wakati mwingine dogo huwa anachemka ....kitu kina mwezi mmoja tu !hakuna sababu ya kulaumu tunatakiwa tushuri .....mimi naona mwakyembe anastahili pongezi tunapoona mapungufu tuyasemewewe lazima uwe ccm, kwanini usiulize upate mchanganuo.. Haya mfano akitoa mchanganuo na kweli ukaonekana kuna hasara utasema nini??? Hata kama wazo halikuwa lake kweli hakuwa na uwezo wa kucheleweshwa kuanzisha hiyo train at least hadi miundombuni ikae sawa???? Au mwakyembe alikuwa anajijenga kisiasa??? Hebu tufikirie vyema mstakabali wa hivi vitu tunavyo vifanya na isije ikawa kama wale walokuwa wanamuomba mg. Raisi aidhinishe kituo cha muda cha tsh. 2 bil.... Akawagomea hata kingekuwa cha mil 2.... Tuache ushabiki tujiulize why kasema hivyo alivyosema coz naye sio mjinga...
chakufanya ni kuongeza kukusanya kodi ili serikali iwe na pato kubwa iweze kutengeneza miundombinu bora.zaidi ya hapo cha kufanya ni kuiongezea ccm miaka 5Jama mi sioni faida za malamiko yanayozidi kutolewa na baadhi ya watu,hakuna faida cha muhimu ni kutoa mawazo nini kifanyike ili kuboresha na sio kumsema mh.Mnyika kwan naye ni binadamu some times hua anakosea kama wengine wanavyo kosea.
wakati mwingine dogo huwa anachemka ....kitu kina mwezi mmoja tu !hakuna sababu ya kulaumu tunatakiwa tushuri .....mimi naona mwakyembe anastahili pongezi tunapoona mapungufu tuyaseme
hapa mnyika katoa mwanga. kama wakazi wa dar es salaam nmataka muendelee kufaidi usafiri wa treni basi mwakyembe hana budi kufanyia kazi mapungufu yaliyopo. vinginevyo itabaki stori.
Hivi mtu akikwambia hiyo barabara nzuri unayo tembelea mwishoni imefungwa, utakasirika kwakua umetokea kwenye barabara mbaya?.
ni hayo tu. mia
Haka katoto (i.e. Mnyika) wakati mwingine kanatakiwa kupigwa "Makwenzi" tu............