Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ni ngumu kuamini traffic analipwa mshara mdogo natamani kuchunguza lakini naamini
jamani hawa watu wanapokea mshara wa kutosha kabisa aiwezekani kabisa kila traffic ana kuwa na gari na kupaki kila sehemu anavyotaka na huku analia njaa...
Haya hizi pesa za mafuta mnazipata wapi??
jamani hawa watu wanapokea mshara wa kutosha kabisa aiwezekani kabisa kila traffic ana kuwa na gari na kupaki kila sehemu anavyotaka na huku analia njaa...
Haya hizi pesa za mafuta mnazipata wapi??