Mpingapumba
Member
- Nov 28, 2012
- 33
- 4
Jama mi sioni faida za malamiko yanayozidi kutolewa na baadhi ya watu,hakuna faida cha muhimu ni kutoa mawazo nini kifanyike ili kuboresha na sio kumsema mh.Mnyika kwan naye ni binadamu some times hua anakosea kama wengine wanavyo kosea.