Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
Hapo kosa ni kwa marehemu kwa kuifuata treni ktk njia yake
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
I'm so sorry for the deceased but it his/her own fault!rest where you deserve.Huo upumbavu wa kwenda kulichungulia treni kajifunza wapi?? Kanisani au kijiweni??
mungu amlaze pema peponi na wengine waache kuchunguliatreni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
hivi hapa mjini bado tunashangaa gari moshi mpaka sasa?Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
Poleni sana wafiwa tuwe makini na treni.
I'm so sorry for the deceased but it his/her own fault!rest where you deserve........