jakaya kashindwa kuzuia hisia zake kufunguka lakin Mwanae Rais Mstaafu Ridh one kashindwa kuandika chochote zaid ya kuweka Picha ya maombolezo

Najua namna familia hii ya Rais Mstaafu ilivyoguswa Sana Na Msiba huu kwa Kuwa Ruge alikuwa nguzo muhimu Sana ya Utawala ule

Itatuchukua Miaka mingi Sana kupata Mtu wa Aina Ya Ruge Kwenye Tasnia ya Sanaa lakin yenye Mchango Mkubwa Sana Kwenye Utawala Na Jamii kwa jumla
Nimeona alichokiandika kwa kweli ni nguzo kubwa sana ruge. Hakika taifa limepoteza hazina nilibahatika kuongea nae ruge nilichokiona kwake Allah alimjalia akili yake kuwa mbele masaa 6 zaidi. Nashukuru nilichota maarifa yake kdg kwahyo naelewa jk anafakiria nn mpk kuandika haya
 
Back
Top Bottom